Kumiliki bastola ni mzigo; ni salama zaidi ukiwa huna

Na haya ni madhara ya watu kupata kazi kwa kujuana, unajikuta unatoa kazi kwa kenge tu hata weledi haina. Kulikuwa na ulazima gani wa kutoa silaha wakati mtu mwenyewe yuko tayari kuwa arrested anachohitaji ni utaratibu tu ufuatwe.
 
Majambazi wanaitaka hiyo!....Pia jua tu!! na ukubaliane na matokeo kuwa weye mleta mada kuwa huna kipaji nayo!!! Labda nikueleze hivi kuna watu hapa Duniani km mleta Mada wanaona kuwa na Mali nyingi kama Bakhresa ni Mateso!! ...

kufikiria hela tuuu!! na mali zakooo!! eti mlango ukigongwa tu unastuka!!....eti kuwa hulali kwa raha!! kila mara kufikiria Magari, viwanda vyako km vinafanya vizuri wanaona wanateseka......

Sisi wenye Damu ya kitajiri smaki kile kitendo cha kufikiria Mali zanavoingia na kutoka ndo raha yangu isiyo kifani na afya yangu inaimarika! hata ukiniulia hapo ni sawa tu! tajiri anaweza hata asile mwaka mzima ajiri ya furaha kumzidi,

ndo maana sisi viongozi na matajiri wooote Duniani ni wembambaaa kuliko Mameneja wetu!...chunguza uone!!...yaani sie huwa tunakubaliana na yote nife nibaki lkn Mali zangu zichanue!

siku tajiri akifirisika tu!! na yeye anakufa faster!!.... yaani mali zina muua bora auawe na mtu!! atakuwa amemsaidia!! linabakia jina tuuu! kuna watu humu Duniani kumiliki siraha ndo afya yao inaimarika,

hapo ndo anazidi pita chocho km chizi!! tena bila wasi wasi.......''utasikia si huyu Tajiri Smaki huyu? shikamoo Dada smaki?'' wapi hiyo! tunaomba tukusaidie!....yaani wao ndo wankuwa walinzi! kwa upande mwingine!!

halafu asikudanganye mtu eti siraha ya tajiri itapotea kirahisi tu!! Mweee!! iende wapi?? mnajipalia Makaa! Mtaani! basi hapo ujue ni kijiji/Mtaa Mzima mtaitafuta Kwa Magoti na machozi! tena usiku na Mchana, na Askari hawakoseagi!! wana lenga mule mule!!

Askari hawa Wakichoka kuwapa karinye karinye, wanaenda lala na kunywa Bia! hutawaona tena! hapo ujue ndo kwaanza wanakuja askari wengine vijana wapyaaa!! wanaendesha zoezi wanawatenga kwa Makundi,

mnaanza mojaaa!! sasa weye uruke kichura na Mama yako mzazi utakubaliiii? kisa siraha ya ujamabazi...utamsikia Mama anakulilia mwanangu flani si utoe tuu! !yaani mie mama yako nife hivi hivi??...usijidanganye kuiba siraha ya tajiri watakurengesha hao!! hao!

Mke wako kukufichia siraha yako ni umemlegezea sana!..lazima uwe km mwanaume ukitoa jicho tu ajinyeee!!...kwanza... siyo unajichekesha chekesha!! lazima uwe na nidhamu ya kuishi kitajiri tajiri!! Maskini nyie haziwafai hizi mtuachieni sie! ziko ajiri yetu!

na Mleta mada ukijichanganya nakubutua! bidaye nakulipa then unanishukuru!
 
Heri umetoa ushauri maana watu tunatofautiana tabia unaweza shikwa jazba wakati mwingine mtu anakuja anakuletea uonevu uliopitiliza kama binadamu unaweza toa maamuzi mazito.Mfano yule jamaa mwaka 1971 aliyemfuata mtu shambani kwake Iringa anachapa kazi kwa jasho lake akamuambia habari za siasa ya Ujamaa akamkejeli,kumtukana na kutukana makaburi ya wazazi wake hapo kwa kweli kama una cha moto unaweza ukafungulia njugu.Naomba mimi tu nisiwe na bunduki kwa kweli
 
Asilimia 90% watu wanaomiliki bastola huwa hawaitumii kama ilivyokusudiwa ...wengi wao huishia kujimaliza au kumaliza wengine kwasababu zisizo za kijambaz
 
Hahah
 
Ukimiliki mademu kuanzia 4 kwenda mbele Una ulinzi wa kutosha..Watu hawajui tu,Ghadafi Aliona hili.

 
Mara zote silaha huishia kuuwa mpnze au MTU wa karibu
 
Kuna demu huku mtaani ana ka hela ka nyanya ana stress za mapenzi sanaaaa et yupo kwenye process za kumiliki bastola.Najua itakuja tumika visivyo tu
 
Juz nilienda na jama angu kumdai mtu pesa bas akawa tunaemdai naleta ujuwaji bas jamaa alivyo chomoa chapu dogo akapnda kwenye gar tukaondoka nae had kituoni bas tukiwa kwenye gar dogo anaandikia msg kwa ndugu zake kuwa ametishiwa bastola bas Bab ake kijna kaje had kituoni kmafah yule jama angu akasema hyo kesi anaipelekakwa rpc kwa mwanae kutishiwa silaaa kumbe hakujuwa kuwa jama yule na rpc Ni kitu kimoja aliishia kutishia kuloga
 
Kuna demu huku mtaani ana ka hela ka nyanya ana stress za mapenzi sanaaaa et yupo kwenye process za kumiliki bastola.Najua itakuja tumika visivyo tu
Kwahyo tuwe makini asije akatureetisha master
 
Sijawahi ona umuhimu wa kumiliki siraha zaidi ya karaha na hasara
 
Au siyo
 
Ukiwa tajiri sana lazimia umiliki bunduki au uwe n watu wanomiliki bunduki kila mara.
 
Sijawahi ona umuhimu wa kumiliki siraha zaidi ya karaha na hasara
Kabisa! Ni bora kutumia mbinu ya tahadhari kuliko kukaa na bunduki mwisho wake Mara nyingi huwa nikuuwa mpnz au mfanyakazi kwa migogoro midogo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…