Kumshambulia Hayati Magufuli kunaweza ligawa Taifa na kupunguza nguvu ya CCM kanda ya Ziwa

Kumshambulia Hayati Magufuli kunaweza ligawa Taifa na kupunguza nguvu ya CCM kanda ya Ziwa

Usingefuatilia huu mjadara kama Kweli hutaki umkumbuke Magu, na kuhusu yeye mwaka huu wote nyuzi za kumhusu yeye zitakuwa nyingi kuliko hata mradi wa kifisadi na Mkataba wa hovyo wa bandari ya Bagamoyo na kuliko propesa Muongo!!
Utavimba upasuke mwaka huu
 
Kitendo cha kumsema vibaya marehemu si kizuri hata kidogo,, lakini kuna cha kujiuliza ni kwanini iwe kwa magufuli? Mbona kwa Mkapa haikuwa hivi? Au kwa kuwa amefariki akiwa madarakani? So kuna kitu cha kujifunza huenda kuna watu wameumizwa sana na utawala wake ingawa sioni kama ni busara na haki kumshambulia mtu ambaye hana uwezo tena wa kujitetea.
[emoji3][emoji3][emoji3] jitetea yake unaikumbuka wakati huo uwezo anao?
Ye alikuwa anakuumiza tu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Upo sahihi..sipendi kabisa siasa za ubaguzi..sote ni watanzanja, sote ni waafrika, ubaguzi wa nini?

..tatizo ni kwamba siasa za ubaguzi na propaganda za kuligawa taifa zinalipa hapa Tanzania.

..naamini mbinu chafu za kuwagawa Watanzani zitaendelea kutumika ktk siasa, na uchaguzi, mpaka pale tutakapokataa upuuzi huo.
 
KATI YA KANDA ZINAZOISHI WAPUMBAVU BASI NI HUKO KANDA YA ZIWA
 
Nimemwangalia MB. Lusinde nimeona amejiweka katika wakati mgumu sana , muda wote alikuwa akisema Samia samia bila kutambua urais wa Mhe. Samia Suluhu huku akimuenzi Mh.magufuli kwa kutambua Urais kwa kutamka Rais Magufuli vilevile hakuishia hapo akamalizia kwa kumpongeza Bashiru na kusema mnyonge mnyongeni na haki yake mpeni inamaanisha hajakubaliana na maamuzi ya Bashiru kupelekwa Bungeni.
 
Nianze moja kwa moja kutoa maoni yangu kwa hali ya kisiasa nayoiona. Kifo cha Rais Magufuli imeacha pengo kubwa sana kwenye taifa. Kwa wale wasiopenda kusikia jina la magufuli niseme tu, Hayati alikuwa na wafuasi wengi kifo chake kimedhirisha hivyo na atakumbukwa siku zote kwa mambo mazuri aliyolifanyia taifa hili.

Niseme tu wazi si kila jambo alilolifanya hayati ni baya kwenye taifa hili. Ameacha alama kubwa sana. Licha ya kuwa na matatizo ya moyo alijitolea usiku na mchana kulipigania taifa lake.

Najua akili ni nywere na kila mtu ana zake. Watu wanaodai magufuli alikuwa fisadi unashindwa kuelewa jinsi walivyo na kumbukumbu ndogo ya aina ya ufisadi tuliyopitia kwenye taifa hili kabla ya magufuli kuingia madarakani. Kumbukeni ufisadi wa TEGETA ESCROW, EPA, BOMBA LA GAS MTWARA. Sote tunajua viongozi wa Afrika wakiiba pesa wanapeleka wapi. Wanakimbiza nchi za maghariba..kama Hayati aliiba hayo mabillioni yako wapi? Matrillion yako wapi?

Ameanzisha ujenzi wa reli kwa gharama ndogo sana uki compare na majirani zetu tena ya kutumia umeme.

