Kumlipa Clinical Officer laki 6 sio haki hata kidogo

Kumlipa Clinical Officer laki 6 sio haki hata kidogo

Clinical officers wanafanya kazi kubwa sana kunusuru Maisha ya watu, kumlipa CO laki 6 ambayo ni sawa na Tsh elfu 20 kwa siku tena hapo bado makato sio haki hata kidogo.

Tukianza na sekondari ,huyu Co alilipa ada kubwa tofauti na wanafunzi wengine wanaosoma michepuo ya biashara na sanaa.

Pia asilimia kubwa ya CO's wa sasa walipita ngazi ya advance na walilipa ada kubwa mno tofauti na michepuo mingine mf PCM,hkl,hge eca nk.


CO hata Kwenda field tu analipia wakati fani zingine field hulipii Bali wewe ndiye unalipwa.

Serikali wajitahidi kumuongezea Hela CO angalau laki 8 kwa mwezi.
Binafsi huwa naona watu wanaostahili kulalamika ni Nurses.

Kazi nyingi na departments nyingi wao ndio wanafanya kazi.

Kazi zote za kujaza MTUHA, kufanya usafi ni wao.

Kazi mpaka Weekends, sikukuu na usiku wa maanane.

Kazi za Labour kila siku cases mpya tena siku hizi Primes kibao, nurses hawalali usiku. Na sasa hivi mama mjamziti akifia Labour sijui utatoa maelezo gani mpaka serikali ikuelewe.

Na baya zaidi Bachelor Nursing ni 4 good years lakini mshahara wao ni TGHS C ambayo ni sawa na watu wa Lab, EHS, na HSM ambao husoma Bachelor miaka 3.

Co kulipwa laki 6 unalialia ni upuuzi wakati hata kazi nyingi huna. Unajipa umuhimu usiokuwa nao.
 
Clinical officers wanafanya kazi kubwa sana kunusuru Maisha ya watu, kumlipa CO laki 6 ambayo ni sawa na Tsh elfu 20 kwa siku tena hapo bado makato sio haki hata kidogo.

Tukianza na sekondari ,huyu Co alilipa ada kubwa tofauti na wanafunzi wengine wanaosoma michepuo ya biashara na sanaa.

Pia asilimia kubwa ya CO's wa sasa walipita ngazi ya advance na walilipa ada kubwa mno tofauti na michepuo mingine mf PCM,hkl,hge eca nk.


CO hata Kwenda field tu analipia wakati fani zingine field hulipii Bali wewe ndiye unalipwa.

Serikali wajitahidi kumuongezea Hela CO angalau laki 8 kwa mwezi.
Nakuelewa sana unachoongea ndugu mtoa mada, serikali ingekuwa inathamini wataalamu wake laki 6 siyo mshahara wa kumlipa clinical officer ukizingatia ugumu wa kozi na muda ambao utahitaji kujitoa ku absorb materials ili uweze kutoa tiba kwa usahihi, mazingira magumu ya kazi, wakati mwingine unakuwa na presha kubwa ya wagonjwa wengi wanaohitaji huduma, bado unalipa ada kubwa na kujilipia kwenda field.
Watu wanakanyagana kuingia kwenye siasa na kusaka teuzi maana huko ndo kwenye neema. Mambo kama haya ya kutojali maslahi ya wataalamu ndo yanaleta hitajio la katiba mpya, watu wangekuwa wanapata increment na kupanda madaraja kwa wakati huenda tatizo la mishahara midogo lingepungua maana mtumishi akipanda na mshahara unaongezeka, lakini na kwenyewe wanabana hadi sasa kuna watumishi lukuki wana zaidi ya miaka nane kwenye cheo kimoja.​
 
Usibishe tu, sema hiyo yako ni wapi. Kwa akili yako unafikiri serikali kuu inavyolipa ndivyo halmashauri zinavyolipa, ndivyo Aga Khan inavyolipa, ndivyo huko vichororoni wanavyolipa? Kuna wengine wanafanya UN pia na wanalipwa hadi milioni 7 kwa mwezi. Mimi nilikuwa naongelea average ktk market.
MD Mshahara sio chini ya 1.4-1.5 kama sikosei hiyo 1M sijui mmeitoa wapi

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Binafsi huwa naona watu wanaostahili kulalamika ni Nurses.

