Kumuelewa vyema Hayati Mwalimu Julius Nyerere upeo uwe mkubwa

Kumuelewa vyema Hayati Mwalimu Julius Nyerere upeo uwe mkubwa

Inshort Nyerere alikuwa anafanyia majaribio hizo siasa zake na uchumi labda zingefaulu tunge mponfeza lakini ndio zishafeli
Pengine kabla ya kulaumu mwingine, mmoja mmoja, tumefanikiwa vipi kutoka alipoachia yeye?

Muda gani umepita tangu aache madaraka na pia tangu alipokufa?

Muda huo ungetosha kwa waliofuata kufanya tofauti?

Kuna vichwa maji wanajisifu kuwa, bwawa liliachwa likiwa limejengwa kwa 37% wao wamefikia 84% kwa miaka 2 tu! Swali ni je, ujenzi ulianza kuhesabiwa hatua gani? Site clearance? Mobilisation of resources? Au Ujenzi ulipoanza, ule wa kusimamisha tofali?

Ukishasafisha kiwanja, ukaweka vipimo sawa, ukachimba msingi na kupata picha, unaweka msingi, hatua inayochukua musa mrefu kuliko sehemu nyingine yoyote ya ujenzi; baada ya hapo, kupandisha ni kama kumsukuma mlevi.

Nyerere aliishia kwenye MSINGI, tumeshindwa kufanya finishing, kuna awamu ndo ikaja, ikatia ufa kwenye msingi wenyewe, sasa imebaki padogo tu LIUFA lenyewe liangushe banda walilopandisha kiholela.
 
Hakuna shaka alikuwa mtu mwenye uwezo mkubwa kiakili. Mengine ni mapungufu tu ya kibinadamu hawezi kuwa mkamilifu. He was a great stateman
Mapungufu ya ubinadamu? For 24 year kwenye power? Ujinga mtupu alikuwa Rais wa hovyo zaidi ya kenyata
 
Pengine kabla ya kulaumu mwingine, mmoja mmoja, tumefanikiwa vipi kutoka alipoachia yeye?

Muda gani umepita tangu aache madaraka na pia tangu alipokufa?

Muda huo ungetosha kwa waliofuata kufanya tofauti?

Kuna vichwa maji wanajisifu kuwa, bwawa liliachwa likiwa limejengwa kwa 37% wao wamefikia 84% kwa miaka 2 tu! Swali ni je, ujenzi ulianza kuhesabiwa hatua gani? Site clearance? Mobilisation of resources? Au Ujenzi ulipoanza, ule wa kusimamisha tofali?

Ukishasafisha kiwanja, ukaweka vipimo sawa, ukachimba msingi na kupata picha, unaweka msingi, hatua inayochukua musa mrefu kuliko sehemu nyingine yoyote ya ujenzi; baada ya hapo, kupandisha ni kama kumsukuma mlevi.

Nyerere aliishia kwenye MSINGI, tumeshindwa kufanya finishing, kuna awamu ndo ikaja, ikatia ufa kwenye msingi wenyewe, sasa imebaki padogo tu LIUFA lenyewe liangushe banda walilopandisha kiholela.
Ujinga na upuuzi! Kwanini yeye asingebadilisha katiba? Na bado aliikumbatia katiba ya wakoloni? Mzandiki mkubwa
 
Pengine kabla ya kulaumu mwingine, mmoja mmoja, tumefanikiwa vipi kutoka alipoachia yeye?

Muda gani umepita tangu aache madaraka na pia tangu alipokufa?

Muda huo ungetosha kwa waliofuata kufanya tofauti?

Kuna vichwa maji wanajisifu kuwa, bwawa liliachwa likiwa limejengwa kwa 37% wao wamefikia 84% kwa miaka 2 tu! Swali ni je, ujenzi ulianza kuhesabiwa hatua gani? Site clearance? Mobilisation of resources? Au Ujenzi ulipoanza, ule wa kusimamisha tofali?

Ukishasafisha kiwanja, ukaweka vipimo sawa, ukachimba msingi na kupata picha, unaweka msingi, hatua inayochukua musa mrefu kuliko sehemu nyingine yoyote ya ujenzi; baada ya hapo, kupandisha ni kama kumsukuma mlevi.

Nyerere aliishia kwenye MSINGI, tumeshindwa kufanya finishing, kuna awamu ndo ikaja, ikatia ufa kwenye msingi wenyewe, sasa imebaki padogo tu LIUFA lenyewe liangushe banda walilopandisha kiholela.
Nyerere hakuacha hata msingi ndio maana kila kiongozi akija anajaribu kuweka msingi wake na wote wanaishia kwenye kujaribu tu kuweka msingi nothing more, hapa hatu laumu tuna lalamika
 
Pengine kabla ya kulaumu mwingine, mmoja mmoja, tumefanikiwa vipi kutoka alipoachia yeye?

