Kumrudisha Makonda Katika Uongozi ni Ishara Tosha kuwa CCM Hawaziwezi Siasa za Kistaarabu Kama Wanavyojinasibu

Kifupi wamekata umeme wanataka goli la mkono la police na wakurugenzi
 
Mchumia tumbo sasa huna tofauti na lowasa uzee na kuchoka utadhania umri sawa nae utaacha kuishi kwa kutegemea taulo ndio maisha ya nzi wa kijani maisha yao. Nilikuona siku moja mahali Arusha nilitaka kulia km kizee hata kutembea huwezi utaacha kutafuta taulo babu hustle tena Huwezi ukiwa tv ulikuwa handsome na kukubali sana
 
Makandokando yanayoumiza wengine pasipo sababu unaona bora sio!?hivi huwa mna chuo cha unafiqw au shida shekeli!?.
 
WAMEMRUDISHA MUUAJI WAWARUDISHE NA KINA SABAYA NA HAPI

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…