Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habari,
Mimi ni miongoni mwa watu wachache tuliokuwa tukiuchukia uongozi wa Magufuli.
Matendo maovu na viburi kutoka kwa wateule wa Magufuli akiwemo Sabaya na Makonda ndivyo vilichochea zaidi kuichukia serikali ya Magufuli.
Hawa vijana waliojizolea utajiri kwa kutumia mamlaka yao hawafai kabisa.
Sasa inakuwaje mamlaka inamfunga Sabaya na mamlaka hiyohiyo inatoka hadharani kusema Makonda ni kijana msafi mchapa kazi ilhali dhambi za hawa vijana ziko wazi?
Yule afisa wa PCCB aliyemsafisha Makonda mchana kweupe alitumwa na nani?
Aliweka kizuizi kwetu wananchi ili tusiende kuripoti matendo maovu kwenye ofisi yake?
Basi Sabaya aachiwe tujue kuwa hii nchi dhulma na uovu si dhambi.
==
Soma Kesi ya Uporaji wa Gari inayomkabili Makonda yaanza kuunguruma Mahakamani. Apewa siku 14 kuwasilisha utetezi wake
Mimi ni miongoni mwa watu wachache tuliokuwa tukiuchukia uongozi wa Magufuli.
Matendo maovu na viburi kutoka kwa wateule wa Magufuli akiwemo Sabaya na Makonda ndivyo vilichochea zaidi kuichukia serikali ya Magufuli.
Hawa vijana waliojizolea utajiri kwa kutumia mamlaka yao hawafai kabisa.
Sasa inakuwaje mamlaka inamfunga Sabaya na mamlaka hiyohiyo inatoka hadharani kusema Makonda ni kijana msafi mchapa kazi ilhali dhambi za hawa vijana ziko wazi?
Yule afisa wa PCCB aliyemsafisha Makonda mchana kweupe alitumwa na nani?
Aliweka kizuizi kwetu wananchi ili tusiende kuripoti matendo maovu kwenye ofisi yake?
Basi Sabaya aachiwe tujue kuwa hii nchi dhulma na uovu si dhambi.
==
Soma Kesi ya Uporaji wa Gari inayomkabili Makonda yaanza kuunguruma Mahakamani. Apewa siku 14 kuwasilisha utetezi wake