Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena mtu kutoka bushTunaomba mama atirudishie jiji letu la Dar maana Dar kama dar ina historia ndefu sio tu mtu anakuja kubadilisha kirahisirahisi
Kazi iliyotukuka aliyoifanya Hayati Dokta John Joseph Pombe Magufuli tangia akiwa waziri hadi alipokuwa Rais wa awamu ya tano ni kubwa mno na inaonekana
Ingawa amelala mauti, jina lake, maono yake, miradi aliyoisimamia akiwa madarakani na Jitihada zake katika kulinda , kusimamia na matumizi ya rasilimali za Taifa kwa maendeleo ya nchi vitabaki kumbulumbu ya kudumu kwa vizazi hadi vizazi
Katika shughuli ya Mazishi, Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan amejibu ombi la sana chato la kuifanya chato kuwa mkoa.
Kwa mtazamo wangu, huo mchakato na vigezo vya kuifanya chato kuwa mkoa vikikamilika, Napendekeza Jina la huo mkoa kuwa ni Magufuli.
Mheshimiwa Rais Samia ameahidi kumuenzi Hayati Dokta Magufuli kwa kuifanya chato kuwa mkoa, mkoa huo ukiitwa Magufuli, kumuenzi kutaimarika zaidi. Pia katika mkoa huo, pawepo jumba la makumbusho ya Jemedari Magufuli.
Acha usenge basiKazi iliyotukuka aliyoifanya Hayati Dokta John Joseph Pombe Magufuli tangia akiwa waziri hadi alipokuwa Rais wa awamu ya tano ni kubwa mno na inaonekana
Ingawa amelala mauti, jina lake, maono yake, miradi aliyoisimamia akiwa madarakani na Jitihada zake katika kulinda , kusimamia na matumizi ya rasilimali za Taifa kwa maendeleo ya nchi vitabaki kumbulumbu ya kudumu kwa vizazi hadi vizazi
Katika shughuli ya Mazishi, Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan amejibu ombi la sana chato la kuifanya chato kuwa mkoa.
Kwa mtazamo wangu, huo mchakato na vigezo vya kuifanya chato kuwa mkoa vikikamilika, Napendekeza Jina la huo mkoa kuwa ni Magufuli.
Mheshimiwa Rais Samia ameahidi kumuenzi Hayati Dokta Magufuli kwa kuifanya chato kuwa mkoa, mkoa huo ukiitwa Magufuli, kumuenzi kutaimarika zaidi. Pia katika mkoa huo, pawepo jumba la makumbusho ya Jemedari Magufuli.
Ipoje mkuuHivi nyie mnaijua Chato lakini? Mmefika?
Jiaminishe hivyo wewe ambae sio bure, unaweza kuelekezwa vigezo ni vipi lakini usiwe navyo hivyo vigezo......mara ngapi unasikia kuna nafasi ya kazi lakini kigezo uwe na uzoefu wa miaka kadhaa, lakini kwa vile huna hivyo vigezo kazi unawaachie wengine.Akaendelea akasema "wakishindwa watawaelekeza vigezo ni vipi".....Wewe ni bure kabisa
Au UNITED REPUBLICS OF MAGU and MASHIMAGU - NIA instead of TANZANIA
Kazi iliyotukuka aliyoifanya Hayati Dokta John Joseph Pombe Magufuli tangia akiwa waziri hadi alipokuwa Rais wa awamu ya tano ni kubwa mno na inaonekana
Ingawa amelala mauti, jina lake, maono yake, miradi aliyoisimamia akiwa madarakani na Jitihada zake katika kulinda , kusimamia na matumizi ya rasilimali za Taifa kwa maendeleo ya nchi vitabaki kumbulumbu ya kudumu kwa vizazi hadi vizazi
Katika shughuli ya Mazishi, Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan amejibu ombi la sana chato la kuifanya chato kuwa mkoa.
Kwa mtazamo wangu, huo mchakato na vigezo vya kuifanya chato kuwa mkoa vikikamilika, Napendekeza Jina la huo mkoa kuwa ni Magufuli.
Mheshimiwa Rais Samia ameahidi kumuenzi Hayati Dokta Magufuli kwa kuifanya chato kuwa mkoa, mkoa huo ukiitwa Magufuli, kumuenzi kutaimarika zaidi. Pia katika mkoa huo, pawepo jumba la makumbusho ya Jemedari Magufuli.
MAGUNIA na MAGUMASHI hahahaaaMAGU - NIA instead of TANZANIA
Nmetafuta tusi nmekosa ....acha nipite kimya kimya!🚶🏿♂️🚶🏿♂️🚶🏿♂️🥺Kazi iliyotukuka aliyoifanya Hayati Dokta John Joseph Pombe Magufuli tangia akiwa waziri hadi alipokuwa Rais wa awamu ya tano ni kubwa mno na inaonekana
Ingawa amelala mauti, jina lake, maono yake, miradi aliyoisimamia akiwa madarakani na Jitihada zake katika kulinda , kusimamia na matumizi ya rasilimali za Taifa kwa maendeleo ya nchi vitabaki kumbulumbu ya kudumu kwa vizazi hadi vizazi
Katika shughuli ya Mazishi, Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan amejibu ombi la sana chato la kuifanya chato kuwa mkoa.
Kwa mtazamo wangu, huo mchakato na vigezo vya kuifanya chato kuwa mkoa vikikamilika, Napendekeza Jina la huo mkoa kuwa ni Magufuli.
Mheshimiwa Rais Samia ameahidi kumuenzi Hayati Dokta Magufuli kwa kuifanya chato kuwa mkoa, mkoa huo ukiitwa Magufuli, kumuenzi kutaimarika zaidi. Pia katika mkoa huo, pawepo jumba la makumbusho ya Jemedari Magufuli.
Tusianze kuuita mikoa majina ya wanasiasa maana kila siku tutaishia kubadilisha majina. Tubakize utamaduni uleule wa majina. Kama mtu kafanya mazuri yataonekana. Tusifanye vitu kwa hisia za misiba bila kufikiria vizuri