Kumsimamisha Mh. Samia kugombea nafasi ya urais kutapelekea CCM kushindwa uchaguzi

Siri pekee ni kuwa wananchi sisi ni mazuzu tumekubali kuibiwa bila kuchukua hatua yeyote. CCM haina uzuri wowote zaidi ya walamba asali
Safari hii mzungu lazima aweke fund kufurusha CCM maana wame side na waarabu.

Ngoja tuone Kama watatoboa this time...ikitakiwa example ya chama kilicho kaa muda mrefu example ni CCM
 
Mkuu unaichukuliaje CCM? Kama ni ishu ya kura tu CCM ingelikuwa imeshatoka madarakani zamani sana
 
 

Attachments

  • EB1a2SzUcAANopf.jpg
    77.8 KB · Views: 2
Ccm wanaume lijari hakuna tena, huyo bibi kawaloga wamelala usingizi wa pono! Huoni bibi anaichezea Katiba yao anavyotaka!
Ccm hata siku moja Haijawahi kupata mgombea Urais kwa kuhonga wajumbe : bila ushindani!
HAIJAWAHI KUTOKEA😳😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…