Kumuelewa vyema Hayati Mwalimu Julius Nyerere upeo uwe mkubwa

Kumuelewa vyema Hayati Mwalimu Julius Nyerere upeo uwe mkubwa

Mwalimu Nyerere hajawahi kuhutubia taifa akitokea Ikulu!, alikuwa anaenda uwanja wa Taifa au mahali fulani ila sio kutokea Ikulu.

Naunga mkono hoja
P
Zitakuwa ni hotuba zenye mlengo wa CCM, Kwani kulikuwa na ile kauli ya kuamkia ya kidumu chama cha mapinduzi na wote tukaitikia kidumuuu. Zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM tunaitikia zidumuu. Hiyo ni miaka ya 1980 mwanzoni.
 
Chanzo na mizizi ya umasikini na matatixo ya Tz mpaka leo kwa 80% yali asisiwa na Nyerere,
Hayupo serikalini karibu miaka 40, kaondoka duniani miaka zaidi ya 20. Kama kufikia leo mmeshindwa kurekebisha pale alipoharibu, nyie ndio mtakuwa mmefeli zaidi yake.
 
Mpumbavu! Nyerere amewabrain washed wapumbavu kama nyie
Nyerere alijenga msingi wa taifa hili ukubali ukatae, ndiye kiongozi wa kwanza aliyeijua Tanzania ikiwa pori tupu hivyo uchungu wake ni wa kweli hata leo hii.

Sisi tuliozaliwa na kukua baadae tuna kila sababu ya kuliheshimu na kulienzi jina lake.
 
Nyerere alijenga msingi wa taifa hili ukubali ukatae, ndiye kiongozi wa kwanza aliyeijua Tanzania ikiwa pori tupu hivyo uchungu wake ni wa kweli hata leo hii.

Sisi tuliozaliwa na kukua baadae tuna kila sababu ya kuliheshimu na kulienzi jina lake.
Kuna wakati huwa najiuliza kama ndugu yangu Philipo huwa unapata wasaa kututembelea ndugu zako Bukirilo uone tulivyopigika. 😆😆
 
Mkuu Nyerere ni moja ya watu wa kulaumiwa kabisa kama sio yeye pengine tungekuwa na shirikisho la umoja wa Africa kama nkwame nkruma na Gadafi walivyopendekeza badala yake yeye akata block kwanza kwa maana jumuiya za kikanda,
Kama unachochote cha kusema hapo mkuu Pascal naomba mchango wako
mshukuru saaana saaana Julius kambarage kuhusu kutoingia kichwa kichwa kufanya united state of Africa kama chizi nkuruma na mwenzake gamal Nasr walivyotaka. wewe unajua katiba za nchi za kiarabu zina chuki mbaya sana sana na dini ya kikristo kuliko ugonjwa wa surua?
1) nchi za kiarabu huwezi kujenga makanisa
2)huwezi kumshawishi muislamu abadili dini na akama kibadili basi wewe utafungwa miaka ishirini na tano.
3)mkristo huruhusiwi kufungua hoteli yako mwezi wa ramadan.
4)huruhusiwi kuuza biblia, rozari wala vifaa vya kikristo hadharani
5) ni marufuku kwa mkristo kuwa mtawala wao . katiba zao zinasema kiongozi wa nchi hii ni razima awe muislamu na raia wa nchi hii.
sasa jiulize ukiunganisha africa wewe mkristo utashi vipi ukiahamia Libya, Algeria,Mouritania, Moroco, somalia, sudan na kisiwa cha Comoro?
Je unajua mateso walopata wasudani ya kusini mpaka kuamua kuingia msituni kutetea dini yao ya kikristo??

Nyerere aliona mbali sana na akakwepa kuhudhulia mkutano nyeti akamtuma Tom Mboya aende kwa niaba ya maraisi wa Kenya, Tanzania na malawwi.
mapendekezo haya ya united state of africa aliyarudia tena Gadafi lakini hayakuwa na nguvu viongozi wengi weusi WALIMNYONDEA. unajua kunyonda ni lugha ya pwani maana yake kukataa kwa maudhi mpaka aliyekushawishi naye anachukia.
 
mshukuru saaana saaana Julius kambarage kuhusu kutoingia kichwa kichwa kufanya united state of Africa kama chizi nkuruma na mwenzake gamal Nasr walivyotaka. wewe unajua katiba za nchi za kiarabu zina chuki mbaya sana sana na dini ya kikristo kuliko ugonjwa wa surua?
1) nchi za kiarabu huwezi kujenga makanisa
2)huwezi kumshawishi muislamu abadili dini na akama kibadili basi wewe utafungwa miaka ishirini na tano.
3)mkristo huruhusiwi kufungua hoteli yako mwezi wa ramadan.
4)huruhusiwi kuuza biblia, rozari wala vifaa vya kikristo hadharani
5) ni marufuku kwa mkristo kuwa mtawala wao . katiba zao zinasema kiongozi wa nchi hii ni razima awe muislamu na raia wa nchi hii.
sasa jiulize ukiunganisha africa wewe mkristo utashi vipi ukiahamia Libya, Algeria,Mouritania, Moroco, somalia, sudan na kisiwa cha Comoro?
Je unajua mateso walopata wasudani ya kusini mpaka kuamua kuingia msituni kutetea dini yao ya kikristo??

