Na ndio mjinga kiwango cha Paschal mayala.Hayo ni maoni yako tu.
Na hao unaowaita Watanzania wajinga na wasio na uelewa nao wanaweza kukuona wewe u mjinga na uliye na uelewa wa chini.
Kujiona una akili haimaanishi kwamba una akili kweli.
Haupo vile ujidhaniavyo.
Usichukie bana na usipanic ukaanza kutukana mitusi hovyo, kama unataka kufa nawewe ili ukamtetee vizuri huko kuzimuni usitupigie kelele hapa.Kukariri na kurudia rudia tu maneno bila hata ya kujua maana yake!
FOH with your monkey see monkey do nonsense.
Sema ninalia.Wajinga tu ndo wanamchukia magufuli. Watu mpaka sasa hivi tunalia. Haya maumivu ni zaidi ya maumivu
Unachouza, nanunua!!Nyie mnao taka huyo magufuli aonekane mungu mtu ndio wajinga sana mbona kikwete alisemwa sana tena akiwa hai na magufuli tena wazi wazi kwa vijembe mbona mlikaa kimya?
Nyie wasukuma tuondoleeni upuuzi wenu huyo mtu wenu kama mnaona ni malaika nendeni kaburini kwake mkamtukuzie huko huko tuondoleeni upumbavu wenu.
Mtu asiye taka kukaguliwa anafunga watu midomo watu wasiseme mapungufu yake sasa watu wameyakusanya maovu sasa wamepata nafasi ya kuyaongea sasa wanayaongea mnalalamika nini sasa.
Umezibwa mdomo kwa hiyo unapumulia chini au?Ndiyo matunda ya kuziba watu midomo
Walikuwa wangapi hao watu.Kwani uraiani nako watu wanamchukia Magufuli kama ilivyo kwa raia wa Jamhuri ya Muungano wa Twitter na Ufipa?
Bado naamini Rais Magufuli alikuwa anaungwa mkono na idadi kubwa ya watu walio wengi.
Na watu hao walituma ujumbe wao kipindi cha msiba wake.
Usiwe dwanzi, kibinadamu mema 10 hata 50 yanaweza kufutwa na ubaya mmoja tu! Sasa kwa bahati mbaya sana mabaya yake machache ni mazito mno kuliko makalvati, madege, maji, zahanati ma elimu bure! Kutembea miaka 5 unapandikiza chuki, kujimwambafy, kutokuheshimu katiba, ubabe, ukatili na kutokujali thamani ya uhai wa binadamu, watu wanapotea, watu wanauwawa, watu wanapigwa risasi anakaa kimya! Makalvati hayamlindi ng'o!Nianze moja kwa moja kutoa maoni yangu kwa hali ya kisiasa nayoiona. Kifo cha Rais Magufuli imeacha pengo kubwa sana kwenye taifa. Kwa wale wasiopenda kusikia jina la magufuli niseme tu, Hayati alikuwa na wafuasi wengi kifo chake kimedhirisha hivyo na atakumbukwa siku zote kwa mambo mazuri aliyolifanyia taifa hili.
Niseme tu wazi si kila jambo alilolifanya hayati ni baya kwenye taifa hili. Ameacha alama kubwa sana. Licha ya kuwa na matatizo ya moyo alijitolea usiku na mchana kulipigania taifa lake.
Najua akili ni nywere na kila mtu ana zake. Watu wanaodai magufuli alikuwa fisadi unashindwa kuelewa jinsi walivyo na kumbukumbu ndogo ya aina ya ufisadi tuliyopitia kwenye taifa hili kabla ya magufuli kuingia madarakani. Kumbukeni ufisadi wa TEGETA ESCROW, EPA, BOMBA LA GAS MTWARA. Sote tunajua viongozi wa Afrika wakiiba pesa wanapeleka wapi. Wanakimbiza nchi za maghariba..kama Hayati aliiba hayo mabillioni yako wapi? Matrillion yako wapi?
Ameanzisha ujenzi wa reli kwa gharama ndogo sana uki compare na majirani zetu tena ya kutumia umeme.
