Nachofurahia zile biashara zenu haramu za madawa ya kulevya zilikomeshwa, pumbavu zenyu kabisaWanaomtetea ni waovu kama yeye, uovu wa wazi kabisa unaonekana halafu mtu eti anamtetea.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Poleni sukuma gang,Hizo ni assumptions zako tu!
Hahahaha, sawa mkuu, onyo, mspomzidi yeye kwa jinsi alivyijenga hii nchi Kwa muda wake mfupi, mtatuomba msamahaTulieni sasa tujenge nchi wacheni uchochezi wenu
Utavimba upasuke mwaka huuUsingefuatilia huu mjadara kama Kweli hutaki umkumbuke Magu, na kuhusu yeye mwaka huu wote nyuzi za kumhusu yeye zitakuwa nyingi kuliko hata mradi wa kifisadi na Mkataba wa hovyo wa bandari ya Bagamoyo na kuliko propesa Muongo!!
[emoji3][emoji3][emoji3] jitetea yake unaikumbuka wakati huo uwezo anao?Kitendo cha kumsema vibaya marehemu si kizuri hata kidogo,, lakini kuna cha kujiuliza ni kwanini iwe kwa magufuli? Mbona kwa Mkapa haikuwa hivi? Au kwa kuwa amefariki akiwa madarakani? So kuna kitu cha kujifunza huenda kuna watu wameumizwa sana na utawala wake ingawa sioni kama ni busara na haki kumshambulia mtu ambaye hana uwezo tena wa kujitetea.
Umekalia kamsemo Ka kijiinga kama wewe ulivyo mjinga, umekaririshwa Hadi unaboa? Mshamba mkubwa wewePoleni sukuma gang,
Mtuwache tuijenge Tamzania yetu
Poleni sana matagaWasingejitokeza ndio ingekuwa matukano makubwa Sana kwa wapinzani wake kama wewe
Mnakosaga la kusema basi
Nuneni hadi mpasuke lkn tayari tunaye rais naye ni mama Samia anameremeta.Acha kabisa!
Wangeongea balaa.
Hutaki kunikumbuka JPM, usifuatilie mjadara wowote unaomhusu, la sivyo, mwaka huu wote nyuzi zitakuwa ni yeye na mtaendelea kumkumbuka tuUtavimba upasuke mwaka huu
Upo sahihi..sipendi kabisa siasa za ubaguzi..sote ni watanzanja, sote ni waafrika, ubaguzi wa nini?
Pimbi mkubwa wewePoleni sana mataga
Wacha kutetea ufisadi wewe matagaCAG huyu kaja na ukaguzi wa miaka mitano yote, Je Hilo la Tr1.5 umeliskia Kwenye hii ripoti??
Yaani nyinyi kila mtu mnagombana naye kisa hawaungi mkono,Ujinga tu na ufupi wa akili ndio unaona hivyo
unaambiwa hata mamba aliyekuwa anakula mifugo ya wanakijiji siku akifa umati utafurika kutoka vijiji vya jirani na kwingineko kumshangaa .Walikuwa wangapi hao watu.
Milioni 40?
Ukiona watu laki moja hao ndio "uraiani"?
Mataga ni wewe uliye jaa mavi kwenye ubongoWacha kutetea ufisadi wewe mataga
Nianze moja kwa moja kutoa maoni yangu kwa hali ya kisiasa nayoiona. Kifo cha Rais Magufuli imeacha pengo kubwa sana kwenye taifa. Kwa wale wasiopenda kusikia jina la magufuli niseme tu, Hayati alikuwa na wafuasi wengi kifo chake kimedhirisha hivyo na atakumbukwa siku zote kwa mambo mazuri aliyolifanyia taifa hili.
Niseme tu wazi si kila jambo alilolifanya hayati ni baya kwenye taifa hili. Ameacha alama kubwa sana. Licha ya kuwa na matatizo ya moyo alijitolea usiku na mchana kulipigania taifa lake.
Najua akili ni nywere na kila mtu ana zake. Watu wanaodai magufuli alikuwa fisadi unashindwa kuelewa jinsi walivyo na kumbukumbu ndogo ya aina ya ufisadi tuliyopitia kwenye taifa hili kabla ya magufuli kuingia madarakani. Kumbukeni ufisadi wa TEGETA ESCROW, EPA, BOMBA LA GAS MTWARA. Sote tunajua viongozi wa Afrika wakiiba pesa wanapeleka wapi. Wanakimbiza nchi za maghariba..kama Hayati aliiba hayo mabillioni yako wapi? Matrillion yako wapi?
Ameanzisha ujenzi wa reli kwa gharama ndogo sana uki compare na majirani zetu tena ya kutumia umeme.
Magufuli anatoka kanda yenye nguvu kiasiasa. Ukweli ni kwamba magufuli ameumiza sana watu wa kanda hiyo na taifa kwa jumla. Kitendo cha kuendelea kumshambulia kwa tuhuma ambazo watu wenye akili za kawaida kabisa wanajua zina malengo ya kisiasa nikutengeneza magawanyiko mkubwa huko mbeleni.
Kuna kitu magufuli kaacha kwenye mioyo ya watanzania. Nacho ni uzalendo. Wamejua kuhusu ukoloni mamboleo na jinsi baadhi ya viongozi wanavyotumika na nchi za magharibu kuhujumu mataifa yao either kwa ufisadi, mikataba mibovu etc.
Nimalizie kwa kusema, magufuli hakuwa malaika. Binafsi kuna mambo kadhaa niliyapinga kwenye utawala wake lakini niseme ni kiongozi mzalendo hili taifa kuwahi kupata.
Kama mnataka tuamini huo ufisadi mtueleze MAGUFULI KAFICHA HELA WAPI? Alizibeba kwenye sandarusi? Ana account ya pesa ulaya? MUNGU ATAMLIPA KIUMBE WAKE. KAKIKA KILA NAFSI ITAONJA MAUTI.
Mwisho kabisa kabla haujaendelea na mkakati ovu wa kumshambulia magufuli labda ujiulize. MAUAJI YA ALBINO YAKO WAPI? UFISADI MKUBWA UKO WAPI? UJAMBAZI UKO WAPI? KUKATIKA UMEME JE? AU TUMESAHAU JINSI MAJENERETA YALIVYOKUWA YANATUUMIZA MASIKIO?
Hakika MUNGU ATAMLIPA JPM kwa kutetea wanyonge na watu wasiokuwa na nguvu. Miaka 100 ijayo utakuwepo? Basi jifunze na beba mema ya hayati JPM mabaya muachie Mungu wake atamuhukumu.
Daudi alimwaga damu lakini Mungu alimkumbuka.
Kutokuunga au kuunga kwangu hainipi Homa,Yaani nyinyi kila mtu mnagombana naye kisa hawaungi mkono,
Unauliza kitu gani hapo??Sjajua huyu Magufuli alikuwa akitoa wapi Hizi pesa, maana zamani tuliaminishwa kwamba, pesa ni Hadi tupige magoti Kwa wazungu, ndio tufanye maendeleo,
Kwa kuwa yeye kafanya Kwa fujo na kujenga Jenga Miradi miingi Tu na Bado ameiba, basi nyinyi ambao kawachia mtaanzisha Miradi mikubwa na itajemgwa Ka Kasi kulikoni yeye,
Mkomesheni Kwa kujenga kila pahala viwanja Vya Ndege ili ijulikane Kweli alikuwa mpigaji