Nyerere aliona mbali sana na akakwepa kuhudhulia mkutano nyeti akamtuma Tom Mboya aende kwa niaba ya maraisi wa Kenya, Tanzania na malawwi.
mapendekezo haya ya united state of africa aliyarudia tena Gadafi lakini hayakuwa na nguvu viongozi wengi weusi WALIMNYONDEA. unajua kunyonda ni lugha ya pwani maana yake kukataa kwa maudhi mpaka aliyekushawishi naye anachukia.
Hiyo ni fear of the unknown tu, shirikisho kila state inakuwa na sheria ndogo za kwake kuna waislamu kama Ben Bella hata huko misri ndio nchi inayoongozwa kwa kutembelewa na ina wakristo waarabu pia.
Kuwa na states sio lazima ukakae huko ila mnakuwa na nguvu together we are strong divided we are vulnerable.
Mkuu ukitumia hoja zako za dini kama msingi wa Nyerere kukataa shirikisho nakuona kichaa wakati huo huo ali risk kuungana Zanzibar yenye waislamu watupu kuliko misri.
Nyerere kama alivyosema Nkruma na kama ilivyoandikwa kwenye kitabu cha kwa kheri uhuru kwa kheri ukoloni alikuwa puppet wa uingereza na royal family.
Kila state ingebakia na utamaduni wake kama ni ya kiislamu ila tukiwa ndani ya umoja wa africa.
Kwa sasa tuna tofauti gani na makoloni ya ulaya, uchina na marekani!?
Miaka michache ijayo tutakuwa watumwa tena completely.
Oky!!! Makanisa ya kikristo yametusaidia nini, ambacho utalinganisha mbadala wa umoja wa afrika ukiacha mambo ya kiroho
 
Hiyo ni fear of the unknown tu, shirikisho kila state inakuwa na sheria ndogo za kwake kuna waislamu kama Ben Bella hata huko misri ndio nchi inayoongozwa kwa kutembelewa na ina wakristo waarabu pia.
Kuwa na states sio lazima ukakae huko ila mnakuwa na nguvu together we are strong divided we are vulnerable.
Mkuu ukitumia hoja zako za dini kama msingi wa Nyerere kukataa shirikisho nakuona kichaa wakati huo huo ali risk kuungana Zanzibar yenye waislamu watupu kuliko misri.
Nyerere kama alivyosema Nkruma na kama ilivyoandikwa kwenye kitabu cha kwa kheri uhuru kwa kheri ukoloni alikuwa puppet wa uingereza na royal family.
Kila state ingebakia na utamaduni wake kama ni ya kiislamu ila tukiwa ndani ya umoja wa africa.
Kwa sasa tuna tofauti gani na makoloni ya ulaya, uchina na marekani!?
Miaka michache ijayo tutakuwa watumwa tena completely.
Oky!!! Makanisa ya kikristo yametusaidia nini, ambacho utalinganisha mbadala wa umoja wa afrika ukiacha mambo ya kiroho
Nyerere hakuwa puppet tuwe na shukrani kwa wazee wetu waliojenga nchi kwa jasho na damu.

Puppet angeweza kusomesha maelfu kwa maelfu ya watoto wa maskini tena bure kabisa na wakaja kufanya maajabu kama aliyoyafanya JPM ya kuijenga nchi hii kwa kasi?.

Puppet asingeweza kuanzisha viwanda mamia kwa mamia kila eneo la nchi, KILTEX, MWATEX, MUTEX, TAZARA na uendelezaji mzima wa reli.

Puppet asingeweza kuweka msisitizo katika suala la umoja na watu wote kuongea lugha ya kiswahili kila mahali Tanzania.

Puppet ni kama hayati Mobutu Seseseko aliyekusanya mabilioni ya pesa halafu akaja kuzikwa Morocco na watu wasiozidi kumi.
 
Nyerere hakuwa puppet tuwe na shukrani kwa wazee wetu waliojenga nchi kwa jasho na damu.

Puppet angeweza kusomesha maelfu kwa maelfu ya watoto wa maskini tena bure kabisa na wakaja kufanya maajabu kama aliyoyafanya JPM ya kuijenga nchi hii kwa kasi?.

Puppet asingeweza kuanzisha viwanda mamia kwa mamia kila eneo la nchi, KILTEX, MWATEX, MUTEX, TAZARA na uendelezaji mzima wa reli?.

Puppet asingeweza kuweka msisitizo katika suala la umoja na watu wote kuongea lugha ya kiswahili kila mahali Tanzania.

