Na ndio mjinga kiwango cha Paschal mayala.Hayo ni maoni yako tu.
Na hao unaowaita Watanzania wajinga na wasio na uelewa nao wanaweza kukuona wewe u mjinga na uliye na uelewa wa chini.
Kujiona una akili haimaanishi kwamba una akili kweli.
Haupo vile ujidhaniavyo.
Alafu anajifanyaga anamjua huyu Dicteta uchwara kutuzidi sisi.