Kumkaribisha Haji Manara Jangwani Ni Kosa Kubwa Sana!

Kumkaribisha Haji Manara Jangwani Ni Kosa Kubwa Sana!

Huyu hana tatizo na Simba bali Mo na Babra. Ila hata kuja Yanga siyo kuwa ni ishu za michezo tu, bali ni muendelezo wa ushindani wa kibiashara kati ya GSM na Mo.
Hivi unadhani Simba ni mtu? Yaani uwe na tatizo na CEO na Chairman halafu useme sina tatizo na Simba. Wakati hawa ndio madereva wa Simba
 
Unajua binadam sisi kila mmoja kazaliwa na kitu chake na nguvu fulani iliyo ndani mwake.

Tunatofautiana kuitumia.


Haji Manara, haraharaka ukimchek sio kitu ILA JAMAA ANA NGUVU KUBWA SANA , NGUVU YA KIUONGOZI NDANI YAKE, JAMAA ANA MAMLAKA.


nandicho kinamuweka mjini, Sisi tunapiga kelele, hafai hafai, ila ndio ivo imeshakua !!!.


Usishangae siku akatoka Yanga, akaenda Azam na BADO AKAKUBALIKA.
Wajinga ndio wanaweza mkubali mimi ni yanga sijawahi mkubali akiwa simba na sasa yanga
 
Huyu hana tatizo na Simba bali Mo na Babra. Ila hata kuja Yanga siyo kuwa ni ishu za michezo tu, bali ni muendelezo wa ushindani wa kibiashara kati ya GSM na Mo.
Kasikilize press yake ya ukaribisho alivyopiga fitna za wazi kwa club ya Simba utakuja kufuta comment yako hapa.
 
Haji Manara ana Power kubwa katika soka letu, kinywa chake ni dhahabu naanza kuamini alikuwa anafanya wachezaji wa simba wapate nguvu ya kujituma uwanjani, spirit aliyonayo katika kuzungumza ni ya kiwango kikubwa sana

Acha aendelee kupata Mkate wake
Aliewaitaga nyani hakukosea kabisa,mpira sio maneno wala sio uhamasishaji,bado mna akili za kijamaa na kishoshalist kuamini propaganda inaweza kufanya kazi!!
Mpira ni uwekezaji,na management nzuri,duniani kote uko mpira ulipopiga hatua kuna uwekezaji mkubwa umefanyika kuanzia kwenye wataalamu wa benchi la ufundi,wachezaji wazuri,vifaa vya mazoezi,vifaa tiba,lishe,na program tofauti za kiufundi.

Suala la makelele halina tofauti na waliopigana vita ya majimaji,kuamini kwenye propaganda kuwa wanaweza kuwashinda watu wanaotumia zana zenye teknolojia ya kisasa mwisho wa siku watu wakafa kwa kuamini ujinga,au walioamini propaganda za babu wa loliondo mwisho wa siku wakatumia kikombe kisicho na utaalamu na uthibitisho wa kisayansi wakafa!!

Watu wa Yanga kwa sababu ya ulofa wao, GSM amepoka madaraka kinyemela na sasa wanaongoza timu kwa manufaa ya kibiashara ya jina lao,bila kujali utamaduni wa timu hio,kama kweli yanga wanaitaji mafanikio waache kuwekeza kwenye propaganda wawekeze kwenye utaalamu zaidi.
 
Mashabiki wa Simba mnasema Manara hachezi SASA mnahaha nini?😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Si mtulie mkaushe Tu?

Mnasema Haijawakera mnajisumbua nini sasa kusema? Si mkaushe Tu? Mmeulizwa?... Kheeeee nyie vipi?

Tuache utani bwana Huyu bwana Akiwa upande wako ananoga bwana chaaaa😂😂😂😂😂😂.... Hili kenge linajua kukeraaa😂😂😂😂.... Manara kanyaga twende tumechelewa sanaaa, u know😂😂😂

Cc @roquefields @georgeshagillu @jr_farhanjr
 
Utopolo hamna mission wala vision. Watu tunajiandaa na club bingwa Africa nyinyi mnahangaika na Manara
 
Aliewaitaga nyani hakukosea kabisa,mpira sio maneno wala sio uhamasishaji,bado mna akili za kijamaa na kishoshalist kuamini propaganda inaweza kufanya kazi!!
Mpira ni uwekezaji,na management nzuri,duniani kote uko mpira ulipopiga hatua kuna uwekezaji mkubwa umefanyika kuanzia kwenye wataalamu wa benchi la ufundi,wachezaji wazuri,vifaa vya mazoezi,vifaa tiba,lishe,na program tofauti za kiufundi.

Suala la makelele halina tofauti na waliopigana vita ya majimaji,kuamini kwenye propaganda kuwa wanaweza kuwashinda watu wanaotumia zana zenye teknolojia ya kisasa mwisho wa siku watu wakafa kwa kuamini ujinga,au walioamini propaganda za babu wa loliondo mwisho wa siku wakatumia kikombe kisicho na utaalamu na uthibitisho wa kisayansi wakafa!!

Watu wa Yanga kwa sababu ya ulofa wao, GSM amepoka madaraka kinyemela na sasa wanaongoza timu kwa manufaa ya kibiashara ya jina lao,bila kujali utamaduni wa timu hio,kama kweli yanga wanaitaji mafanikio waache kuwekeza kwenye propaganda wawekeze kwenye utaalamu zaidi.
Katika football hakunaga rafiki wala adui wa kudumu.

Haji manara sio wa kwanza kuhama simba kwenda upande wa pili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua binadam sisi kila mmoja kazaliwa na kitu chake na nguvu fulani iliyo ndani mwake.

Tunatofautiana kuitumia.


Haji Manara, haraharaka ukimchek sio kitu ILA JAMAA ANA NGUVU KUBWA SANA , NGUVU YA KIUONGOZI NDANI YAKE, JAMAA ANA MAMLAKA.


nandicho kinamuweka mjini, Sisi tunapiga kelele, hafai hafai, ila ndio ivo imeshakua !!!.


Usishangae siku akatoka Yanga, akaenda Azam na BADO AKAKUBALIKA.
Ukweli mtupu
 
Ukiangalia family ya Manara utagundua kwamba Haji ni mwanetu wa kumzaa Wana Jangwani. Kwa aliyopitia hiv karibun wazazi wake tumekosa namna nyingine ya kumsaidia zaidi ya kumpa nafasi nyumban. Waswahili wanatuasa mtoto akiunajis mkono tusiukate
 
Sema matatizo ya uongozi wa Simba na Yanga Mtani sababu hata na nyie yalishawakuta haya.

Shida wanatanguliza kukomoana mbele. 🙁
Yah!huu usajili wa nanara ni wa kuwakera tu mikia,leo hii mikia usingizi wataupata kwa shida sana,nanara anajua kukera aisee
 
Back
Top Bottom