Kumshambulia Hayati Magufuli kunaweza ligawa Taifa na kupunguza nguvu ya CCM kanda ya Ziwa

Hivyo vyoote vitafanyika maana ni kutumia rasilimali za taifa tena zitafanyika Mara 2 zaidi.

Tunaye mama yetu hatuna wasiwasi
 
Jiwe alikuwa na balaa🤣
 
Hivyo vyoote vitafanyika maana ni kutumia rasilimali za taifa tena zitafanyika Mara 2 zaidi.

Tunaye mama yetu hatuna wasiwasi
Itakuwa njema Sana, nadhani hata Chadema sasa wataunga mkono
 
Hatuwezi kutumia pesa kipumbavu kujenga viwanja vya ndege wakati wananchi hawana dawa mahospitalini.huo upumbbavu uliwezekana kufanywa na mtu asiye na utu tu.
 
Waliokuwa wanaomlilia huyu ni kundi la watu waliotamani matajiri wanakuwa level moja na masikini kwa jina lingine wanaitwa wanyonge.

 
Hatuwezi kupambana na marehemu lakini hatuwezi kuacha kusema upuuzi wa marehemu
 
Hatuwezi kutumia pesa kipumbavu kujenga viwanja vya ndege wakati wananchi hawana dawa mahospitalini.huo upumbbavu uliwezekana kufanywa na mtu asiye na utu tu.
Kwa hiyo wewe huduma za dawa ulizifuata Burundi??

Kumbe na wewe ni walewale Nyumbu?
 
Hatuwezi kupambana na marehemu lakini hatuwezi kuacha kusema upuuzi wa marehemu
Nyumbu mkubwa wewe, utahalalishaje ufisadi wake bila ya wewe kutoa huduma bora kulikoni yeye??

Utahalalishaje ufujaji wa fedha wake, Ikiwa wewe hutofanya mara tano yake,??

Ujinga mzigo
 
Hivi Lusinde Class 7 naye ni MB kati ya Wabunge? Yule kwangu huwa namwona kama chizi fulani kapotea njia na kuingia Mlango wa Bunge!!!!
Lusinde ni wale walokuwa wanapongeza, kusifu, kutetea Jiwe aongezewe muda na mapambio kwa wingi kwa Mwendazake.....yule ni chizi perce!
 
Kwa hiyo wewe ni tajiri anayeshimda mitandaoni?? Mpuuzi mkubwa wewe
 
Kashindane naye umtoe bungeni, shida iko wapi, class 7 anakuwa bungeni halafu wewe msomi unakuwa unashinda mitandaoni Tu, Nani mjinga Kati yako na Lusinde ambaye yeye ni mbunge na wewe mtoa matusi mitandaoni??

Daaah!!
 
Unyonge alio kuwa anawasema watu ni udhalilishaji na ukandamizaji wa kifikra kuwadumaza watu ili aendelee kuwabinya. Uzalendo you upo alio iacha mioyoni mwa watu? Ni wasio waza kwa kina kama wewe unaediriki kutaja neno kama hilo. Magufuli hakuliunganisha taifa, aliligawa kikanda na kikabila. Ndio maana unadiriki kusema kanda ziwa wataumia. Alichofanikiwa ni kujenga taifa la waoga na wasioweza kuhoji. Miaka mitaani mbele angekuwa na taifa la mazezeta.
 
Wasio mafisadi ndio mfanye haya maendeleo Kwa Kasi kubwa ili kudhihilisha ufisadi wa JPM, jengeni viwanja Vya Ndege kila Kona ili hoja yenu ya kumwita fisadi iwe Sawa!! La hamuwezi, basi mwacheni apumzike
Unajua shida sasa hasa siyo yeye mwenda zake, ila hawa aliowafundisha uovu. Wanataka kuendeleza uovu ule.
Wakimsikia kiongozi anyetangaza kuumiza watu wao hushangilia na kuona kama bwana wao kafufuka.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…