Kumruhusu binti akajitafutie maisha ni kumfanya awe Malaya

Kumruhusu binti akajitafutie maisha ni kumfanya awe Malaya

Nafikir hakuna haja ya kumuapiza mtoa mada. Kimsingi aliyoyaongea yana ukweli kwa kiasi kikubwa. Kwa wanaoishi maeneo ya kinondoni, Sinza Kuna mabinti wengi wamemaliza chuo wamepangisha vyumba wanajitegemea wakiwa hawana kazi maalum. Ni aibu kwakweli, mdada anakuwa na wanaume wengi km Kijiji lkn anakwambia Hana jinsi maana anataka kulipa Kodi, umeme, maji, taka, ulinzi na chakula chake. Ni muhim wasichana kubaki nyumbani mpaka atakapopata shughuli ya uhakika ndo akajitegemee.
namuapiza mana amehukumu baadhi ya watu unjustly bila kujali background za watu
Wengine hali za maisha ni ngumu they're just to survive
Ana uhakika atakuwepo na atakua na uwezo binti wakiwa wakubwa?
The only way is to wait aone kama atayaishi
Dunia haiko fair na wote tunajua hilo

No solution fits all...
Kila mtu na lwake anajipambania
 
Kwa wanaoishi maeneo ya kinondoni, Sinza Kuna mabinti wengi wamemaliza chuo wamepangisha vyumba wanajitegemea wakiwa hawana kazi maalum. Ni aibu kwakweli, mdada anakuwa na wanaume wengi km Kijiji lkn anakwambia Hana jinsi maana anataka kulipa Kodi, umeme, maji, taka, ulinzi na chakula chake. Ni muhim wasichana kubaki nyumbani mpaka atakapopata shughuli ya uhakika ndo akajitegemee
Hao ni wale wavivu wa kazi za kilimo na kazi nyingine ngumu, wanaona njia rahisi ni kuuza miili yao, wanapenda maisha laini laini yasio toa jasho,
Pia kurudi makwao au kijijini wanaona aibu
 
namuapiza mana amehukumu baadhi ya watu unjustly bila kujali background za watu
Wengine hali za maisha ni ngumu they're just to survive
Ana uhakika atakuwepo na atakua na uwezo binti wakiwa wakubwa?
The only way is to wait aone kama atayaishi
Dunia haiko fair na wote tunajua hilo

No solution fits all...
Kila mtu na lwake anajipambania
Mbona una negativity sana wewe dada?
Unataka kutuaminisha kwamba nyinyi wanawake huwa mna entatain Upuuzi huo wa kujipangia muwe na Uhuru mnaoutaka cyo

Au probably we ni lust nn naona una defend sana hizo tabia na ishara za ki proschucha😂😂
 
Mbona una negativity sana wewe dada?
Unataka kutuaminisha kwamba nyinyi wanawake huwa mna entatain Upuuzi huo wa kujipangia muwe na Uhuru mnaoutaka cyo

Au probably we ni lust nn naona una defend sana hizo tabia na ishara za ki proschucha😂😂
Hadi nimesahau hii mada ilikua ni issue gani

But hakuna ajuae kesho
Mwenyezi atustiri tu Amiin
 
KUMRUHUSU BINTI AONDEKE NYUMBANI AKAJITAFUTIE MAISHA NI KUMFANYA AWE MALAYA!

Anaandika, Robert Heriel.

Mwanamke hatafuti maisha Ila anatafutiwa, maisha ya mwanamke yapo Kwa mume wake au Mzazi wake. Ni hatari na kosa kubwa kumruhusu binti yako akatafute maisha. Mwanaume ndiye anayekula Kwa jasho, neno Kula Kwa jasho linamaanisha "kutafuta" ili utafute basi itakupasa usijue kitu unachokitafuta kipo wapi na utakipata lini.

Mzazi unaanzaje kumruhusu Binti yako umpendaye akatafute maisha ambayo hajui yako wapi na atayapata lini, huo ni upumbavu, na kutokumpenda binti yako.

Binti anapaswa akishakua anaandaliwa mazingira ya kuolewa, Kama atakuwa amebahatika kupata kazi basi Alhamdulullah!

Kumruhusu binti akatafute maisha inamaanisha umeruhusu binti yako afanye umalaya,

1. Binti aombe kazi akiwa nyumbani kwako au nyumbani Kwa Ndugu yako unayemuamini bila kujali umri wa binti yako.

2. Usimruhusu binti kupanga chumba na kujitegemea ikiwa hana kazi maalumu, hajaajiriwa.
Mzazi ni Bora umuajiri binti yako mwenyewe ikiwa Ajira zinasumbua kuliko binti ajiajiri mwenyewe akiwa mbali na hapo nyumbani.