Puppet ni kama hayati Mobutu Seseseko aliyekusanya mabilioni ya pesa halafu akaja kuzikwa Morocco na watu wasiozidi kumi.
Labda ni kweli lakini ukisoma vitu alivyo tuletea na alivyo tunyima ukapima hutasita kumuita puppet alitunyima muungano wa africa na yeye ndio source ya patrice lumumba kuhsindwa vita kwa kuzuia silaha zilizoletwa na wa communist kutoka cuba.
Labda alifanya kwa nia nzuri lakini alikosea
 
Labda ni kweli lakini ukisoma vitu alivyo tuletea na alivyo tunyima ukapima hutasita kumuita puppet alitunyima muungano wa africa na yeye ndio source ya patrice lumumba kuhsindwa vita kwa kuzuia silaha zilizoletwa na wa communist kutoka cuba.
Labda alifanya kwa nia nzuri lakini alikosea
Hatukuwa tayari kwa muungano wa afrika miaka ile ya 1960 na hatupo tayari hivi sasa katika karne mpya.

Gharama za kuondoa madhara yaliyoletwa na mipaka ya wazungu ni kubwa na zinazoingia ndani ya maisha yetu kuliko gharama za kuunganisha nchi moja moja ili ziweze kuwa na shirikisho.
 
Hatukuwa tayari kwa muungano wa afrika miaka ile ya 1960 na hatupo tayari hivi sasa katika karne mpya.

Gharama za kuondoa madhara yaliyoletwa na mipaka ya wazungu ni kubwa na zinazoingia ndani ya maisha yetu kuliko gharama za kuunganisha nchi moja moja ili ziweze kuwa na shirikisho.
Mkuu Nyerere alikili alikosea na wana historia wote wanakili hilo lilikuwa kosa.
 
Mkuu Nyerere alikili alikosea na wana historia wote wanakili hilo lilikuwa kosa.
Alikiri makosa mengi ya utekelezaji wa sera ya ujamaa na kujitegemea na uanzishwaji wa vijiji vya ujamaa, Lakini ugumu wa kuiunganisha afrika upo mpaka leo.

Kuna nchi zenye uislam wa siasa kali na zile zenye kuongozwa na ushawish wa kikristo. Mtoa mada mmoja katoa mfano ya Sudan ilivyokuja kumeguka kwa ukristo na uislam na huo ni mfano mmoja tu.
 
Alikiri makosa mengi ya utekelezaji wa sera ya ujamaa na kujitegemea na uanzishwaji wa vijiji vya ujamaa, Lakini ugumu wa kuiunganisha afrika upo mpaka leo.

Kuna nchi zenye uislam wa siasa kali na zile zenye kuongozwa na ushawish wa kikristo. Mtoa mada mmoja katoa mfano ya Sudan ilivyokuja kumeguka kwa ukristo na uislam na huo ni mfano mmoja tu.
Mkuu usimtetee nyerere, makabika 124 ya Tanganyika ni lini yalikuwa tayari kuwa chini ya serikali hii!?
Hao waislamu wa Zanzibar, Pwani na madhehebu mengine lini walikuwa tayari!?
Kuwa chini ya shirikisho ni rahisi kwa sababu kila state au jimbo linakuwa na tamaduni zake kwa sheria zake kama ilivyo Zanzibar lakini tunakuwa chini ya shirikisho
 
Mkuu usimtetee nyerere, makabika 124 ya Tanganyika ni lini yalikuwa tayari kuwa chini ya serikali hii!?
Hao waislamu wa Zanzibar, Pwani na madhehebu mengine lini walikuwa tayari!?
Kuwa chini ya shirikisho ni rahisi kwa sababu kila state au jimbo linakuwa na tamaduni zake kwa sheria zake kama ilivyo Zanzibar lakini tunakuwa chini ya shirikisho
Mkuu Nyerere nitamtetea kadri ya uwezo wangu wote. Kuunganisha makabila 124 ya nchi moja sio kama kuunganisha makabila zaidi ya 10,000 ya afrika nzima.

Easier said than done mkuu. Hao wazungu tunaowaita mabeberu ukumbuke ustawi wao unatokana na sisi kutokuwa wamoja, uchumi wao kutengamaa unatokana na afrika kuwa hivi ilivyo usidhani watakuacha ustawi tu wakati wao ndio waliokuwekea hii mipaka inayotutambulisha sisi kuwa ni nchi huru.
 
Nyerere alijitaidi sana ila huwa nawaza, alikuwa hawezi kufanya vizuri zaidi ya hapo!?
Naona kuna vingi alicha haviko sawa
Watanganyika waliomzunguka hawakumuelewa.
Watu walitaka kulimbikiza mali kwa njia za mkato!
Hawakutaka misingi
 
Mkuu usimtetee nyerere, makabika 124 ya Tanganyika ni lini yalikuwa tayari kuwa chini ya serikali hii!?
Hao waislamu wa Zanzibar, Pwani na madhehebu mengine lini walikuwa tayari!?
Kuwa chini ya shirikisho ni rahisi kwa sababu kila state au jimbo linakuwa na tamaduni zake kwa sheria zake kama ilivyo Zanzibar lakini tunakuwa chini ya shirikisho
Yeye alifanya hivyo? Je, imewashinda nini kufanya tofauti
 
Back
Top Bottom