Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,575
- 25,619
naona kiswahili kinakusumbua, unawezaje kujibu hoja pasipo kujua kiswahili kwa ufasahaAnachokitafuta atakipata huyu Lissu wala asifikiri watu wamenyamaza basi wajinga. Serikali ina mkono mlefu sana