demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Wanajanvi.
Sina shaka na uwezo wa Haji kwenye matumizi ya kimkakati ya Kimasoko. Ila kwa kutumia jicho la tatu ninaona kama ni kosa kubwa sana kumkaribisha huyu Mwamba pale Jangwani kwa sababu ya historia yake kwenye eneo la nidhamu na weledi.
Ni kweli kuwa ametokea kwenye familia yenye vina saba na Yanga SC lakini kwa bahati mbaya amekwisha chafuka akiwa Simba SC kwa tabia zake za kinidhamu ambazo kila mwanasoka amepata kuzishuhudia.
Sijatambua ni nini klabu kama klabu imepanga kunufaika na huyu mwamba ikiwa klabu iko kwenye safari ya kuwa klabu yenye kuendeshwa kwa ueledi mkubwa.
wengi tunafurahi leo kwa kuwa inaonekana kama tumewashinda wapinzani katika hili, (Ni kweli kwasababu alikuwa mtu muhimu sana kiuhamasishaji katika klabu yao) lakini sioni jambo chanya la kiutofauti sana ambalo atalileta Jangwani zaidi ya maneno ya Taarab ambayo tulikwisha amua kujitenga nayo tangu tulipo mfukuza Jerry Muro.
Sina shaka na uwezo wa Haji kwenye matumizi ya kimkakati ya Kimasoko. Ila kwa kutumia jicho la tatu ninaona kama ni kosa kubwa sana kumkaribisha huyu Mwamba pale Jangwani kwa sababu ya historia yake kwenye eneo la nidhamu na weledi.
Ni kweli kuwa ametokea kwenye familia yenye vina saba na Yanga SC lakini kwa bahati mbaya amekwisha chafuka akiwa Simba SC kwa tabia zake za kinidhamu ambazo kila mwanasoka amepata kuzishuhudia.
Sijatambua ni nini klabu kama klabu imepanga kunufaika na huyu mwamba ikiwa klabu iko kwenye safari ya kuwa klabu yenye kuendeshwa kwa ueledi mkubwa.
wengi tunafurahi leo kwa kuwa inaonekana kama tumewashinda wapinzani katika hili, (Ni kweli kwasababu alikuwa mtu muhimu sana kiuhamasishaji katika klabu yao) lakini sioni jambo chanya la kiutofauti sana ambalo atalileta Jangwani zaidi ya maneno ya Taarab ambayo tulikwisha amua kujitenga nayo tangu tulipo mfukuza Jerry Muro.