Kumsimamisha Mh. Samia kugombea nafasi ya urais kutapelekea CCM kushindwa uchaguzi

Kumsimamisha Mh. Samia kugombea nafasi ya urais kutapelekea CCM kushindwa uchaguzi

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
CCM wakimsimamisha mh Samia apeperushe bendera ya CCM kwa nafasi ya urais kutapelekea CCM kushindwa katika uchaguzi huo na wapinzani watachukua nchi kirahisi maana mh watanzania bara wengi hatumuelewi na mbaya zaidi hata wana CCM wenzake hawamuelewi ndio maana wengi wameshaanza kumkataa mapema na kujiweka kando kabisa.

Kumuweka mtu mwengine awe mbadala wa Samia kutapelekea CCM kushindwa zaidi maana watapoteza asilimia kubwa ya kura za wazanzibar maana mtetezi wao kawekwa kando hivyo hata lile sekeseke la kusema muungano uvunjwe huenda likaanza upya.
 
CCM wakimsimamisha mh Samia apeperushe bendera ya CCM kwa nafasi ya urais kutapelekea CCM kushindwa katika uchaguzi huo na wapinzani watachukua nchi kirahisi maana mh watanzania bara wengi hatumuelewi na mbaya zaidi hata wana CCM wenzake hawamuelewi ndio maana wengi wameshaanza kumkataa mapema na kujiweka kando kabisa.

Kumuweka mtu mwengine awe mbadala wa Samia kutapelekea CCM kushindwa zaidi maana watapoteza asilimia kubwa ya kura za wazanzibar maana mtetezi wao kawekwa kando hivyo hata lile sekeseke la kusema muungano uvunjwe huenda likaanza upya.
She will face a Catastrophic Defeat even though she'll be declared the winner of the General Election of 2025.

Kura haziwezi kuiondoa ccm madarakani
Hakika, hata aliyekuwa Rais wa Pili wa Tanzania Bw. Ali Hassan Mwinyi aliwahi kusema kwamba "wakati CCM tulipokubali Mfumo wa vyama vingi tulihakikisha kwamba hatushindwi."
 
Hii nchi ili. Ijikwamue inahitajika kiongozi wa aina ya Traore wa Bukina Faso! Hawa Waimba taarab wanapoteza muda wetu wa maendeleo kwa miradi yao isiyo kuwa na viwango lakini gharama kubwa sana. Inawaumiza wananchi masikini kila siku kuongezewa kodi/tozo huku Samia akiongeza deni la Taifa kama punguani kwa kukopa kopa nje na ndani ya nchi.
 
She will face a Catastrophic Defeat even though she'll be declared the winner of the General Election of 2025.


Hakika, hata aliyekuwa Rais wa Pili wa Tanzania Bw. Ali Hassan Mwinyi aliwahi kusema kwamba "wakati CCM tulipokubali Mfumo wa vyama vingi tulihakikisha kwamba hatushindwi."
Kwahiyo CCM haitakuja kutoka madarakani?
 
CCM wakimsimamisha mh Samia apeperushe bendera ya CCM kwa nafasi ya urais kutapelekea CCM kushindwa katika uchaguzi huo na wapinzani watachukua nchi kirahisi maana mh watanzania bara wengi hatumuelewi na mbaya zaidi hata wana CCM wenzake hawamuelewi ndio maana wengi wameshaanza kumkataa mapema na kujiweka kando kabisa.

Kumuweka mtu mwengine awe mbadala wa Samia kutapelekea CCM kushindwa zaidi maana watapoteza asilimia kubwa ya kura za wazanzibar maana mtetezi wao kawekwa kando hivyo hata lile sekeseke la kusema muungano uvunjwe huenda likaanza upya.
 

Attachments

  • 5938169-3f8437b06df44d0a7c8b8e175f481762.mp4
    23 MB
Kura haziwezi kuiondoa ccm madarakani
Marehemu Kingunge Ngombale Mwiru aliwahi kutamka kuwa kuiondoa ccm madarakani na hii Katiba iliyopo ni ndoto!
Hata upinzani ukishinda mgombea wao hawezi kutangazwa na hawatakuwa na mahala pakukimbilia isipokuwa barabarani 😂😂
 
CCM wakimsimamisha mh Samia apeperushe bendera ya CCM kwa nafasi ya urais kutapelekea CCM kushindwa katika uchaguzi huo na wapinzani watachukua nchi kirahisi maana mh watanzania bara wengi hatumuelewi na mbaya zaidi hata wana CCM wenzake hawamuelewi ndio maana wengi wameshaanza kumkataa mapema na kujiweka kando kabisa.