Muda gani umepita tangu aache madaraka na pia tangu alipokufa?

Muda huo ungetosha kwa waliofuata kufanya tofauti?

Kuna vichwa maji wanajisifu kuwa, bwawa liliachwa likiwa limejengwa kwa 37% wao wamefikia 84% kwa miaka 2 tu! Swali ni je, ujenzi ulianza kuhesabiwa hatua gani? Site clearance? Mobilisation of resources? Au Ujenzi ulipoanza, ule wa kusimamisha tofali?

Ukishasafisha kiwanja, ukaweka vipimo sawa, ukachimba msingi na kupata picha, unaweka msingi, hatua inayochukua musa mrefu kuliko sehemu nyingine yoyote ya ujenzi; baada ya hapo, kupandisha ni kama kumsukuma mlevi.

Nyerere aliishia kwenye MSINGI, tumeshindwa kufanya finishing, kuna awamu ndo ikaja, ikatia ufa kwenye msingi wenyewe, sasa imebaki padogo tu LIUFA lenyewe liangushe banda walilopandisha kiholela.
Pumba tupu
 
Hakika, katika suala la Katiba aliiacha nchi hii katika usiku wa giza nene sana.
Alikiri mwenyewe kwamba kwa KATIBA hii ukipata Rais wa Tanzania asiye na maono, asiye na hofu ya Mungu basi itakuwa ni hatari, lakini cha ajabu yeye akaondoka madarakani na kutuachia zigo hili watanzania ambalo kweli bado linatutesa.

Rais gani aamue kubadili katiba? kila mmoja anaingia na kutoka na kujitua zigo la lawama na suala la Muugano wetu huu ndiyo linaongeza ugumu wenyewe. Baba bora ni yule anayefikiri kama hatakuwepo Duniani kesho yake je mfumo gani familia yake watautumia ili waishi maisha bora, na mfumo huo ni lazima uanze kufanya kazi kabla hajaaga Dunia.

Kwa mengine - yes aliipenda Tanzania sana.
 
Ni akili za kijuha kutaka shirikisho la umoja wa Africa wakati nchi zenyewe za Africa zimeja ukabila, udini, ukanda na uongozi mbovu. Zaidi sana shirikisho la Umoja wa Africa chini ya madikteta kama Nkuramah au Gaddafi ilikuwa ni kujitumbukiza katika kikaango cha mafuta ya moto wa gesi.
Mkuu Nyerere ni moja ya watu wa kulaumiwa kabisa kama sio yeye pengine tungekuwa na shirikisho la umoja wa Africa kama nkwame nkruma na Gadafi walivyopendekeza badala yake yeye akata block kwanza kwa maana jumuiya za kikanda,
Kama unachochote cha kusema hapo mkuu Pascal naomba mchango wako
 
Ni akili za kijuha kutaka shirikisho la umoja wa Africa wakati nchi zenyewe za Africa zimeja ukabila, udini, ukanda na uongozi mbovu. Zaidi sana shirikisho la Umoja wa Africa chini ya madikteta kama Nkuramah au Gaddafi ilikuwa ni kujitumbukiza katika kikaango cha mafuta ya moto wa gesi.
Wewe ndio juha, mbulula na tabla lasa sababu hata Nyerere mwenyewe alikili hilo na wanahistoria wote wanamuunga mkono Nkruma katika hilo.
Kuhusu ukabila, kanda na dini basi hata Tanganyika isingekuwepo kuna kanda, kabila na dini mbali mbali mbona tunaishi pamoja!?
 
Mzee aliwafanya watanzania kuvaa kaniki na bidhaa muhimu kama sukari kuwa anasaa ndani ya nchi.

Baada ya vita ya kagera 1978/79 alitoa ahadi ya watanzania kufunga mkanda kwa miezi 18 lakini mpaka anaondoka madarakani mikanda hiyo mpaka Sasa watanzania hawa jui kama isha toka au laa.

Kundi la 55G lilikuwa na hoja muhimu juu ya Tanganyika ambayo mpaka Sasa imemezwa na JMT uku kisiwa kile kikiwa nchi.

Nyerere atasimama kama baba wa taifa katika kuleta umoja wa kitaifa lakini katika mengine alifeli vibaya sana.

"Uongozi ni hekima na busara "
 
Ujinga na upuuzi!
Upi sasa? Nilioandika au huo wa Nyerere?

