Kumi (10) Bora ya Mashabiki Maarufu, Vichaa na wenye mapenzi zaidi na timu zao Tanzania.

Kumi (10) Bora ya Mashabiki Maarufu, Vichaa na wenye mapenzi zaidi na timu zao Tanzania.

Kuna makampuni/maduka yanawadhamini,pale wanavyohojiwa na vyombo vya habari huwa wanachimekea kwa kuwataja wadhamini wao.
Si kweli, Labda kama wameanza siku hizi. Sijawahi kumsikia kigelegele Yanga au Mzee wa Utopolo akiitaja Sportpesa, au kampuni za kibiashara zaidi ya kujigamba na kuzungumzia mpira labda mara chache wanasifia muwekezaji GSM au Mo lakini si kwa uzito wa kusema wamelipwa. Wengi ni mapènzi yao na mpira.
 
Si kweli, Labda kama wameanza siku hizi. Sijawahi kumsikia kigelegele Yanga au Mzee wa Utopolo akiitaja Sportpesa, au kampuni za kibiashara zaidi ya kujigamba na kuzungumzia mpira labda mara chache wanasifia muwekezaji GSM au Mo lakini si kwa uzito wa kusema wamelipwa. Wengi ni mapènzi yao na mpira.
Hao wa Utopolo huwa sina muda wa kuwasikiliza..nawaongelea wale wa Simba..kwa mfano Mzee wa Pasi Million anadhaminiwa na kampuni ya Grants Care.
 
Hao wa Utopolo huwa sina muda wa kuwasikiliza..nawaongelea wale wa Simba..kwa mfano Mzee wa Pasi Million anadhaminiwa na kampuni ya Grants Care.
Sasa huyo sio shabiki lialia huyo shabiki biashara
 
Back
Top Bottom