Uchaguzi 2020 Kumsimamisha Lissu siku 7 ni fursa kwake au faida kwa Tume na CCM?

Uchaguzi 2020 Kumsimamisha Lissu siku 7 ni fursa kwake au faida kwa Tume na CCM?

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,391
Reaction score
3,849
KILA KITU ANACHOKIFANYA LISSU KIPO CALCULATED

Na Thadei Ole Mushi


Kumzuia was a technical mistake again, Hizi siku 7 atazurura hapa Dar ambapo kuna wapiga kura 3.5 Milioni mpaka Milioni 4 Kwa kuingia mtaani inaweza kuendelea kuzivuna kwa njia Moja au nyingine.

Ratiba yake kwa hizo siku ilikuwa ni Mtwara na Lindi ambapo kuna around 1.3 milion votes. Ni suala la hesabu tu hapa. Kila kitu kinahitajika discussion kabla ya decision kutolewa.

Kwa Mujibu wa Lema, ratiba ya Lissu Kesho ataenda Ubungo kumkatia shangazi yake Ticket. Niliwahi kusema Lissu kila analolifanya lipo very Calculated. Ni mpinzani ambaye anajua ku provoke na yupo smart kwenye masuala ya Sheria na Kanuni.

Kwa haya Mambo anayofanya kwa hizi siku Saba ataendelea ku trend mpaka ziishe. Yaani jamii inafuatilia anafanya nini zaidi yeye kuliko wagombea wengine.

Akili kubwa ni mali ya Rais. Kudili naye kunahitajika akili kubwa Sana.


120799927_2872693229498059_5628337805659806906_n.jpg
 
KILA KITU ANACHOKIFANYA LISSU KIPO CALCULATED

Na Thadei Ole Mushi.

Kumzuia was a technical mistake again, Hizi siku 7 atazurura hapa Dar ambapo kuna wapiga kura 3.5 Milioni mpaka Milioni 4 Kwa kuingia mtaani inaweza kuendelea kuzivuna kwa njia Moja au nyingine...
Lissu kila analolifanya lipo very Calculated. Ni mpinzani ambaye anajua ku provoke na yupo smart kwenye masuala ya Sheria na Kanuni
 
KILA KITU ANACHOKIFANYA LISSU KIPO CALCULATED

Na Thadei Ole Mushi.

Kumzuia was a technical mistake again, Hizi siku 7 atazurura hapa Dar ambapo kuna wapiga kura 3.5 Milioni mpaka Milioni 4 Kwa kuingia mtaani inaweza kuendelea kuzivuna kwa njia Moja au nyingine...
Kati ya wana CCM wenye akili waliobaki nafikiri wewe ni wa kwanza!
 
Sawa kabsaa
Pokea tano
Mi nipo Hapa Denmark nakula maisha kwanza
Ukitaka kitabu fulani kisomwe sana na wana jamii kipige marufuku, wana jamii watakitafuta hadi wajue kwa nini kinapigwa marufuku.
 
1. aende mlimani city kununua wine
2. aende mbagala rangi tatu kutuma parcel mtwara
3. aende tandika kununua mitumba
4. aende tandale akaone nyumba aliyokuwa anakaa mzee akilimali
5 apande pantoni kwenda kuangalia uwanja wa yanga
6. akanunue samaki pale ferry
7. jumapili afike coco beach kuchota maji ya bahari
 
Tume na CCM wana akili fupi sana. Tangazo la NEC kumzuia kampeni lilitangazwa katika vyombo vyote vya habari ambavyo huwa havitangazi habari za Lissu. Hii ilitoa nafasi kwa mwananchi.

(i) Kumjua Lissu ni nani.
(ii) Kutaka kujua sera za Lissu
(iii) Kutaka kujua Lissu atafanya nini ikiwa amezuiliwa kufanya kampeni.
 
Anachokitafuta atakipata huyu Lissu wala asifikiri watu wamenyamaza basi wajinga. Serikali ina mkono mlefu sana.
 
Kwanini usiseme "ni fursa/hasara kwake au ni kwa faida kwa CCM na tume ya uchaguzi".

Bandiko lako limeegemea upande mmoja hivyo siwezi kuchangia.

Asanteni
 
Back
Top Bottom