Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Safari hii mzungu lazima aweke fund kufurusha CCM maana wame side na waarabu.Siri pekee ni kuwa wananchi sisi ni mazuzu tumekubali kuibiwa bila kuchukua hatua yeyote. CCM haina uzuri wowote zaidi ya walamba asali
Ngoja tuone Kama watatoboa this time...ikitakiwa example ya chama kilicho kaa muda mrefu example ni CCM