Sasa kama CCM imechokwa na wa Tz na chanzo cha kuing'oa ni uwepo wa mama Samia kwenye kinyang'anyiro cha Uraisi, uoni kama huu Uzi wako utawaamusha CCM kufikiria upya namna ya kumpata mgombea atakaewavunja ktk uchaguzi uo na kuzididimiza ndoto za hao watz unaowasema juu kuiondoa CCM?,
au unajitekenya mkuu?