Kumtegemea mtu mmoja ni tatizo, ACT Wazalendo inaweza kufa baada ya Maalim Seif kufariki

Kumtegemea mtu mmoja ni tatizo, ACT Wazalendo inaweza kufa baada ya Maalim Seif kufariki

Hawa hawajawahi kusikiliza mtu ni wanajua kila kitu
 
Acha uzushi, Maalim alikuwa wakuja, kakikuta chama kiko imara kabisa, Kisha akaenda kukikuwadia kwa masisiyemu na kukiharibu
Chama kilikua bado kidgo sana, ACT hakikuwa chama kinachoweza to makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar..nguvu ya maalim seif visiwani ipo wazi kabisa hata angehamia UDP wanzanzibar wangemfuata....maalim seif kuhamia ACT kuliiboost ACT na kuwa chama kikuu cha upinzani Zanzibar
 
Kwa ili nakuunga mkono kabisa

Ni kweli na lipo wazi kabisa

ACT zanzibar ndio bay bay

Wale wapemba walimgeuza Maalim seif kama nabii wa wapemba.

Kitakacho tokea zanzibar hususani pemba

hama wapemba wataachana na siasa kabisa au watarudi cuf

Lakini kubaki ACT itakuwa ni jambo gumu sana

Walikwenda ACT kwa sababu seif kasema

Leo seif ayupo Uwanja wa siasa utawafanya cuf watawale siasa za zanzibar. Simba anaunguruma leo kalala simuoni tena jussa, wala mazurui, wala juma duni kuunguruma zanzibar.
 
Kwa ili nakuunga mkono kabisa

Ni kweli na lipo wazi kabisa

ACT zanzibar ndio bay bay

Wale wapemba walimgeuza Maalim seif kama nabii wa wapemba.

Kitakacho tokea zanzibar hususani pemba

hama wapemba wataachana na siasa kabisa au watarudi cuf

Lakini kubaki ACT itakuwa ni jambo gumu sana

Walikwenda ACT kwa sababu seif kasema

Leo seif ayupo Uwanja wa siasa utawafanya cuf watawale siasa za zanzibar. Simba anaunguruma leo kalala simuoni tena jussa, wala mazurui, wala juma duni kuunguruma zanzibar.
Wazanzibar wanaunganishwa na utaifa. Mwanasiasa yeyote anayepigania mamlaka kamili, wazanzibar watasimama naye.

Kwenye hilo wala hata msidhani kutakuwa na unafuu wowote kwenye siasa za Zanzibar.
 
Ni kama CCM wanavyomtegemea Magufuki hivi sasa. Akifa sijui itakuaje.
 
Apumzike kwa amani mwendazake ACT Zanzibar kwaherini alikuwa na watu
.
Anapumzikaje kwa amani wakati ni juzi tu ametoka kupiga u-snitch wa hatari pamoja na genge lake? Apumzike alipojichagulia wakati wa uhai wake!
 
Back
Top Bottom