Kumfunga Maria jela miaka 22 kisa nyama ya swala ni matokeo ya kuwa na wanasheria waliokosa hekima na busara

Kumfunga Maria jela miaka 22 kisa nyama ya swala ni matokeo ya kuwa na wanasheria waliokosa hekima na busara

Huku majizi na majambazi yakiendelea kula mema ya nchi. Its so sad Kwa kweli. Mkurungezi wa ATCL ameiba 71 bil anahukumiwa miaka 2 au fine ya Tsh 12 mil tu.

Hii nchi Kwa kweli Kuna mambo yanauimza Sana. Itafika sehemu watu wataanza kujitoa mhanga Kwa upumbavu huu aisee
Sasa mkurugenzi si anakula na wakubw, amejenga appartments za kutosha na watoto wanasoma marekani, wewe unauza nyama ya swala rafiki yako ni mtendaji wa kijiji ambaye hawezo kukusaidia kitu.
 
Soma Hiyo!
20231105_144918.jpg
 
Sheria nyingi za kitanzania zinafanya kazi dhidi ya maskini tu. Nyama ya swala kilo 22 zina thamani na uzito mkubwa kuliko wanaotulaza giza!!!Pathetic.
Kilo 22 za swala ni nyepesi mno ukilinganisha na madudu yaliyo kwenye report ya CAG.
Kilo 22 za nyama ya swala ni nyepesi kuliko majangiri wanaoua tembo kwenye hifadhi za taifa kesi zao zinamalizwa kimyakimya hatimae wanapeta mtaani bila wasiwasi.
 
Kuiondoa CCM madarakani. Na kwa bahati mbaya mpaka muda huu hakuna njia sahihi wala mpango wowote ule wa kueleweka, wa kuitoa.
Unaitoaje wakati mpka kwenye derby ya kariakoo juzi mibango ya kumsifu mama na serekale yamejaaa...na hao ni vijana tunaotegemewa....
 
Hakutumia hata common sense, au ndo kutafuta ujiko kichawa chawa ufikiriwe japo kwenye teuzi.......taifa limeshakuwa la malofa hili.
 
Hii kweli kubwa na inasikitisha sana. Yaani kifungo chote hicho kwa kosa la kukutwa na nyama ya swala. Hawa mahakimu wengine huwa ni hasira za kukosa ulaji hapo
Nyama yenyewe thamani yake 900,000/ inasemekana

Ova
 
Anzisha wewe huo Upinzani Madhubuti na Imara....!

Unadhani ni rahisi kuwa Lema, Lissu, Zitto ama Mbowe....!?
Si rahisi. Ila nao wawe na misimamo WOTE, haipendezi Mbowe na Lissu pekee wawe na misimamo huku wenzao wengine wakiwarushia vijembe pasipo kuunga mapambano. Wapinzani waongee lugha moja, waboreshe HQ zao nk, ili angalau wananchi waone kuwa wapo serious na wamejiandaa kupokea nchi.
 
mama mitano tena kwa kweli ana utu 🙁
 
Ndio akili ziwakae sawa kwenye uchaguzi muamue nani awaongoze.. ccm washashindwa kuongoza kila mmoja anafanya ili asifiwe. Waizi wazuri wapo kwenye system na hawaguswi ila maskini lazima waionje joto ya jiwe....
 
Nyama ya swala.miaka 22 jela[emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Hakimu gani anakua kama shetani aliyevaa ngozi ya mtu.., angekuwa mwanae angemfunga 22 yrs wakati sheria imetoa nafuu na mwanya kwa hakimu kutumia busara? Mdada huyo anaonesha sio jangili, labda alipewa tu.., pia ni masikini sana anaonekana, ni shida tu...
302DF319-5D75-4161-B2DE-A6980EC22E57.jpeg
 
Back
Top Bottom