mkwawa masawe
JF-Expert Member
- Nov 19, 2018
- 225
- 346
Naunga mkono hoja na makao makuu ya huo mkoa utakaoitwa magufuli yawe ni hapo chato.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkubwa akiamua hakuna wa kumuuliza wala kuhojiVigezo gani hutumika kugawa mikoa na wilaya?
Subiri matusi kutoka kwa MATAGABasi na Tanzania iitwe Nyerere
Kwani vigezo gani vilitumika kuipatia hadhi Dodoma kuwa jiji na Kilimanjaro ikabakia manispaa?Vigezo gani rasmi vinatumika kuifanya wilaya mkoa?
Ukila nyama ya mtu hutataka kuacha, wameanza uharibifu huo Dar kwa kuharibu maeneo tofauti na maarufu kwa kuyapa majina yao sasa wanataka kuhamisha kwenye mikoa, wataenda wilayani, wataenda tarafani, wataenda katani, vijijini na mwisho watamalizia na jina la nchi. Ubinafsi ni ugonjwa mbaya sana. TAZARA Bridge, Unungo Interchange, NSSF/Kigamboni Bridge.Tusianze kuuita mikoa majina ya wanasiasa maana kila siku tutaishia kubadilisha majina. Tubakize utamaduni uleule wa majina. Kama mtu kafanya mazuri yataonekana. Tusifanye vitu kwa hisia za misiba bila kufikiria vizuri
Ni upuuzi mtupu Magu alifanya mabaya mengi tu na yataanza kuanikwa hivi punde.Kazi iliyotukuka aliyoifanya Hayati Dokta John Joseph Pombe Magufuli tangia akiwa waziri hadi alipokuwa Rais wa awamu ya tano ni kubwa mno na inaonekana...
Siyo Butiama, Bali Tanzania ingeitwa Nyerere.Butiama kungeitwa NYERERE
Hapana,Tanzania iitwe Magu-niaNa Tanzania iitwe Magufuli
Upuuzi huh utawaisha lini? Yani kila kitu anataka kipewe jina lake? Ndo itasidia kumfufua?????Kazi iliyotukuka aliyoifanya Hayati Dokta John Joseph Pombe Magufuli tangia akiwa waziri hadi alipokuwa Rais wa awamu ya tano ni kubwa mno na inaonekana
Ingawa amelala mauti, jina lake, maono yake, miradi aliyoisimamia akiwa madarakani na Jitihada zake katika kulinda , kusimamia na matumizi ya rasilimali za Taifa kwa maendeleo ya nchi vitabaki kumbulumbu ya kudumu kwa vizazi hadi vizazi
Katika shughuli ya Mazishi, Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan amejibu ombi la sana chato la kuifanya chato kuwa mkoa.
Kwa mtazamo wangu, huo mchakato na vigezo vya kuifanya chato kuwa mkoa vikikamilika, Napendekeza Jina la huo mkoa kuwa ni Magufuli.
Mheshimiwa Rais Samia ameahidi kumuenzi Hayati Dokta Magufuli kwa kuifanya chato kuwa mkoa, mkoa huo ukiitwa Magufuli, kumuenzi kutaimarika zaidi. Pia katika mkoa huo, pawepo jumba la makumbusho ya Jemedari Magufuli.