Kumlipa Clinical Officer laki 6 sio haki hata kidogo

Wazee wa kugugo Diagnosis na kusoma prescription kwenye vitabu.

Kila Diagnosis ni UTI 🤣🤣🤣

Hawa watu bana.

Nurses wanakomaa na Labour, RCH, CTC, Triage

Vituo visipokuwa na pharmacist wao ndio wanakaa kubabakee,🤣

Halafu kinatokea ki-CO kimoja na shule yake ya Tandabui kinaona mshahara hautoshi🤣
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kusubiria mshaara wa laki 3,4,5,6 tena kwa siku 30 huo ni upuuzi.

Chukulia kwa mwezi unalipwa laki 6 matumizi kama yafuatavyo:
Kodi 120k
Chakula 450k
Vocha 40k
Usafiri 60k
Umeme+maji 20k
Jumla 690k tena unadaiwa -90k
 
Wazee wa kugugo Diagnosis na kusoma prescription kwenye vitabu.

Kila Diagnosis ni UTI [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hawa watu bana.
Elimu ya co imekua haina thamani kabisa sikuhizi..hata ukiwa na nyumba ya urithi unaweza fungua chuo cha co..na ukapata wanafunzi wakutosha.

Kama kigezo ni d mbili mtu nakua co si kuchezea taaluma huku...vilaza ndio mwisho wasiku wanakuja kulialia wanataka hela kuliko kideriver.

Manesi Mungu awabariki mnapiga sana kazi.


#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kusubiria mshaara wa laki 3,4,5,6 tena kwa siku 30 huo ni upuuzi.

Chukulia kwa mwezi unalipwa laki 6 matumizi kama yafuatavyo:
Kodi 120k
Chakula 450k
Vocha 40k
Usafiri 60k
Umeme+maji 20k
Jumla 690k tena unadaiwa -90k
Kwa akili yako unadhani wanaishi kwa mshahara tu..kila mtu hulia mezani pake..ofsini kuna mengi watu wanapata hela nyingi hata zaidi ya huo mshahara hapo hapo ofsini alipo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivi hawa watu ni wengi mnooo mtaani.

Kuna mmoja amekaa home mpaka amechoka, eti akaamua kwenda kusoma ADDO🤣

Yaani CO ameamua kwenda kusomea kuuza dawa🤣
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kusubiria mshaara wa laki 3,4,5,6 tena kwa siku 30 huo ni upuuzi.

Chukulia kwa mwezi unalipwa laki 6 matumizi kama yafuatavyo:
Kodi 120k
Chakula 450k
Vocha 40k
Usafiri 60k
Umeme+maji 20k
Jumla 690k tena unadaiwa -90k
In short, kama una uwezo wa kuzalisha pesa kubwa kwa mwezi kuliko kile unacholipwa kazini, ACHA KAZI.

Ila usije ukaacha kazi ukafikiri IDEAS na MOTIVATIONAL QUOTES zinalipa BILLS.

Akili kichwani.
 
Wazee wa kugugo Diagnosis na kusoma prescription kwenye vitabu.

Kila Diagnosis ni UTI 🤣🤣🤣

Hawa watu bana.

Nurses wanakomaa na Labour, RCH, CTC, Triage

Vituo visipokuwa na pharmacist wao ndio wanakaa kubabakee,🤣
Wewe ulitaka clinical officer a'diagnosed Cancer's ,endophthalmitis, toxic epidermal necrolysis, traumatic brain injury, thyroid carcinoma, urolithiasis??? hivi vitu vina level yake ndio maana vikaitwa primary health care ,hizo UTI,Maralia nk ndio vinavyosumbua jamii na wao ndio level yao ya kutibu sidhani kama kuna mtu mwenye uncomplicated Maralia anaweza kwenda kupoteza muda muhimbili ili atibiwe.
Vitu vikiwa vizito vinapewa referral
 
TGTHC mshahara ni kuanzia shingap
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kusubiria mshaara wa laki 3,4,5,6 tena kwa siku 30 huo ni upuuzi.

Chukulia kwa mwezi unalipwa laki 6 matumizi kama yafuatavyo:
Kodi 120k
Chakula 450k
Vocha 40k
Usafiri 60k
Umeme+maji 20k
Jumla 690k tena unadaiwa -90k
Tena hii ni kwa kujinyima sana!
 
Omba likizo alafu uje mtaani uitafute hiyo 20k kwa siku uone mziki wake kama ni kubwa au ni ndogo ukiona ni ndogo acha kazi uje utafute nyingi mtaani
 
CO anatakiwa apewe 1.2 m
MD apewe 3m...
Nurse degree apewe 2.5
Mfamasia ..2.5m
Dentist ...3m
Lab scientist 2.5m
.......
Itatokea ...pale maisha yatakapopanda sana ambapo hakutakuwa na tofauyi na sasa
.......hii mishahara ya mwisho wa mwezi jnafanya asubuhi mpaka jioni ...sikunyingine mpaka usiku ni uchawi yu.....
 
Nimecheka sana ....na UTI zao
 
Omba likizo alafu uje mtaani uitafute hiyo 20k kwa siku uone mziki wake kama ni kubwa au ni ndogo ukiona ni ndogo acha kazi uje utafute nyingi mtaani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
"Zaidi ya Miaka nane kwenye Cheo kimoja"!....Hizo takwimu ulizoongea ni za lini?
Mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni.Mh Raisi Samia kafanya kazi kubwa sana kupandisha watumishi Madaraja Mwaka huu, Hiyo Miaka 8 sijui kama atakuwepo hajapanda?!?! Pia Waziri alisema, "Mtumishi akiwa ana sifa ya kupanda, lazima apande"

Sasa Mkuu, embu jiUpdate...ili uwe unaandika kulingana na muda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…