Ulitoa sh.ngapi kumuonaKwenye madhabahu ya Ngome ya Yesu kwa Kuhani Musa ndipo ndipo nilipomjua YESU aliyehai...
Mpaka sasa nina nguvu za Rohoni sababu ya madhabahu ya hiyo...
Mungu azidi kumbariki Kuhani Musa
Bwana YESU atukuzwe
Advanced witch doctor under the umbrella [emoji2513] of Jesus Christ.Najua hizo lakin2 ni sadaka , kwaajili ya ujenzi wa kanisa ambalo linajengwa..
Mi nimesali kwa Kuhani Musa ila sijawahi ingia ofisini kwake...
Nilikuwa naenda ibadani Tena kwa ku beep ila nimekua kiroho sababu ya mahubiri yake juu ya Yesu Kristo...
Hata mia mbovu...Ulitoa sh.ngapi kumuona
Ajabu, mbona anapingana na wachawi na waganga?Advanced witch doctor under the umbrella [emoji2513] of Jesus Christ.
Uko ndo kunaitwa kupumbaza watu..ata mm nafichua Siri za wachawiAjabu, mbona anapingana na wachawi na waganga?
Tena anafichua Siri za wachawi na waganga, na anawataja...
Wengine ni Watoto wadogo...
Uchawi ni Siri...Uko ndo kunaitwa kupumbaza watu..ata mm nafichua Siri za wachawi
Diamond pia matamasha yake VIP meza ni karibu milioni moja, Daimond anawakilisha ufalme wa shetani na Mussa anawakilisha ufalme wa Mungu.Ukifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.
Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Iliniuma sana niliposhuhudia ndugu yangu wa damu kabisa aliyekuwa mmoja wa waumini wa Gwajiboy tena mwenye kacheo fulani hapo kanisani alipofariki mwaka 2015 kwaya tu ya kanisani kuja kutoa huduma ya uimbaji msibani walidai malipo. Bila malipo waligoma kuja ikabidi malipo yafanyike ndipo wakaja.Ndo hivyo wajinga ndio waliwao..na siku ya jumapili ukipita pale nje temboni kuna watu kibao wako na bahasha wanagawa huruhusiwi uende kanisan kwake bila kuwa na bahasha uweke hela yaani pale bahasha kwanza ndio kiapumbele.
Sasa kinachonisikitisha sijawahi ona gwajiama au mwamposa au huyo mwasha labda akishiriki ibada ya kuzika labda kafa muumini wake haijawahi tokea.
Mwizi kivip na hajamlazimisha mtu aende?Hata 2,000 sitoi, hawa wachungaji wa uongo wanatuharibia imani.
Huyu mchaga mwizi kabisa
Chawa wa kuhani akiwa kazini natamani nikufahamu kwa sura na ipo siku ntakufahamu tu. Hujielewi wewe.Hakuna pesa yoyote ukitaka kumuona Kuhani Musa
Usitapeliwe Sandali Ali wala usidanganyike
Hakuna fast track wala pesa ya vifaa vya kiroho maana kila ibada vinagawiwa buree labda utake vya ziada
Nisikilize, unapofanya kinyume na katiba ni kosa.Mwizi kivip na hajamlazimisha mtu aende?
Sio kwel toka na miaka 9 huo ujinga niliachana nao ata sjui wanasali vp tena.Sasa una mdharau mtu kisa imani yake? Kila mtu kuna kitu ana kiamini kwa aina yake!
Halafu jf bhna ukiingia kichwa kichwa unaweza fikiri hawasali,hawaendi kwa manabii ,hawaendi kwa mitume,hawatoi michango ya harusi na hawapendi mambo ya dini hahahah!
Humu akili za kuambiwa changanya na zako…kuna chumvi nyingi zinazidishwa kwenye matukio….! Ukisoma coments za humu unaweza jiuliza hawa waumini manabii huwa wanawapata wapi? Na hawa waganga huwa wanapata wateja wapi? Kumbe ni hawa hawa wanaopinga sana ndio waumini wao!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umelogwa weweKwenye madhabahu ya Ngome ya Yesu kwa Kuhani Musa ndipo ndipo nilipomjua YESU aliyehai...
Mpaka sasa nina nguvu za Rohoni sababu ya madhabahu ya hiyo...
Mungu azidi kumbariki Kuhani Musa
Bwana YESU atukuzwe
Una nguvu gani wewe,mnadanganyana kwwnye vijikanisa uvhwaraMkuu, Imani yangu ni level za juu, siongei kwa hisia Nina nguvu za Rohoni...
Naweza kuona kuwa huyu ni Nabii feki au sio...
Hata wewe tukikutana na wewe nakujua mpaka ukoo wako...
Huna mamlaka ya kumuita mtu Wakala wa Ibilisi wakati hujapima Roho kwa njia ya Roho Mtakatifu
Kuhani Mussa anawakilisha ufalme wa MUNGU yupi?Diamond pia matamasha yake VIP meza ni karibu milioni moja, Daimond anawakilisha ufalme wa shetani na Mussa anawakilisha ufalme wa Mungu.
#kupanga ni kuchagua.
Huna mamlaka ya kumuita mtu Wakala wa Ibilisi wakati hujapima Roho kwa njia ya Roho Mtakatifu
Kwenye madhabahu ya Ngome ya Yesu kwa Kuhani Musa ndipo ndipo nilipomjua YESU aliyehai...
Mpaka sasa nina nguvu za Rohoni sababu ya madhabahu ya hiyo...
Mungu azidi kumbariki Kuhani Musa
Bwana YESU atukuzwe
Najua hizo lakin2 ni sadaka , kwaajili ya ujenzi wa kanisa ambalo linajengwa..
Mi nimesali kwa Kuhani Musa ila sijawahi ingia ofisini kwake...
Nilikuwa naenda ibadani Tena kwa ku beep ila nimekua kiroho sababu ya mahubiri yake juu ya Yesu Kristo...