3. Binti akifikia umri wa kuolewa, hakikisheni anaolewa iwe Kwa Kupenda mwenyewe au kutokupenda.
Mwambieni umri wa kuolewa umefika, Kama anamchumba amlete nyumbani. Kama hana mwambie mnampa muda Fulani amlete mchumba akishindwa mwambieni mtamtafutia ninyi wenyewe.

4. Ni marufuku binti kufanya kazi za kujidhalilisha utu wake, au zenye mazingira ya kuudhalilisha utu wake. Kama Muziki wa kidunia. Sio binti anafanya vitu vya kipuuzi puuzi na kuanika uchi wake kwenye majukwaa Kama mwendawazimu.

5. Kama binti atapata kazi ya kuajiriwa mbali na nyumbani, akapanga nyumba basi muambieni mtampatia ndugu mdogo WA kuishi naye na kumsaidia kazi.

6. Ni vizuri umuozeshe binti yako Kwa kijana mnayeheshimiana hii itapunguza uonevu, unyanyasaji na hata kutalakiana kusiko Kwa muhimu.
Sio binti aokote wahuni wahuni wa uko mjini wasio ijua hata Imani na maana ya ndoa.

7. Mfanye binti yako akuelewe unataka nini kwake. Hii itapunguza mifarakano baina yako na yeye. Binti Yako asipokuelewa atakuwa mbaya zaidi.

8. Mtiishe mama yake na kumfanya mama yake awe Mke Bora ili aige kutoka Kwa Mama yake.
Mke wako akikushinda basi hata watoto wako watakushinda, hakikisha mkeo umemshepu vile unavyotaka ili isikusumbue katika malezi ya binti zako.
Madhara ya kushindwa kumtiiisha Mkeo utayaona Kwa watoto wako.

9. Usikubali mtu amchezee Binti Yako ungali upo hai.
Hakikisha Jambo hilo binti yako analifahamu. Hiyo itamfanya hata yeye asikubali mtu yeyote amchezee.

Ikiwa utashindwa kumlinda binti yako na kumpigania Kwa nguvu zote basi hata yeye atashindwa kujilinda na kujipigania.
Kitu chochote kisicholindwa kamwe hakiwezi ijua thamani yake. Hivyo hata chenyewe hakitaweza kujilinda.

10. Mfanye binti yako asiwe na Shaka juu ya Maisha. Mwambie hapo nyumbani ni kwao. Asiwe na presha ya kujitegemea kwani mwanamke hapaswi kuwa na fikra hizo. Mwambie, mwanamke ananyumba mbili, Kwao na Kwa mume wake.
Wakati mwanaume hana nyumba hata moja. Hata alizojenga sio zake.

Kuruhusu mwanamke kutafuta maisha NI Kumtupa kwenye shimo lenye nyoka wakali.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Safarini kuelekea Arusha,
Mi namfahamu binti mmoja,anafanya kazi za mahotelini,kama mwaka sasa aliondolewa ktk hotel moja pale Arusha na akaanza kutafuta kazi tena,yaani anavyo nyanyasika ni balaa...sasa hivi yuko huko Zanzibar anatafuta kazi za mahotelini utadhani hana wazazi,sometimes mpaka namhurumia,ni kweli kabisa mzazi kumuacha binti aende kujitegemea yaani panga pangua atakua malaya tu,either malaya wa wazi au malaya mstaarabu,ktk kubahatisha bahatisha kazi lazima atachezewa sana sana,na hata akipata kazi na amepanga amejitegemea bado atacgezewa tu maana wao wamezoea kupewa pewa mahitaji na by the way ndiyo asili ilivyo,unakuta anabadilisha wanaume yamkini kwa mwaka watatu mpaka wanne,achana na wale wa kutokea tu kama mawingu ya mvua,yaani aisee
 
KUMRUHUSU BINTI AONDEKE NYUMBANI AKAJITAFUTIE MAISHA NI KUMFANYA AWE MALAYA!

Anaandika, Robert Heriel.

Mwanamke hatafuti maisha Ila anatafutiwa, maisha ya mwanamke yapo Kwa mume wake au Mzazi wake. Ni hatari na kosa kubwa kumruhusu binti yako akatafute maisha. Mwanaume ndiye anayekula Kwa jasho, neno Kula Kwa jasho linamaanisha "kutafuta" ili utafute basi itakupasa usijue kitu unachokitafuta kipo wapi na utakipata lini.

Mzazi unaanzaje kumruhusu Binti yako umpendaye akatafute maisha ambayo hajui yako wapi na atayapata lini, huo ni upumbavu, na kutokumpenda binti yako.

