benazirjosemarie
JF-Expert Member
- Dec 22, 2021
- 298
- 539
Bora kipofu kuliko ww maitiHuna tofauti na kipofu mwombaji...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora kipofu kuliko ww maitiHuna tofauti na kipofu mwombaji...
Mnautumia umasikini wa watu vibayaNipo vyema..
Hizi kejeli tushazizoea kwa wapinga kristo...
Watu wanafikiri Mpinga kristo ni Waislamu au wapagani kumbe ni wale wale wanaosali makanisani..
Wanawatisha watu wasiijue kweli..
Hakuna mtu anatumiwa, ila ni Imani zao walizoziweka kwenye madhabahu hiyo...Mnautumia umasikini wa watu vibaya
Masikini na mafukara ndio wamejaa huko kwa manabii.so akili yako kichwani utajua mwenyewe..Hakuna mtu anatumiwa, ila ni Imani zao walizoziweka kwenye madhabahu hiyo...
Nakuta picha kubwa imeandikwa baba wa kiroho imetuna juu ya meza ya TV. Nikaona hii kenge inataka kuniletea mawenge ndani. Kadi 2 za njano ikazinduka usingizini, siki hizi anashukuru tu kuwa nilimsaidia. Yule nabii alikula hela zangu sana na asset yangu moja ya ndani ikakabadhiwa madhabauni. Nikawapandia huko huko church ibada ya jioni nishapiga Kvant. Wazee wa kanisa wakaitwa kikao cha dharura, nikawa mbogo balaa, nje nimeacha madogo wanakula kvant incase wakinizingua ndani. Ikabidi mtumishi aje, kawa mpole wanasema kitu kikishakabidhiwa madhabauni akirudishwi. Niwape wiki 2 waumini wachange waninunulie kingine. Sikurudi tena, nikawaachia jumlailikuwaje mwamba?
ukute aliambiwa wewe unafanya watoto wako kuwa misukule.
😅😅😅😅
Uko sahihi kabisaHakuna mtu kashikiliwq bunduki kutoa.
Songa mbele katika Imani.Kwenye madhabahu ya Ngome ya Yesu kwa Kuhani Musa ndipo ndipo nilipomjua YESU aliyehai...
Mpaka sasa nina nguvu za Rohoni sababu ya madhabahu ya hiyo...
Mungu azidi kumbariki Kuhani Musa
Bwana YESU atukuzwe
Unajua maana ya madhabahu?. Unazijua components zinazounda hizo madhabahu?.Hakuna mtu anatumiwa, ila ni Imani zao walizoziweka kwenye madhabahu hiyo...
Hayo makorokoro mnayoyaita vifaa vya imani ni upuuzi mtupu. Imani kwenye Neno, Jina na Damu ya Yesu vyatosha mno kumiliki mlango wa adui zako. Ujinga na utoto wa kiroho utagharimu wengi sana.Hicho kitu ndio kimenifanya niache kwenda kwake kuabudu nae
Maji ,chumvi na mafuta Ni vya ghali mno
Ooh kma ni kweli naomba namim unipe namba zakeKwenye madhabahu ya Ngome ya Yesu kwa Kuhani Musa ndipo ndipo nilipomjua YESU aliyehai...
Mpaka sasa nina nguvu za Rohoni sababu ya madhabahu ya hiyo...
Mungu azidi kumbariki Kuhani Musa
Bwana YESU atukuzwe
Ahahahada
Aisee unaijitahidi kuficha utapeli wa tapeli lakini hutaweza.
Dada hili la huduma ya fast track lina ukweli na je watu wanatozwa sh laki mbili kuipata?Kwenye madhabahu ya Ngome ya Yesu kwa Kuhani Musa ndipo ndipo nilipomjua YESU aliyehai...
Mpaka sasa nina nguvu za Rohoni sababu ya madhabahu ya hiyo...
Mungu azidi kumbariki Kuhani Musa
Bwana YESU atukuzwe
Ila kwa mganga unatoa yoyote utakayoambiwa au nako hutoi.Hata 2,000 sitoi, hawa wachungaji wa uongo wanatuharibia imani.
Huyu mchaga mwizi kabisa
TRA wanaijua hii biashara ya nabii?Ukifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nakuta picha kubwa imeandikwa baba wa kiroho imetuna juu ya meza ya TV. Nikaona hii kenge inataka kuniletea mawenge ndani. Kadi 2 za njano ikazinduka usingizini, siki hizi anashukuru tu kuwa nilimsaidia. Yule nabii alikula hela zangu sana na asset yangu moja ya ndani ikakabadhiwa madhabauni. Nikawapandia huko huko church ibada ya jioni nishapiga Kvant. Wazee wa kanisa wakaitwa kikao cha dharura, nikawa mbogo balaa, nje nimeacha madogo wanakula kvant incase wakinizingua ndani. Ikabidi mtumishi aje, kawa mpole wanasema kitu kikishakabidhiwa madhabauni akirudishwi. Niwape wiki 2 waumini wachange waninunulie kingine. Sikurudi tena, nikawaachia jumla
Ulimjua baada ya kulipa hela au ?Kwenye madhabahu ya Ngome ya Yesu kwa Kuhani Musa ndipo ndipo nilipomjua YESU aliyehai...
Mpaka sasa nina nguvu za Rohoni sababu ya madhabahu ya hiyo...
Mungu azidi kumbariki Kuhani Musa
Bwana YESU atukuzwe
Shida ya Makanisa haya ya kirohoUmenikumbusha mke wangu aliingia kanisa la nabii mmoja nikiwa masomoni, narudi nakuta mambo yamebadilika. Nikampa yellow kadi ya kwanza, nikaongeza ya pili na nikamwambia jiandae kupanda basi. Akanyooka sasa karudi kanisa lake la Catholic na akili zimemrudi.