Wazee wa kugugo Diagnosis na kusoma prescription kwenye vitabu.Nakuunga mkono watu wanaoapaswa kulipwa hela na posho za kutosha ni manesi..mana waaanza na mgonjwa mpaka anapotoka either mzima au amefariki..co wazee wa kuguugo diagnosis na treatment hata laki 6 wanapendelewa sana.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Subirini nje tutawaita.Walimu tunacomment wapi
Elimu ya co imekua haina thamani kabisa sikuhizi..hata ukiwa na nyumba ya urithi unaweza fungua chuo cha co..na ukapata wanafunzi wakutosha.Wazee wa kugugo Diagnosis na kusoma prescription kwenye vitabu.
Kila Diagnosis ni UTI [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa watu bana.
Kwa akili yako unadhani wanaishi kwa mshahara tu..kila mtu hulia mezani pake..ofsini kuna mengi watu wanapata hela nyingi hata zaidi ya huo mshahara hapo hapo ofsini alipo.Mtu mwenye akili timamu hawezi kusubiria mshaara wa laki 3,4,5,6 tena kwa siku 30 huo ni upuuzi.
Chukulia kwa mwezi unalipwa laki 6 matumizi kama yafuatavyo:
Kodi 120k
Chakula 450k
Vocha 40k
Usafiri 60k
Umeme+maji 20k
Jumla 690k tena unadaiwa -90k
Sasa hivi hawa watu ni wengi mnooo mtaani.Elimu ya co imekua haina thamani kabisa sikuhizi..hata ukiwa na nyumba ya urithi unaweza fungua chuo cha co..na ukapata wanafunzi wakutosha.
Kama kigezo ni d mbili mtu nakua co si kuchezea taaluma huku...vilaza ndio mwisho wasiku wanakuja kulialia wanataka hela kuliko kideriver.
Manesi Mungu awabariki mnapiga sana kazi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
In short, kama una uwezo wa kuzalisha pesa kubwa kwa mwezi kuliko kile unacholipwa kazini, ACHA KAZI.Mtu mwenye akili timamu hawezi kusubiria mshaara wa laki 3,4,5,6 tena kwa siku 30 huo ni upuuzi.
Chukulia kwa mwezi unalipwa laki 6 matumizi kama yafuatavyo:
Kodi 120k
Chakula 450k
Vocha 40k
Usafiri 60k
Umeme+maji 20k
Jumla 690k tena unadaiwa -90k
Wewe ulitaka clinical officer a'diagnosed Cancer's ,endophthalmitis, toxic epidermal necrolysis, traumatic brain injury, thyroid carcinoma, urolithiasis??? hivi vitu vina level yake ndio maana vikaitwa primary health care ,hizo UTI,Maralia nk ndio vinavyosumbua jamii na wao ndio level yao ya kutibu sidhani kama kuna mtu mwenye uncomplicated Maralia anaweza kwenda kupoteza muda muhimbili ili atibiwe.Wazee wa kugugo Diagnosis na kusoma prescription kwenye vitabu.
Kila Diagnosis ni UTI 🤣🤣🤣
Hawa watu bana.
Nurses wanakomaa na Labour, RCH, CTC, Triage
Vituo visipokuwa na pharmacist wao ndio wanakaa kubabakee,🤣
AMO haipo siku hizi.Kasome AMO miaka 2 tu utapanda mshahara
TGTHC mshahara ni kuanzia shingapBinafsi huwa naona watu wanaostahili kulalamika ni Nurses.
Kazi nyingi na departments nyingi wao ndio wanafanya kazi.
Kazi zote za kujaza MTUHA, kufanya usafi ni wao.
Kazi mpaka Weekends, sikukuu na usiku wa maanane.
Kazi za Labour kila siku cases mpya tena siku hizi Primes kibao, nurses hawalali usiku. Na sasa hivi mama mjamziti akifia Labour sijui utatoa maelezo gani mpaka serikali ikuelewe.
Na baya zaidi Bachelor Nursing ni 4 good years lakini mshahara wao ni TGHS C ambayo ni sawa na watu wa Lab, EHS, na HSM ambao husoma Bachelor miaka 3.
Co kulipwa laki 6 unalialia ni upuuzi wakati hata kazi nyingi huna. Unajipa umuhimu usiokuwa nao.
Tena hii ni kwa kujinyima sana!Mtu mwenye akili timamu hawezi kusubiria mshaara wa laki 3,4,5,6 tena kwa siku 30 huo ni upuuzi.
Chukulia kwa mwezi unalipwa laki 6 matumizi kama yafuatavyo:
Kodi 120k
Chakula 450k
Vocha 40k
Usafiri 60k
Umeme+maji 20k
Jumla 690k tena unadaiwa -90k
Nimecheka sana ....na UTI zaoWazee wa kugugo Diagnosis na kusoma prescription kwenye vitabu.
Kila Diagnosis ni UTI 🤣🤣🤣
Hawa watu bana.
Nurses wanakomaa na Labour, RCH, CTC, Triage
Vituo visipokuwa na pharmacist wao ndio wanakaa kubabakee,🤣
Halafu kinatokea ki-CO kimoja na shule yake ya Tandabui kinaona mshahara hautoshi🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Omba likizo alafu uje mtaani uitafute hiyo 20k kwa siku uone mziki wake kama ni kubwa au ni ndogo ukiona ni ndogo acha kazi uje utafute nyingi mtaani
"Zaidi ya Miaka nane kwenye Cheo kimoja"!....Hizo takwimu ulizoongea ni za lini?Nakuelewa sana unachoongea ndugu mtoa mada, serikali ingekuwa inathamini wataalamu wake laki 6 siyo mshahara wa kumlipa clinical officer ukizingatia ugumu wa kozi na muda ambao utahitaji kujitoa ku absorb materials ili uweze kutoa tiba kwa usahihi, mazingira magumu ya kazi, wakati mwingine unakuwa na presha kubwa ya wagonjwa wengi wanaohitaji huduma, bado unalipa ada kubwa na kujilipia kwenda field.
Watu wanakanyagana kuingia kwenye siasa na kusaka teuzi maana huko ndo kwenye neema. Mambo kama haya ya kutojali maslahi ya wataalamu ndo yanaleta hitajio la katiba mpya, watu wangekuwa wanapata increment na kupanda madaraja kwa wakati huenda tatizo la mishahara midogo lingepungua maana mtumishi akipanda na mshahara unaongezeka, lakini na kwenyewe wanabana hadi sasa kuna watumishi lukuki wana zaidi ya miaka nane kwenye cheo kimoja.