Magufuli anatoka kanda yenye nguvu kiasiasa. Ukweli ni kwamba magufuli ameumiza sana watu wa kanda hiyo na taifa kwa jumla. Kitendo cha kuendelea kumshambulia kwa tuhuma ambazo watu wenye akili za kawaida kabisa wanajua zina malengo ya kisiasa nikutengeneza magawanyiko mkubwa huko mbeleni.
Kuna kitu magufuli kaacha kwenye mioyo ya watanzania. Nacho ni uzalendo. Wamejua kuhusu ukoloni mamboleo na jinsi baadhi ya viongozi wanavyotumika na nchi za magharibu kuhujumu mataifa yao either kwa ufisadi, mikataba mibovu etc.
Nimalizie kwa kusema, magufuli hakuwa malaika. Binafsi kuna mambo kadhaa niliyapinga kwenye utawala wake lakini niseme ni kiongozi mzalendo hili taifa kuwahi kupata.
Kama mnataka tuamini huo ufisadi mtueleze MAGUFULI KAFICHA HELA WAPI? Alizibeba kwenye sandarusi? Ana account ya pesa ulaya? MUNGU ATAMLIPA KIUMBE WAKE. KAKIKA KILA NAFSI ITAONJA MAUTI.
Mwisho kabisa kabla haujaendelea na mkakati ovu wa kumshambulia magufuli labda ujiulize. MAUAJI YA ALBINO YAKO WAPI? UFISADI MKUBWA UKO WAPI? UJAMBAZI UKO WAPI? KUKATIKA UMEME JE? AU TUMESAHAU JINSI MAJENERETA YALIVYOKUWA YANATUUMIZA MASIKIO?
Hakika MUNGU ATAMLIPA JPM kwa kutetea wanyonge na watu wasiokuwa na nguvu. Miaka 100 ijayo utakuwepo? Basi jifunze na beba mema ya hayati JPM mabaya muachie Mungu wake atamuhukumu.
Daudi alimwaga damu lakini Mungu alimkumbuka.
Kinyesi ni kinyesi, hata ukikificha jikoni kitaendelea kunuka tu.1.5 tirion ilipotea kipindi cha nani?
Na usituchanganye kabisa , Kikwete aliruhusu watu kujadiri Wizi kwenye Nchi yao, yeye hata Kukopa alikuwa anakopa kwa siri
Uchumi wa Gizani
Yaani maufisadi yoooote ya Kipindi cha Kikwete uliyoyasema , tuliyajua kwasababu Kikwete mwenyewe alitaka tuyajue, angetaka kuficha angeweza na angetoka madarakani bila kuwa na rekodi unazosema,
Kuficha tatizo, haina maana kwamba hakuna tatizo, limefichwa
Inawezekana alipendwa sana, lakini bado napinga kwamba ule wingi wa watu msibani ni sababu ya upendo! Siwezi kuamini kwamba wale wana familia watano waliokanyagwa hadi kufa, walimpenda sana mwendazake hata wakatoa maisha yao kwa ajili yake! Kuna walio mpenda, tunakubali, lakini waliokua hawampendi wapo, Twitter, Ufipa, Bungeni, kwenye cabinet yake mwenyewe, Kigwa, Kafupi na wengine wengi!Kwani uraiani nako watu wanamchukia Magufuli kama ilivyo kwa raia wa Jamhuri ya Muungano wa Twitter na Ufipa?
Bado naamini Rais Magufuli alikuwa anaungwa mkono na idadi kubwa ya watu walio wengi.
Na watu hao walituma ujumbe wao kipindi cha msiba wake.
Hamkutaka habari za kiuchunguzi hadi mkaanzisha magenge ya eti watu wasiojulikaanaUmezibwa mdomo kwa hiyo unapumulia chini au?
Kama ungezibwa midomo ungeweza kumtukana humu siku zote huko nyuma?
Kuweni wakweli na mambo ya hovyo acheni.
kwa sababu walijitokeza wengi barabarani?.Kwani uraiani nako watu wanamchukia Magufuli kama ilivyo kwa raia wa Jamhuri ya Muungano wa Twitter na Ufipa?
Bado naamini Rais Magufuli alikuwa anaungwa mkono na idadi kubwa ya watu walio wengi.
Na watu hao walituma ujumbe wao kipindi cha msiba wake.