Kumuweka mtu mwengine awe mbadala wa Samia kutapelekea CCM kushindwa zaidi maana watapoteza asilimia kubwa ya kura za wazanzibar maana mtetezi wao kawekwa kando hivyo hata lile sekeseke la kusema muungano uvunjwe huenda likaanza upya.
Kwa kweli hafai kabisa kutuongoza imetosha!
 
CCM wakimsimamisha mh Samia apeperushe bendera ya CCM kwa nafasi ya urais kutapelekea CCM kushindwa katika uchaguzi huo na wapinzani watachukua nchi kirahisi maana mh watanzania bara wengi hatumuelewi na mbaya zaidi hata wana CCM wenzake hawamuelewi ndio maana wengi wameshaanza kumkataa mapema na kujiweka kando kabisa.

Kumuweka mtu mwengine awe mbadala wa Samia kutapelekea CCM kushindwa zaidi maana watapoteza asilimia kubwa ya kura za wazanzibar maana mtetezi wao kawekwa kando hivyo hata lile sekeseke la kusema muungano uvunjwe huenda likaanza upya.
 

Attachments

  • VID-20250125-WA0013.mp4
    30.8 MB
She will face a Catastrophic Defeat even though she'll be declared the winner of the General Election of 2025.


Hakika, hata aliyekuwa Rais wa Pili wa Tanzania Bw. Ali Hassan Mwinyi aliwahi kusema kwamba "wakati CCM tulipokubali Mfumo wa vyama vingi tulihakikisha kwamba hatushindwi."
""TIME IS THE BEST TEACHER""

Vyama vya ukombozi kilichopo madarakani Africa kimebakia CCM pekee.
Ni Nini Siri ya hiki chama kubakia in power for so long time.
 
Marehemu Kingunge Ngombale Mwiru aliwahi kutamka kuwa kuiondoa ccm madarakani na hii Katiba iliyopo ni ndoto!
Hata upinzani ukishinda mgombea wao hawezi kutangazwa na hawatakuwa na mahala pakukimbilia isipokuwa barabarani 😂😂
katoboa siri, wakamfunguria m'bwa
 
""TIME IS THE BEST TEACHER""

Vyama vya ukombozi kilichopo madarakani Africa kimebakia CCM pekee.
Ni Nini Siri ya hiki chama kubakia in power for so long time.
Siri pekee ni kuwa wananchi sisi ni mazuzu tumekubali kuibiwa bila kuchukua hatua yeyote. CCM haina uzuri wowote zaidi ya walamba asali
 
CCM wakimsimamisha mh Samia apeperushe bendera ya CCM kwa nafasi ya urais kutapelekea CCM kushindwa katika uchaguzi huo na wapinzani watachukua nchi kirahisi maana mh watanzania bara wengi hatumuelewi na mbaya zaidi hata wana CCM wenzake hawamuelewi ndio maana wengi wameshaanza kumkataa mapema na kujiweka kando kabisa.

Kumuweka mtu mwengine awe mbadala wa Samia kutapelekea CCM kushindwa zaidi maana watapoteza asilimia kubwa ya kura za wazanzibar maana mtetezi wao kawekwa kando hivyo hata lile sekeseke la kusema muungano uvunjwe huenda likaanza upya.
Sasa kama CCM imechokwa na wa Tz na chanzo cha kuing'oa ni uwepo wa mama Samia kwenye kinyang'anyiro cha Uraisi, uoni kama huu Uzi wako utawaamusha CCM kufikiria upya namna ya kumpata mgombea atakaewavunja ktk uchaguzi uo na kuzididimiza ndoto za hao watz unaowasema juu kuiondoa CCM?,
au unajitekenya mkuu?
 
CCM wakimsimamisha mh Samia apeperushe bendera ya CCM kwa nafasi ya urais kutapelekea CCM kushindwa katika uchaguzi huo na wapinzani watachukua nchi kirahisi maana mh watanzania bara wengi hatumuelewi na mbaya zaidi hata wana CCM wenzake hawamuelewi ndio maana wengi wameshaanza kumkataa mapema na kujiweka kando kabisa.

Kumuweka mtu mwengine awe mbadala wa Samia kutapelekea CCM kushindwa zaidi maana watapoteza asilimia kubwa ya kura za wazanzibar maana mtetezi wao kawekwa kando hivyo hata lile sekeseke la kusema muungano uvunjwe huenda likaanza upya.
Unazungumziaje magoli ya mkono na tume ya uchaguzi inayokubalika na chama kimoja tu?
 
Back
Top Bottom