Mzandiki mkubwa
Hapa ni kuishiwa hoja sasa!

Kwanini yeye asingebadilisha katiba?
Kama unadhani yeye ndiye aliyeharibu, unadhani AKILI ILIYOHARIBU, inapaswa kutumika kurekebisha?

Nini kimewazuia waliofuata kubadili?
Unajua kwanini wewe unaweza kusema hayo huku tu na pengine sio mmoja wa walio juu pale kufanya hayo mabadiliko unayoyataka?

Mwisho, huoni kuwa unakosa sababu za msingi za kutaka mabadiliko hayo KAMA hujajua tatizo wala si KATIBA?
 
Nyerere hakuacha hata msingi ndio maana kila kiongozi akija anajaribu kuweka msingi wake na wote wanaishia kwenye kujaribu tu kuweka msingi nothing more, hapa hatu laumu tuna lalamika
Sio rahisi kudhani kuwa hakuacha msingi au misingi!

Anzia hapa tulipo, rudi nyuma mpaka 1953, fikiria kwa kuzingatia yote, kisha uje uniambie kuwa hakukuwa na msingi!

Nipe uchambuzi wako mdogo tu wa kila awamu ilipoanzia na kumalizia, kisha useme kama kulikuwa na msingi au lah!

Mwisho, msingi ni msingi, ama mbovu au imara, na ni lazima uwepo kwanza! Kinyume chake, ondoa neno TANZANIA kwenye ulimwengu ili tujue hakukuwa na msingi!
 
Sio rahisi kudhani kuwa hakuacha msingi au misingi!

Anzia hapa tulipo, rudi nyuma mpaka 1953, fikiria kwa kuzingatia yote, kisha uje uniambie kuwa hakukuwa na msingi!

Nipe uchambuzi wako mdogo tu wa kila awamu ilipoanzia na kumalizia, kisha useme kama kulikuwa na msingi au lah!

Mwisho, msingi ni msingi, ama mbovu au imara, na ni lazima uwepo kwanza! Kinyume chake, ondoa neno TANZANIA kwenye ulimwengu ili tujue hakukuwa na msingi!
Kuwepo kwa neno Tanzania kama kwako ndio msingi naomba endelea na mjadala na wapumbavu wenzio
 
Sio rahisi kudhani kuwa hakuacha msingi au misingi!
Kijana anayesema Nyerere hakuacha msingi atakuwa na tatizo; anahitaji kusaidiwa. Miaka ya uongozi wa Nyerere taifa hili liliheshimiwa duniani.

Bahati mbaya sana baadhi ya waliochukua uongozi baada yake badala ya kuendeleza kujenga na kurekebisha ambapo hapakuwa sawa, wakabomoa hata kile kilichojengwa.
 
Kijana anayesema Nyerere hakuacha msingi atakuwa na tatizo; anahitaji kusaidiwa. Miaka ya uongozi wa Nyerere taifa hili liliheshimiwa duniani.

Bahati mbaya sana baadhi ya waliochukua uongozi baada yake badala ya kuendeleza kujenga na kurekebisha ambapo hapakuwa sawa, wakabomoa hata kile kilichojengwa.
Sasa we baba Tanzania kama nchi lifaidi nini kiuchumi na hizo heshima ilizo pata.......Nyrere alikua mbinafsi alipata unarufu Africa hata kuliko Tz yenyewe kwa kutumia mali za Tz.
 
Sasa we baba Tanzania kama nchi lifaidi nini kiuchumi na hizo heshima ilizo pata.......Nyrere alikua mbinafsi alipata unarufu Africa hata kuliko Tz yenyewe kwa kutumia mali za Tz.
Miradi mikubwa ya kiuchumi alianzisha karibu kila mkoa ikiwemo ujenzi wa viwanda na viwanda vidogo vidogo. Miradi ya mawasiliano, elimu, nishati, mahospitali na vituo vya afya nk.

Hakuna mgonjwa aliyekosa kutibiwa kwa kutokuwa na bima ya afya, huduma za afya zikiwa za ubora wa viwango vya juu.

Hakuna mtanzania mwenye akili timamu wa wakati huo anayeweza kusema hakufaidika na hayo.
 
Sasa we baba Tanzania kama nchi lifaidi nini kiuchumi na hizo heshima ilizo pata.......Nyrere alikua mbinafsi alipata unarufu Africa hata kuliko Tz yenyewe kwa kutumia mali za Tz.
Nyerere angekuwa mbinafsi sasa hivi Afrika nzima ni familia chache ambazo zingekuwa na utajiri kuifikia familia yake.

Sijui ni ubinafsi gani unaoujua wewe!
 
Back
Top Bottom