Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Ndiyo, lakini anawafumbua macho vipofu wote, muone kwamba, wapigaji ni wote, hata wewe ni wale wale (wa praise and worship team)Kwa hiyo ameogopa kutumbuliwa na mzimu wake siyo??
Basi huyo naye ni walewale wajinga
Uko sahihi, watu wengi mbumbumbu walishabikia utawala wake. Sababu kuu ya ukandamizaji wake ilikuwa ni kuogopesha watu wasihoji udhaifu wake.Kwani uraiani nako watu wanamchukia Magufuli kama ilivyo kwa raia wa Jamhuri ya Muungano wa Twitter na Ufipa?
Bado naamini Rais Magufuli alikuwa anaungwa mkono na idadi kubwa ya watu walio wengi.
Na watu hao walituma ujumbe wao kipindi cha msiba wake.
Mimi kama napenda soda, basi wewe unapenda gongo!! Mambo ni Yale Yale Isipokuwa kilichomo ndani ya chupaNdiyo, lakini anawafumbua macho vipofu wote, muone kwamba, wapigaji ni wote, hata wewe ni wale wale (wa praise and worship team)
Sisi tunaipeleka nchi kwa speed inayotakiwa huku tukiwa hatuna chuki na mtu yeyote na hata nyinyi wekeni tofauti zenu pembeni tujenge nchi yetu TANZANIA.[emoji911]Hahahaha, sawa mkuu, onyo, mspomzidi yeye kwa jinsi alivyijenga hii nchi Kwa muda wake mfupi, mtatuomba msamaha
Hapo umekosea, mimi sipendi gongo wala soda! Jaribu tena, au kama umesha kunywa gongo, ujaribu kesho!Mimi kama napenda soda, basi wewe unapenda gongo!! Mambo ni Yale Yale Isipokuwa kilichomo ndani ya chupa
Mshamba ni wewe unayetukana badala ya kuisimamia hoja yako.Umekalia kamsemo Ka kijiinga kama wewe ulivyo mjinga, umekaririshwa Hadi unaboa? Mshamba mkubwa wewe
Wacha kujidanganya kama upo ndotoni wewe.Hutaki kunikumbuka JPM, usifuatilie mjadara wowote unaomhusu, la sivyo, mwaka huu wote nyuzi zitakuwa ni yeye na mtaendelea kumkumbuka tu
Msamehe mkuu, kusononeka ni hali na ugonjwa pia!Mshamba ni wewe unayetukana badala ya kuisimamia hoja yako.
Asante kwa matusi maana ndiyo akili yako imegotea hapo.Pimbi mkubwa wewe
Ukiona mahali pamekwa r badala ya l, ujue tu, unaongea na aina flan ya watu!Wacha kujidanganya kama upo ndotoni wewe.
Yaani unalazimisha kungojea meli ubungo terminal?
Hongera sana maana matusi kwako ndiyo mwisho wa uelewa wako.Mataga ni wewe uliye jaa mavi kwenye ubongo
Mbona tayari unayo homa?Kutokuunga au kuunga kwangu hainipi Homa,
Matusi hayakusaidii chochote we matagaHakunifanyi nipungue kitu we mbweha
Habari za cdm usiniambie mimi watajua wao .Itakuwa njema Sana, nadhani hata Chadema sasa wataunga mkono
Hajui huyo inawezekana kipindi hicho alikuwa bado yupo ngokoro secondari maana kajiunga jf 18.03 2021.Atarudiaje? Au hujui kama hiyo 1.5 ndo iliyo mng’oa Assad?
....anakubalika na wajinga na wachumia tumboKwani uraiani nako watu wanamchukia Magufuli kama ilivyo kwa raia wa Jamhuri ya Muungano wa Twitter na Ufipa?
Bado naamini Rais Magufuli alikuwa anaungwa mkono na idadi kubwa ya watu walio wengi.
Na watu hao walituma ujumbe wao kipindi cha msiba wake.
HopelessKwani Magufuli alikuwa raisi wa kanda ya Ziwa?
Kagera ni kanda ya Ziwa pia lakini aliwafanyia kitu kisicho cha ubinadamu kipindi cha tetemeko kwa hiyo sioni ni kwa namna gani wakazi wa Kagera wanaweza kumaindi Magufuli akichambuliwa unyama wake.
18.03.2021.Kwa hiyo wewe huduma za dawa ulizifuata Burundi??
Kumbe na wewe ni walewale Nyumbu?
Jibu hoja za mleta maada acha utopolo wako.Hajui huyo inawezekana kipindi hicho alikuwa bado yupo ngokoro secondari maana kajiunga jf 18.03 2021.