Kumshambulia Hayati Magufuli kunaweza ligawa Taifa na kupunguza nguvu ya CCM kanda ya Ziwa

Usiumize akili yako kushindana na hiyo jamaa ni gasho.
Gasho haswa............ Ona na yule pimbi mwingine hajui kama amebadilishiwa wizara anabaki kutishia watu............. vitisho vilikatika rasmi toka tare 6.3.2021 na kuwekwa bayana tarehe 17.03.2021 na tukavizika kamili tarehe26.03.2021. wajitahidi sana lile pepo liwatoke. Wasitutishe
 
Na iwe funzo kuongoza nchi kikanda na kikabila, KWA Sasa tunahitaji umoja wa kitaifa sio kuangalia ukanda wa mwenda zake,vyama badae taifa kwanza, na Maghufuli hii nchi haikua urithi wake,mbona hamjiulizi why hawam zote zilizopita hazisemwi KWA ubaya wa kiwango Cha Maghufuli, ni vyema mpendao Maghufuli na kuona bado mh mpya Rais hatoshi mjikite kumuombe ili akapunguziwe adhabu huko aliko, KWA Sasa wakati wake umepita ,na utafutika kabisa kwenye vinywa vyenu asema bwana
 
Tanzania kwanza, CCM baadae. Ukilielewa hilo hutaona madhara ya kumshambulia Hayati Magu, kama tu ushambuliaji huo unatija kwa taifa.

Makosa yaliyofanyika kwa mwl Nyerere ysifanyike kwa Hayati Magu, kwa sababu tumekuwa waoga sana wa kukosoa sera za mwl Nyerere hata pale alipokosea eti kwa kufanya hivyo kutaigawa Taifa au kutapunguza hadhi yake.

Binafsi nafikiri kumkosoa Hayati Magu si mbaya kwani wale wataofikiri si kweli nao wajitokeze kupinga hoja hizo.
 
JPM anachukiwa tu humu mtandaoni lakini huku nje yaani watu wanaomboleza Sana.
 
If there were free and fair elect......ons apart from undermining fredoom of express..ion you wouldn't have been talking this SHIT that your trying to make us believe.
 
Kuna wapuuzi wanasema watu walitaka kushuhudia huyu aliefananishwa na yesu,malaika na mungu kama amekufa kweli.
 
Kweli kaka, hata watu wa hali ya chini mambo yalienda vizuri, fikiria mpaka mchoma mahindi anaweza kumiliki bastola!
 
Jitu likiwa ovu ni ovu tu mbona kafa maalim seif mbona hashambuliwi, ndio ujue kulikuwa na kitu hakiko sawa mtu kafa watu wanafanya sherehe loh lazima ujiulize mara mbilimbili
 
Wacha ligawike tu,, maana haya yote yamesababishwa na CCM wenyewe
 
Kuna wabunge walianza kumkosoa wengine kumkejeli bungeni baada ya kuipata feedback mtaani naona bunge limegeuka wanataadhalishana juu ya Magufuli kuna ukweli wameuona mitaani. Mitaa ilimuelewa Magufuli na hakuna unachoweza waambia tofauti wakuelewe.
 
Watuache kabisa.hawa yalama Wa kisiasa,bwana wao waliemfananisha na masihi yesu tulitegemea angefufuka siku ya pasaka hakufufuka .
 
Wizi mtupu!!!!. Nchi alishaigawa vipandevipande. Wewe sijui unaishi wapi, inawezekana kanda ya ziwa au Dar. Humu nchini kuna maeneo unayoyaongea hawayajui, hali kwao imezidi kuwa mbaya, umeme umezidi kukatika,ujambazi umezidi. Kilichopungua ni kutangazwa kwa mambo mabaya kwa sababu vyombo vimezibwa midomo. Raha ya nchi kuendeshwa gizani. Watu wanafikiria wanayoyaona wao tu machoni, tembea ushangae anavyolaaniwa huyu ndugu yako na wastu wanavyofurahia kuondoka kwake
 
Mbona watu mmejaa chuki na ukabila sana au rais kuwa msukuma au ulitaka atokee kabila lako? Daima chuki sio jambo jema.HESHIMA YA MAGUFULI ITABAKI DAIMA.
Mnalazimisha sana aonekane anaheshima lakini hilo halita wezekana nyie ni wafuasi wake tu mlio kuwa mnanufaika naye poleni

Unadhani sisi tutakuwa wakabila kuliko yeye aliye sema hadharani huko mwanza kuwa hawa msiwabomolee ni wapiga kura wangu wakati huo dar es salaam kawabomolea bila fidia ?

Hebu msimpambe huyo mungu wenu na kulazimisha watu wamuone kama ninyi , kwanza asha sahaulika sahizi kama midomoni mwa wasukuma na wanufaika wake tu.
 
Kwendraaaaaa
 
Wewe ni mtu duni mno" Huna ujuacho kaa kimya!!
 
Magufuli mnamtukuza kwa sifa asizokua nazo. Angekua anapendwa na wengi asingeharibu uchaguzi Kuanzia ule wa serikali za mitaa, kutishia wakurugenzi kuhusu kutangaza washindi asiowataka, kujaribu kuzuia fikra tofauti na Mengine mengi

Kiufupi Magufuli ndiye raisi dhaifu.kuliko Wengine wote waliomtangulia. Anajificha nyuma ya miradi ambayo ni wajibu wa serikali inayotoza kodi kutekeleza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…