Kazi nyingi na departments nyingi wao ndio wanafanya kazi.

Kazinzote za kujaza MTUHA, kufanya usafi ni wao.

Kazi mpaka Weekends, sikukuu na usiku wa maanane.

Kazi za Labour kila siku cases mpya tena siku hizi Primes kibao, nurses hawalali usiku. Na sasa hivi mama mjamziti akifia Labour sijui utatoa maelezo gani mpaka serikali ikuelewe.

Na baya zaidi Bachelor Nursing ni 4 good years lakini mshahara wao ni TGHS C ambayo ni sawa na watu wa Lab, EHS, na HSM ambao husoma Bachelor miaka 3.

Co kulipwa unalialia ni upuuzi wakati hata kazi nyingi huna. Unajipa umuhimu usiokuwa nao.
Huyu dogo anatafuta attention tu hakuna asilolijua...
 
Hapo ndipo tatizo linapoanzia, mtu siyo kwamba anakwenda shuleni kujifunza au kujiendeleza ili aweze kupata maarifa zaidi ya kutatua changamoto zinazoikumba jamii na nchi yake, bali kusudi mshahara upande zaidi!!!

Ndo maana unakuta vyuoni watu wanategea assignment, group discussion kwa sababu hawakufuata maarifa, bali wafanye janja janja wapate cheti ili mshahara uongezeke.

Nashauri watu wenye dhamana ya kuruhusu watu kwenda masomoni, kigezo mojawapo kiwe ni changamoto gani ameiona anataka akaichimbe na kutafuta ufumbuzi zaidi, na iwe changamoto kweli.

Hili Jambo la watu kuwaza waza hela tu, halina afya kwa taifa letu.
 
Clinical officers wanafanya kazi kubwa sana kunusuru Maisha ya watu, kumlipa CO laki 6 ambayo ni sawa na Tsh elfu 20 kwa siku tena hapo bado makato sio haki hata kidogo.

Tukianza na sekondari ,huyu Co alilipa ada kubwa tofauti na wanafunzi wengine wanaosoma michepuo ya biashara na sanaa.

Pia asilimia kubwa ya CO's wa sasa walipita ngazi ya advance na walilipa ada kubwa mno tofauti na michepuo mingine mf PCM,hkl,hge eca nk.


CO hata Kwenda field tu analipia wakati fani zingine field hulipii Bali wewe ndiye unalipwa.

Serikali wajitahidi kumuongezea Hela CO angalau laki 8 kwa mwezi.
kama kazi imekushinda acha ili wengine wachukue hiyo nafasi maana kuna watu wengi wanaelimu zao kukuzidi wewe wamejazana mitaani hawana hata kazi ya kusingiziwa na wanahamu na kazi kwelikweli.
 
Binafsi huwa naona watu wanaostahili kulalamika ni Nurses.

Kazi nyingi na departments nyingi wao ndio wanafanya kazi.

Kazi zote za kujaza MTUHA, kufanya usafi ni wao.

Kazi mpaka Weekends, sikukuu na usiku wa maanane.

Kazi za Labour kila siku cases mpya tena siku hizi Primes kibao, nurses hawalali usiku. Na sasa hivi mama mjamziti akifia Labour sijui utatoa maelezo gani mpaka serikali ikuelewe.

Na baya zaidi Bachelor Nursing ni 4 good years lakini mshahara wao ni TGHS C ambayo ni sawa na watu wa Lab, EHS, na HSM ambao husoma Bachelor miaka 3.

Co kulipwa laki 6 unalialia ni upuuzi wakati hata kazi nyingi huna. Unajipa umuhimu usiokuwa nao.
Nakuunga mkono watu wanaoapaswa kulipwa hela na posho za kutosha ni manesi..mana waaanza na mgonjwa mpaka anapotoka either mzima au amefariki..co wazee wa kuguugo diagnosis na treatment hata laki 6 wanapendelewa sana.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom