Kumshambulia Hayati Magufuli kunaweza ligawa Taifa na kupunguza nguvu ya CCM kanda ya Ziwa

Kumshambulia Hayati Magufuli kunaweza ligawa Taifa na kupunguza nguvu ya CCM kanda ya Ziwa

Nyumbu mkubwa wewe, utahalalishaje ufisadi wake bila ya wewe kutoa huduma bora kulikoni yeye??

Utahalalishaje ufujaji wa fedha wake, Ikiwa wewe hutofanya mara tano yake,??

Ujinga mzigo
Utapata ugonjwa wa moyo bure wewe mataga.
 
Hajui huyo inawezekana kipindi hicho alikuwa bado yupo ngokoro secondari maana kajiunga jf 18.03 2021.
Kuna vitu Melo anatakiwa ajiongeze, kuwe na madaraja ya majukwaa, siyo kutuchanganya na vitoto vidogo!
 
Kashindane naye umtoe bungeni, shida iko wapi, class 7 anakuwa bungeni halafu wewe msomi unakuwa unashinda mitandaoni Tu, Nani mjinga Kati yako na Lusinde ambaye yeye ni mbunge na wewe mtoa matusi mitandaoni??

Daaah!!
Hakuna mtu anatoa matusi kuliko wewe
 
Nianze moja kwa moja kutoa maoni yangu kwa hali ya kisiasa nayoiona. Kifo cha Rais Magufuli imeacha pengo kubwa sana kwenye taifa. Kwa wale wasiopenda kusikia jina la magufuli niseme tu, Hayati alikuwa na wafuasi wengi kifo chake kimedhirisha hivyo na atakumbukwa siku zote kwa mambo mazuri aliyolifanyia taifa hili.

Niseme tu wazi si kila jambo alilolifanya hayati ni baya kwenye taifa hili. Ameacha alama kubwa sana. Licha ya kuwa na matatizo ya moyo alijitolea usiku na mchana kulipigania taifa lake.

Najua akili ni nywere na kila mtu ana zake. Watu wanaodai magufuli alikuwa fisadi unashindwa kuelewa jinsi walivyo na kumbukumbu ndogo ya aina ya ufisadi tuliyopitia kwenye taifa hili kabla ya magufuli kuingia madarakani. Kumbukeni ufisadi wa TEGETA ESCROW, EPA, BOMBA LA GAS MTWARA. Sote tunajua viongozi wa Afrika wakiiba pesa wanapeleka wapi. Wanakimbiza nchi za maghariba..kama Hayati aliiba hayo mabillioni yako wapi? Matrillion yako wapi?

Ameanzisha ujenzi wa reli kwa gharama ndogo sana uki compare na majirani zetu tena ya kutumia umeme.

Magufuli anatoka kanda yenye nguvu kiasiasa. Ukweli ni kwamba magufuli ameumiza sana watu wa kanda hiyo na taifa kwa jumla. Kitendo cha kuendelea kumshambulia kwa tuhuma ambazo watu wenye akili za kawaida kabisa wanajua zina malengo ya kisiasa nikutengeneza magawanyiko mkubwa huko mbeleni.

Kuna kitu magufuli kaacha kwenye mioyo ya watanzania. Nacho ni uzalendo. Wamejua kuhusu ukoloni mamboleo na jinsi baadhi ya viongozi wanavyotumika na nchi za magharibu kuhujumu mataifa yao either kwa ufisadi, mikataba mibovu etc.

Nimalizie kwa kusema, magufuli hakuwa malaika. Binafsi kuna mambo kadhaa niliyapinga kwenye utawala wake lakini niseme ni kiongozi mzalendo hili taifa kuwahi kupata.

Kama mnataka tuamini huo ufisadi mtueleze MAGUFULI KAFICHA HELA WAPI? Alizibeba kwenye sandarusi? Ana account ya pesa ulaya? MUNGU ATAMLIPA KIUMBE WAKE. KAKIKA KILA NAFSI ITAONJA MAUTI.

Mwisho kabisa kabla haujaendelea na mkakati ovu wa kumshambulia magufuli labda ujiulize. MAUAJI YA ALBINO YAKO WAPI? UFISADI MKUBWA UKO WAPI? UJAMBAZI UKO WAPI? KUKATIKA UMEME JE? AU TUMESAHAU JINSI MAJENERETA YALIVYOKUWA YANATUUMIZA MASIKIO?

Hakika MUNGU ATAMLIPA JPM kwa kutetea wanyonge na watu wasiokuwa na nguvu. Miaka 100 ijayo utakuwepo? Basi jifunze na beba mema ya hayati JPM mabaya muachie Mungu wake atamuhukumu.