Magufuli anatoka kanda yenye nguvu kiasiasa. Ukweli ni kwamba magufuli ameumiza sana watu wa kanda hiyo na taifa kwa jumla. Kitendo cha kuendelea kumshambulia kwa tuhuma ambazo watu wenye akili za kawaida kabisa wanajua zina malengo ya kisiasa nikutengeneza magawanyiko mkubwa huko mbeleni.

Kuna kitu magufuli kaacha kwenye mioyo ya watanzania. Nacho ni uzalendo. Wamejua kuhusu ukoloni mamboleo na jinsi baadhi ya viongozi wanavyotumika na nchi za magharibu kuhujumu mataifa yao either kwa ufisadi, mikataba mibovu etc.

Nimalizie kwa kusema, magufuli hakuwa malaika. Binafsi kuna mambo kadhaa niliyapinga kwenye utawala wake lakini niseme ni kiongozi mzalendo hili taifa kuwahi kupata.

Kama mnataka tuamini huo ufisadi mtueleze MAGUFULI KAFICHA HELA WAPI? Alizibeba kwenye sandarusi? Ana account ya pesa ulaya? MUNGU ATAMLIPA KIUMBE WAKE. KAKIKA KILA NAFSI ITAONJA MAUTI.

Mwisho kabisa kabla haujaendelea na mkakati ovu wa kumshambulia magufuli labda ujiulize. MAUAJI YA ALBINO YAKO WAPI? UFISADI MKUBWA UKO WAPI? UJAMBAZI UKO WAPI? KUKATIKA UMEME JE? AU TUMESAHAU JINSI MAJENERETA YALIVYOKUWA YANATUUMIZA MASIKIO?

Hakika MUNGU ATAMLIPA JPM kwa kutetea wanyonge na watu wasiokuwa na nguvu. Miaka 100 ijayo utakuwepo? Basi jifunze na beba mema ya hayati JPM mabaya muachie Mungu wake atamuhukumu.

Daudi alimwaga damu lakini Mungu alimkumbuka.

1) Ujenzi wa reli kwa gharama ndogo! Kuna gharama ndogo kisiasa (kimaneno) na kiuhalisia. Je umepata kuuona huo mkataba uliosainiwa? Kama haukuona basi hakuna ushahidi wa moja kwa moja juu ya hilo.

2) serikali ya Magufuli ilikuwa na usiri mkubwa sana hakukuwa na ushirikishwaji wa mihimili mingine kama vile bunge (yeye ndiye kila kitu) hivyo hata ubadhilifu uliofanyika umegubikwa na usiri mkubwa tofauti na serikali zilizopita iliipa mihimili yote uhuru wa kufuatilia, kuhoji na kufanya kazi zao kiufasaha. Hakika angeachia mihili yote ifanye kazi kiufasaha basi tungeyajua mengi mno
 
Sjajua huyu Magufuli alikuwa akitoa wapi Hizi pesa, maana zamani tuliaminishwa kwamba, pesa ni Hadi tupige magoti Kwa wazungu, ndio tufanye maendeleo,

Kwa kuwa yeye kafanya Kwa fujo na kujenga Jenga Miradi miingi Tu na Bado ameiba, basi nyinyi ambao kawachia mtaanzisha Miradi mikubwa na itajemgwa Ka Kasi kulikoni yeye,

Mkomesheni Kwa kujenga kila pahala viwanja Vya Ndege ili ijulikane Kweli alikuwa mpigaji
Unauliza kitu gani hapo??
Rejea CAG report kaka. Mifuko yote ya Wastahafu NSSSF na PSSSF imekauka Wazee wana stahafu hakuna mafao au malipo yao. Kisa? MAGUFULI KACHOTA HELA KUPELEKA SGR, BWAWA LA NYERERE, BOMBADIER, FLYOVERS, CHATO AIRPORT n.k.
Halafu jamaa alivokuwa hana AIBU utamsikia, " HII NCHI TAJIRI SANA INAWEZA KUWA DONA KANTRI...."The late JPM.
 
Back
Top Bottom