Kumshambulia Hayati Magufuli kunaweza ligawa Taifa na kupunguza nguvu ya CCM kanda ya Ziwa

Hayo ni maoni yako tu.

Na hao unaowaita Watanzania wajinga na wasio na uelewa nao wanaweza kukuona wewe u mjinga na uliye na uelewa wa chini.

Kujiona una akili haimaanishi kwamba una akili kweli.

Haupo vile ujidhaniavyo.
Na ndio mjinga kiwango cha Paschal mayala.
Alafu anajifanyaga anamjua huyu Dicteta uchwara kutuzidi sisi.
 
Hayo ni matunda ya Magufuli mwenyewe. Alipokua madarakani alihubiri ukanda, uchama na upendeleo kwa wachache.

Acha taifa ligawanyike tu sababu ndio yalikua maono ya shujaa wa Afrika.
 
Kukariri na kurudia rudia tu maneno bila hata ya kujua maana yake!

FOH with your monkey see monkey do nonsense.
Usichukie bana na usipanic ukaanza kutukana mitusi hovyo, kama unataka kufa nawewe ili ukamtetee vizuri huko kuzimuni usitupigie kelele hapa.
 
Wajinga tu ndo wanamchukia magufuli. Watu mpaka sasa hivi tunalia. Haya maumivu ni zaidi ya maumivu
Sema ninalia.
Tunalia ndio nini?
Basi na mimi ngoja nikuunganishe kwenye langu.
Hatulii na tunatamani angechimbiwa Kaburi kilometa moja.
 
Unachouza, nanunua!!
 
Ndiyo matunda ya kuziba watu midomo
Umezibwa mdomo kwa hiyo unapumulia chini au?

Kama ungezibwa midomo ungeweza kumtukana humu siku zote huko nyuma?
Kuweni wakweli na mambo ya hovyo acheni.
 
Walikuwa wangapi hao watu.

Milioni 40?

Ukiona watu laki moja hao ndio "uraiani"?
 
Usiwe dwanzi, kibinadamu mema 10 hata 50 yanaweza kufutwa na ubaya mmoja tu! Sasa kwa bahati mbaya sana mabaya yake machache ni mazito mno kuliko makalvati, madege, maji, zahanati ma elimu bure! Kutembea miaka 5 unapandikiza chuki, kujimwambafy, kutokuheshimu katiba, ubabe, ukatili na kutokujali thamani ya uhai wa binadamu, watu wanapotea, watu wanauwawa, watu wanapigwa risasi anakaa kimya! Makalvati hayamlindi ng'o!
 
Nyani Ngabu et al pro magufulis

huyo mtu wenu angekuwa anakubalika kanda pendwa,basi kwenye GE 2020 wizi wa kura ambao siye wingine tulisaidia kuufanikisha basi ungetokea sehemu nyingine tu na si kanda ya ziwa.

ila uliza uambiwe!

si simiyu,geita,mwanza,mara,tabora au kagera kote kura za masandarusi ziliingizwa kwenye vituo.

sasa kama hao watu wengi wa mikoa karibu ya sita walishindwa nini kumjazia kura huyo mwana kanda ya ziwa mwenzao mpaka kutegemea kura za mifukoni?

kinachoshangaza kipi kilichowashinda hawa watu unaowaita wengi ambao walisindikiza jeneza lake wasiende kumjazia kura badala ya kutegemea za wizi?

uzuri ushaidi wa kura za wizi kuanzia picha mnato au vidio vyote vipo,tena hata huko kanda pendwa!

halafu the political cyber atmosphere on all online platforms ni tofauti na huko nje.

hakuna wasukuma wenye mawazo kama ya mleta mada.

eti wasukuma wanakasirika tukimpopoa aliekufa!

ukitaka kuamini,we subiria 2024 na 2025.
 
Kinyesi ni kinyesi, hata ukikificha jikoni kitaendelea kunuka tu.
 
Inawezekana alipendwa sana, lakini bado napinga kwamba ule wingi wa watu msibani ni sababu ya upendo! Siwezi kuamini kwamba wale wana familia watano waliokanyagwa hadi kufa, walimpenda sana mwendazake hata wakatoa maisha yao kwa ajili yake! Kuna walio mpenda, tunakubali, lakini waliokua hawampendi wapo, Twitter, Ufipa, Bungeni, kwenye cabinet yake mwenyewe, Kigwa, Kafupi na wengine wengi!
 
Umezibwa mdomo kwa hiyo unapumulia chini au?

Kama ungezibwa midomo ungeweza kumtukana humu siku zote huko nyuma?
Kuweni wakweli na mambo ya hovyo acheni.
Hamkutaka habari za kiuchunguzi hadi mkaanzisha magenge ya eti watu wasiojulikaana
 
"Kumshambulia hayati Magufuli kunaweza ligawa taifa..."?

Yeye alikuwa akiliunganisha taifa, au unayo maana nyingine ya kugawa taifa?

Alifanya kazi kubwa sana kuwagawa waTanzania kiasi cha kwamba kazi hiyo ndiyo itakayomwondolea hizi sifa ndogondogo za ujenzi wa vitu mnaoutanguliza mbele kama uzalendo wake.
 
kwa sababu walijitokeza wengi barabarani?.
Watanzania tunapenda matukio na wapo wengi waliokwenda kushuhudia tukio la kihistoria la rais kufa madarakani
 
Maisha Ndo haya haya sa tuende wapi
 
Nashangaa unatusemea watu wa Kagera...mbona sisi hayo hatuyajui?
Wewe wa Chato Kagera inakuhusu nini? Tuache tunajua madhara ya tetemeko na matusi tuliyokumbana nayo toka kwa mtu tulitegemea atatufariji kama kiongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…