Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Makao makuu ya Mkoa tusiite Chato tena tuite Nzilankende District
N.a. Ile Uwanja wa Ndege wa kuchungia Ng'ombe tuuite Hapa kazi tu International Airport
the fuk is wrong with you peoples.?Kazi iliyotukuka aliyoifanya Hayati Dokta John Joseph Pombe Magufuli tangia akiwa waziri hadi alipokuwa Rais wa awamu ya tano ni kubwa mno na inaonekana
Ingawa amelala mauti, jina lake, maono yake, miradi aliyoisimamia akiwa madarakani na Jitihada zake katika kulinda , kusimamia na matumizi ya rasilimali za Taifa kwa maendeleo ya nchi vitabaki kumbulumbu ya kudumu kwa vizazi hadi vizazi
Katika shughuli ya Mazishi, Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan amejibu ombi la sana chato la kuifanya chato kuwa mkoa.
Kwa mtazamo wangu, huo mchakato na vigezo vya kuifanya chato kuwa mkoa vikikamilika, Napendekeza Jina la huo mkoa kuwa ni Magufuli.
Mheshimiwa Rais Samia ameahidi kumuenzi Hayati Dokta Magufuli kwa kuifanya chato kuwa mkoa, mkoa huo ukiitwa Magufuli, kumuenzi kutaimarika zaidi. Pia katika mkoa huo, pawepo jumba la makumbusho ya Jemedari Magufuli.
Kabisaaa!Madam President kwa speech ya leo ni wazi atapiga chini hilo wazo la kuifanya chato Mkoa, ile kauli leteni mapendelezo tuyapitie, imetosha kabisa kwamba hakuna tena cha Mkoa wa Chato.
Tuvumilie tuu haya yote yatapita na kuwekwa kwenye kaburi la sahauMataga bhana sijui mnakwama wapi;View attachment 1735165
Ishatoka hiyoHuo mkoa sidhani kama ni kipaumbele kwa sasa.. tusubiri kama watatimiza vigezo.
Kwanza tunamaliza miradi tuliyo ianzishaTunaomba daraja la Jangwani, litatusaidia siku za masika hata kwa tall chatge litalipa.
Upo sahihiTusianze kuuita mikoa majina ya wanasiasa maana kila siku tutaishia kubadilisha majina. Tubakize utamaduni uleule wa majina. Kama mtu kafanya mazuri yataonekana. Tusifanye vitu kwa hisia za misiba bila kufikiria vizuri
Huoni inapendeza?Mkoa wa chato[emoji846][emoji846]
Masasi pangeitwa MUKAPAButiama kungeitwa NYERERE