The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Ni wajinga nyie, tena wewe ni mjinga zaidi...!Anachokitafuta atakipata huyu Lissu wala asifikiri watu wamenyamaza basi wajinga. Serikali ina mkono mlefu sana
Akipate kitu gani na kwa sheria gani? Sema sasa. Huwezi kusema kwa sababu wewe ni kama mbwa koko unayejibwekea tu...
Everything is legally calculated...
Unatumia sheria hii kufunga. Tunatumia upenyo wa sheria hiyo hiyo kufanya kilekile ulichokifunga ...!!
Mathalani utamzuia mtu kwenda sokoni kununua mahitaji yake i.e embe, nyama, vitunguu nk? Kwa sheria gani ?
Hujui na huwezi kujua...