Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
YANGA NAHISI TUMEPIGWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina shaka na uwezo wake katika eneo lake. Lakini kitendo cha kuvuka mipaka ni jambo ambalo linatupatia hofu baadhi ya mashabiki wa Yanga SC.
Mimi sijapenda pia ila acha tutumie nguvu ya manara kujiweka sawa,jamaa ana kipaji cha uhamasishaji,usishangae siku na wanigeria kwa mkapa kukajaa pale,kingine tuwakere tu hawa 🐒 dadadekiSina shaka na uwezo wake katika eneo lake. Lakini kitendo cha kuvuka mipaka ni jambo ambalo linatupatia hofu baadhi ya mashabiki wa Yanga SC.
yaani mtu umeshamuona HIV halafu unasema namtia kwa tahadhali..hiyo ni akili au upuuziI hope kuna tahadhari wamezichukua kuhakikisha anafanya kazi katika uweledi unao takiwa zaidi.
Ujinga Wakati Wa Kwenda Kurudi Njia UnaijuaTutumai iwe hivyo!
Sema matatizo ya uongozi wa Simba na Yanga Mtani sababu hata na nyie yalishawakuta haya.Mtu mwenye akili timamu anawaza hivyo. Ndio maana huwa nasema tatizo la Yanga ni uongozi wao kutotumia akili
Yalishatukuta!!achana na historia mtaniSema matatizo ya uongozi wa Simba na Yanga Mtani sababu hata na nyie yalishawakuta haya.
Shida wanatanguliza kukomoana mbele. 🙁
Aliwahi kuwa katibu mwenezi CCM pale wilaya gani sijui Dar, so ni mwanasiasa usishangae na sijashangaaUnajua binadam sisi kila mmoja kazaliwa na kitu chake na nguvu fulani iliyo ndani mwake.
Tunatofautiana kuitumia.
Haji Manara, haraharaka ukimchek sio kitu ILA JAMAA ANA NGUVU KUBWA SANA , NGUVU YA KIUONGOZI NDANI YAKE, JAMAA ANA MAMLAKA.
nandicho kinamuweka mjini, Sisi tunapiga kelele, hafai hafai, ila ndio ivo imeshakua !!!.
Usishangae siku akatoka Yanga, akaenda Azam na BADO AKAKUBALIKA.
Kuwa mwangalifu na kauli zako,haya maisha hayana fomula , kesho yenyewe unaweza usitoboe. Mkosoe kwa mengine ila uzima wetu ni Mungu tu anajua.Mmechukua reject hamjamshinda mpinzani yoyote, kwanza mmesajili deadbodyView attachment 1906609
Hili mmeligundua lini ?Haji ni mtata baada ya miaka kadhaa hata hapo Yanga atawavuruga tu,historia yake inajieleza wazi hajapata kufanya kazi mahala na akatoka salama.
Hili kosa lilifanyika pia kwa (Masingiza) c.o wa pili pale simba. Akaja na kuisononesha Simba akasahau maendeleo ya club. Nina mashaka sana na ujio wa Manara. Muda upo tusubiri.Yanga wanasema wamemchukua Manara ili kuwakomoa simba
Huyu hana tatizo na Simba bali Mo na Babra. Ila hata kuja Yanga siyo kuwa ni ishu za michezo tu, bali ni muendelezo wa ushindani wa kibiashara kati ya GSM na Mo.Nimemsikia Haji maneno yake wakati anakaribishwa,kwanza ameonyesha yeye hana mapenzi na Yanga kafata pesa,pili kaonyesha kuwa yeye ni mkubwa pale Yanga kwa masaa machache tu aliyotambulishwa.huyu atawavuruga tu pale,na kasema wazi hana tatizo na Simba,muda utaongea.