Daudi alimwaga damu lakini Mungu alimkumbuka.
Sasa kama unajua Mungu atamlipa Magufuli kelele za nini, si kaa kimya!

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Hujui tu ni kwa namna gani uchagani walivyoumizwa na kuonewa. Bahati nzuri wachaga ni wapambanaji, ukishindana nao utaishia kupotea mwenyewe
 
Nachofurahia zile biashara zenu haramu za madawa ya kulevya zilikomeshwa, pumbavu zenyu kabisa

Mmeuwa vijana wengi Sana wauza ngada nyny
[emoji3][emoji3] pole sana mkuu,, mambo ya kujimwambafai yamekwenda na maji.
Niliwaambia wenzio ,,Uovu haudumu.
Hata ufanyeje ,, uovu utapita tu ndo maana shetani kaandaliwa jehanamu.
Usipoacha uovu nawe jehanam ni yako.

Ila pole sana,, honestly kutoka moyoni.
[emoji1666]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kwani uraiani nako watu wanamchukia Magufuli kama ilivyo kwa raia wa Jamhuri ya Muungano wa Twitter na Ufipa?

Bado naamini Rais Magufuli alikuwa anaungwa mkono na idadi kubwa ya watu walio wengi.

Na watu hao walituma ujumbe wao kipindi cha msiba wake.
Ambao wengi ni wajinga kama baadhi ya tafiti zilivyosema

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Unajua shida sasa hasa siyo yeye mwenda zake, ila hawa aliowafundisha uovu. Wanataka kuendeleza uovu ule.
Wakimsikia kiongozi anyetangaza kuumiza watu wao hushangilia na kuona kama bwana wao kafufuka.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Haitakuwa na maana yoyote Ikiwa fisadi amei
Habari za cdm usiniambie mimi watajua wao .

Alafu kumbe nilikuwa najichoosha bure kuhangaika na mtu umejiunga 18.03.2021 hapa jf.
Yaani siku moja baada ya kifo cha mwendazake.

Bila shaka ulijiunga kwa kazi maalum na sasa unaifanya.
Hahaha!!

Ni namna tu mkuu, hata wewe unaweza kuonekana umejiunga Jana, kumbe upo hapa zaidi ya muongo mmoja nyuma
 
Magufuli ndio nani? Yule mwizi ambaye hapendi kusemwa?

Huyo mjinga alikuwa ni kama kansa ya taifa
Ukweli usemwe kwa mabaya aliotenda, matusi no, you have crossed the red line.
 
Sio kunaweza kumeshaligawa, kinacho takiwa sasa ni viongozi kutafuta mwarobani wa kutibu majeraha haya ambayo yako kwenye nyoyo za Watanzania wengi tayari. Kama hili halitafanyika ukweli huu utajidhihirisha ifikapo 2025. Na mpongeza PM Majaliwa kwa hotuba ya ofisi yake leo Bungeni ameonesha hayumbishwi na mijizi na mafisadi.

Mwanasiasa yeyote awe ndani ya au nje ya CCM atakaye tumia kudhalilishwa kwa hayati JPM vizuri na alijiepusha kujiingiza na hakukaa kimya akatbubutu kuikemea tabia hii atakuwa na mtaji wa kutosha wa kisiasa.
 
Huyo ni CHAWA
Mtu wa Kwanza kabisa Mimi kumwajili, nilikuwa namlipa 1M, je ungependa kuajiliwa na Mimi, mshahara mnono,gari ya kwendea kazini na Mahali pa kulala papo, lkn hii ni Kwa watu wenye akili zao, sasa wewe ninamashaka na wewe
 
Sio kunaweza kumeshaligaw kinacho takiwa ni viongozi kutafuta mwarobani wa kutibu majeraha haya ambayo yako kwenye nyoyo za Watanzania wengi tayari. Kama hili halitafanyika ukweli huu utajidhihirisha ifikapo 2025.

Mwanasiasa yeyote awe ndani ya au nje ya CCM atakaye tumia kudhalilishwa kwa hayati JPM vizuri na alijiepusha kujiingiza na hakukaa kimya akatbubutu kuikemea tabia hii atakuwa na mtaji wa kutosha wa kisiasa.
Usichoshwe na ujinga unaoonekana mitandaoni mkuu, hakuna cha Taifa kugawanyika Wala nini,

Mbona kitaani Maisha ni mazuri yaani fulu shangwe
 
Back
Top Bottom