Binti anapaswa akishakua anaandaliwa mazingira ya kuolewa, Kama atakuwa amebahatika kupata kazi basi Alhamdulullah!

Kumruhusu binti akatafute maisha inamaanisha umeruhusu binti yako afanye umalaya,

1. Binti aombe kazi akiwa nyumbani kwako au nyumbani Kwa Ndugu yako unayemuamini bila kujali umri wa binti yako.

2. Usimruhusu binti kupanga chumba na kujitegemea ikiwa hana kazi maalumu, hajaajiriwa.
Mzazi ni Bora umuajiri binti yako mwenyewe ikiwa Ajira zinasumbua kuliko binti ajiajiri mwenyewe akiwa mbali na hapo nyumbani.

3. Binti akifikia umri wa kuolewa, hakikisheni anaolewa iwe Kwa Kupenda mwenyewe au kutokupenda.
Mwambieni umri wa kuolewa umefika, Kama anamchumba amlete nyumbani. Kama hana mwambie mnampa muda Fulani amlete mchumba akishindwa mwambieni mtamtafutia ninyi wenyewe.

4. Ni marufuku binti kufanya kazi za kujidhalilisha utu wake, au zenye mazingira ya kuudhalilisha utu wake. Kama Muziki wa kidunia. Sio binti anafanya vitu vya kipuuzi puuzi na kuanika uchi wake kwenye majukwaa Kama mwendawazimu.

5. Kama binti atapata kazi ya kuajiriwa mbali na nyumbani, akapanga nyumba basi muambieni mtampatia ndugu mdogo WA kuishi naye na kumsaidia kazi.

6. Ni vizuri umuozeshe binti yako Kwa kijana mnayeheshimiana hii itapunguza uonevu, unyanyasaji na hata kutalakiana kusiko Kwa muhimu.
Sio binti aokote wahuni wahuni wa uko mjini wasio ijua hata Imani na maana ya ndoa.

7. Mfanye binti yako akuelewe unataka nini kwake. Hii itapunguza mifarakano baina yako na yeye. Binti Yako asipokuelewa atakuwa mbaya zaidi.

8. Mtiishe mama yake na kumfanya mama yake awe Mke Bora ili aige kutoka Kwa Mama yake.
Mke wako akikushinda basi hata watoto wako watakushinda, hakikisha mkeo umemshepu vile unavyotaka ili isikusumbue katika malezi ya binti zako.
Madhara ya kushindwa kumtiiisha Mkeo utayaona Kwa watoto wako.

9. Usikubali mtu amchezee Binti Yako ungali upo hai.
Hakikisha Jambo hilo binti yako analifahamu. Hiyo itamfanya hata yeye asikubali mtu yeyote amchezee.

Ikiwa utashindwa kumlinda binti yako na kumpigania Kwa nguvu zote basi hata yeye atashindwa kujilinda na kujipigania.
Kitu chochote kisicholindwa kamwe hakiwezi ijua thamani yake. Hivyo hata chenyewe hakitaweza kujilinda.

10. Mfanye binti yako asiwe na Shaka juu ya Maisha. Mwambie hapo nyumbani ni kwao. Asiwe na presha ya kujitegemea kwani mwanamke hapaswi kuwa na fikra hizo. Mwambie, mwanamke ananyumba mbili, Kwao na Kwa mume wake.
Wakati mwanaume hana nyumba hata moja. Hata alizojenga sio zake.

Kuruhusu mwanamke kutafuta maisha NI Kumtupa kwenye shimo lenye nyoka wakali.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Safarini kuelekea Arusha,
vijana siku hizi wanataka tu namba ya sim bac
 
Mi namfahamu binti mmoja,anafanya kazi za mahotelini,kama mwaka sasa aliondolewa ktk hotel moja pale Arusha na akaanza kutafuta kazi tena,yaani anavyo nyanyasika ni balaa...sasa hivi yuko huko Zanzibar anatafuta kazi za mahotelini utadhani hana wazazi,sometimes mpaka namhurumia,ni kweli kabisa mzazi kumuacha binti aende kujitegemea yaani panga pangua atakua malaya tu,either malaya wa wazi au malaya mstaarabu,ktk kubahatisha bahatisha kazi lazima atachezewa sana sana,na hata akipata kazi na amepanga amejitegemea bado atacgezewa tu maana wao wamezoea kupewa pewa mahitaji na by the way ndiyo asili ilivyo,unakuta anabadilisha wanaume yamkini kwa mwaka watatu mpaka wanne,achana na wale wa kutokea tu kama mawingu ya mvua,yaani aisee

Hatari Sana
 
Back
Top Bottom