uncledalali
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 249
- 118
Duuu...Aisee ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unamaanisha hawa wanawake wa sasa wa insta au?Wanawake wanakuwaga na VUBUBU! huwa wanatunza zile chenji ndogo ndogo kwa kudunduliza wakijua kuna kesho.....................
Umejibu vyema sana Kiongozi.maarifa ni mengi kwa mwanamke
hasa village girls
utaomba unga kwa jirani
utakuwa na bustani ya viazi
utakuwa na bustani ya mboga mboga
utakusanya kuni uuze
so many
U got pointMaarifa ni kwenda kuchukua vile vinchenchi chenchi vinavyobakigi na kwenda kununua chakula familia isishinde/isilale njaa
Safi sana mkuu tatizo la vijana wanahisi suluhisho la matatizo ya kifedha ni kuwa na buzi kimbe kuna maarifa mengi sana beyond that.hakuna mme anayemaanisha mke atafute kibuzi unless ni marioo
Waziri wa jiko na mambo ya dharula😂😂Mwanamme anafikiri,anatafuta,anahenya,anateseka ili familia yake ipate kuishi (namzungumzia mtu wa aina hiyo)..Inafikia nyakati kila anachkifanya kinagonga mwamba,mambo si kama yalivyokuwa awali.....Kwa kiswahili cha kisiasa inabidi kufunga mkanda..tuingie kwenye dharula ya muda.
Mambo yasiyo ya kawaida katika familia kama kunywa chai,kununua nguo mpya,kutumia mafuta mengi kwenye mboga,viungo visivyo vya lazima kama pilipili hoho vyote vinasitishwa..Mwendo unakuwa ni wa kula ili kuishi.Na ni nani waziri wa jiko na mambo ya dharula ? - Ni mwanamke..ndipo mwanaume anatoa wito..fanya maarifa - yaani tumia kila kilichopo kwa akili.