Kumshambulia Hayati Magufuli kunaweza ligawa Taifa na kupunguza nguvu ya CCM kanda ya Ziwa

Nachojua wewe siyo mungu Wala shetani, wewe ni binadamu uliyekwenye mpango wa Mungu wa siku ngapi umesalia nawe uwe miongoni mwa waliotangulia,

Sasa, unapata wapi ujasiri wa kuhukumu wafu??
 
Usichoshwe na ujinga unaoonekana mitandaoni mkuu, hakuna cha Taifa kugawanyika Wala nini,

Mbona kitaani Maisha ni mazuri yaani fulu shangwe

Wako wanasiasa wameshabugimeni wanacho subiri ni wakati tu ushushe hukumu yake. Hawataliepuka hilo iwe kiangazi ima masika.
 
Una matatizo sana
 
Ni maoni yako tu.
 
KATI YA KANDA ZINAZOISHI WAPUMBAVU BASI NI HUKO KANDA YA ZIWA
Wewe ni wakala wa huyo mleta mada, mbona unamwongezea sifa na kurahisisha kazi yake?

Yeye pamoja na wewe nyote ni wapumbavu msiojitambua.

Na siajabu kwa ujinga wako hata usielewe kwa nini nawaweka nyote pamoja.
 
Hata ukienda ujerumani Kuna Mambo mazuri Sana hitlar aliyafanya uchumi wa ujerumani ulipaa Sana wakti wake lkn wajerumani hawawezi mkumbuka hitlar kwa mazuri wanamkumbuka kwa mabaya yake tu .hivyo ni vzr kutenda mema klk mabaya hili ni funzo kwetu
 
Marehemu aungwi Mkono acheni akili za Kimazingara...

Ukiona watu wanafuraha sasa hivi tambua walishamchoka... Sio Mtaani kwetu na mitaani raia wanafuraha wana tumaini jipya la Maisha kuliko la Mwendazake...
 
Mimi ni Mwana CCM na natoka Kanda ya Ziwa (LV-6) lakini kwa haya yanayoendelea SITARAJII KUIPIGIA CCM KURA 2025.
 
Sio kweli labda chato sio kanda yaziwa ,na yeye ndo aligawa kwani dar alibomoa nyumba mwanza akasema wasijaribu walimpigia kura ..acha msumemo ukate
 
Magufuli hakuwa mzalendo alikuwa katili na mtu mwenye roho mbaya,mbaguzi,mnafiki,muongo etc naishia hapo kwa leo
 
Hilo nimeliskia hata mimi halafu wanaofadhili kudhalilishwa hayati walienda hadi Chato wakajifanya kwamba wameumizwa sana kuondokewa na kijana wao kumbe ni kung'ong'a gizani. Zaidi ya msiba kwa sasa jeraha linalazimishwa kubaki bichi na kukauka kwake mpaka hasira zao wazitafsiri kwa vitendo.
The ruling party, the opposition parties and the people of Tanzania reconcile each other based on the customs and core values to prevent plunging nation into unnecessary social conflicts that jeopardize tranquility, nation security and subsequent economic collapse..........
*I beseech the almighty God save the nation from its people taking revenge to each other to prevail the outstanding peace that has been built for so long by the founders of the nation.
 
Usidanganye awamu zote 5 zimepondwa mawe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…