Wasiojulikana ni kundi la mbowe na mea mstaafu wa ubungo.Hamkutaka habari za kiuchunguzi hadi mkaanzisha magenge ya eti watu wasiojulikaana
Maisha Ndo haya haya sa tuende wapiNianze moja kwa moja kutoa maoni yangu kwa hali ya kisiasa nayoiona. Kifo cha Rais Magufuli imeacha pengo kubwa sana kwenye taifa. Kwa wale wasiopenda kusikia jina la magufuli niseme tu, Hayati alikuwa na wafuasi wengi kifo chake kimedhirisha hivyo na atakumbukwa siku zote kwa mambo mazuri aliyolifanyia taifa hili.
Niseme tu wazi si kila jambo alilolifanya hayati ni baya kwenye taifa hili. Ameacha alama kubwa sana. Licha ya kuwa na matatizo ya moyo alijitolea usiku na mchana kulipigania taifa lake.
Najua akili ni nywere na kila mtu ana zake. Watu wanaodai magufuli alikuwa fisadi unashindwa kuelewa jinsi walivyo na kumbukumbu ndogo ya aina ya ufisadi tuliyopitia kwenye taifa hili kabla ya magufuli kuingia madarakani. Kumbukeni ufisadi wa TEGETA ESCROW, EPA, BOMBA LA GAS MTWARA. Sote tunajua viongozi wa Afrika wakiiba pesa wanapeleka wapi. Wanakimbiza nchi za maghariba..kama Hayati aliiba hayo mabillioni yako wapi? Matrillion yako wapi?
Ameanzisha ujenzi wa reli kwa gharama ndogo sana uki compare na majirani zetu tena ya kutumia umeme.
Magufuli anatoka kanda yenye nguvu kiasiasa. Ukweli ni kwamba magufuli ameumiza sana watu wa kanda hiyo na taifa kwa jumla. Kitendo cha kuendelea kumshambulia kwa tuhuma ambazo watu wenye akili za kawaida kabisa wanajua zina malengo ya kisiasa nikutengeneza magawanyiko mkubwa huko mbeleni.
Kuna kitu magufuli kaacha kwenye mioyo ya watanzania. Nacho ni uzalendo. Wamejua kuhusu ukoloni mamboleo na jinsi baadhi ya viongozi wanavyotumika na nchi za magharibu kuhujumu mataifa yao either kwa ufisadi, mikataba mibovu etc.
Nimalizie kwa kusema, magufuli hakuwa malaika. Binafsi kuna mambo kadhaa niliyapinga kwenye utawala wake lakini niseme ni kiongozi mzalendo hili taifa kuwahi kupata.
Kama mnataka tuamini huo ufisadi mtueleze MAGUFULI KAFICHA HELA WAPI? Alizibeba kwenye sandarusi? Ana account ya pesa ulaya? MUNGU ATAMLIPA KIUMBE WAKE. KAKIKA KILA NAFSI ITAONJA MAUTI.
Mwisho kabisa kabla haujaendelea na mkakati ovu wa kumshambulia magufuli labda ujiulize. MAUAJI YA ALBINO YAKO WAPI? UFISADI MKUBWA UKO WAPI? UJAMBAZI UKO WAPI? KUKATIKA UMEME JE? AU TUMESAHAU JINSI MAJENERETA YALIVYOKUWA YANATUUMIZA MASIKIO?
Hakika MUNGU ATAMLIPA JPM kwa kutetea wanyonge na watu wasiokuwa na nguvu. Miaka 100 ijayo utakuwepo? Basi jifunze na beba mema ya hayati JPM mabaya muachie Mungu wake atamuhukumu.
Daudi alimwaga damu lakini Mungu alimkumbuka.
Wewe wa Chato Kagera inakuhusu nini? Tuache tunajua madhara ya tetemeko na matusi tuliyokumbana nayo toka kwa mtu tulitegemea atatufariji kama kiongozi.Nashangaa unatusemea watu wa Kagera...mbona sisi hayo hatuyajui?
Mmezoea kusafishwa ubongo,'You can not brain wash every body'Wasiojulikana ni kundi la mbowe na mea mstaafu wa ubungo.