Kumfunga Sabaya huku mamlaka zikimtetea Paul Makonda hii haikubaliki

Ndugu, walikazia kuwa Bashite ni mchapa kazi na ni mtu safi.
Nenda YouTube utakutana na video.
usiwalishe maneno ambayo hawakusema, hayo ya uchapakazi yalisemwa na mzee wa gabolite
 
hapo alipo Makonda moja haikai mbili haisimami,full presha yaani ……..
 
Wewe utajiletea magonjwa ya moyo kwa chuki binafsi na Makonda,wakikuambia lete ushaidi kuhusu Makonda huna,labda utaanza kusema eti alionekana Dodoma wakati Lissu akipigwa lisasi na uongo kibao,vita ya Makonda ni kuwataja wauzaji wa madawa ya kulevya akimo Mbowe basi tu,Uzuri wa Makonda ktk utawala wake wa mkuu wa mkoa, alikuwa haogopi mtu mladi uwe na kosa.
 
Jinai hiakomi,ngoja msoga line washike hatamu watamfix.
Ukiwa kijana fanya mambo kwa kuangalia na mbele yako je.
Tawala ubadilika leo musiba hawezi funua mdomo tena aliowananga ndo mabosi sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…