Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi ni matajiriTayari kuna mikoa mingi hatuhitaji kuongeza unnecessary administrative costs zisizo na kichwa wala miguu za Mkuu wa Mkoa mpya na mazagazaga mengine ya mkoa mpya.
Tayari kuna mikoa mingi hatuhitaji kuongeza unnecessary administrative costs zisizo na kichwa wala miguu za Mkuu wa Mkoa mpya na mazagazaga mengine ya mkoa mpya.
Madam President kwa speech ya leo ni wazi atapiga chini hilo wazo la kuifanya chato Mkoa, ile kauli leteni mapendelezo tuyapitie, imetosha kabisa kwamba hakuna tena cha Mkoa wa Chato.
Vigezo na masharti vikitimizwa itapendeza.Huoni inapendeza?
Mataga wasivyo na aibu waatacha kuita Tanzania ya Magufuli na kamwe hawataiita Tanzania ya Samia. Hawa watu ni wapuuzi sanaNo more Tanzania ya jiwe. Jiwe limetoa bilioni kumi kwa mkoa wa Ruvuma 👍🏽
MAGU - NIA instead of TANZANIANa Tanzania iitwe Magufuli
Akaendelea akasema "wakishindwa watawaelekeza vigezo ni vipi".....Wewe ni bure kabisaMadam President kwa speech ya leo ni wazi atapiga chini hilo wazo la kuifanya chato Mkoa, ile kauli leteni mapendelezo tuyapitie, imetosha kabisa kwamba hakuna tena cha Mkoa wa Chato.
Vigezo gani hutumika kugawa mikoa na kuongeza wilaya?
Akaendelea akasema "wakishindwa watawaelekeza vigezo ni vipi".....Wewe ni bure kabisa
Sisi ni matajiriTayari kuna mikoa mingi hatuhitaji kuongeza unnecessary administrative costs zisizo na kichwa wala miguu za Mkuu wa Mkoa mpya na mazagazaga mengine ya mkoa mpya.