radicals
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 4,411
- 6,473
poa poa, mkuu, hakuna tatizosio kesi mkuu. peace and love.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa poa, mkuu, hakuna tatizosio kesi mkuu. peace and love.......
Maisha 50-50, sijuwi kwanini waubavu hawataki kukubaliana na hali, na akisema maarifa hajaamisha ujiuze! Kwani mawanaume ukiambiwa fanya maarifa ndio ukimbilie kwa ma sugar-mama?!Hamnaga jema nyie wanawake! ukiachiwa kidogo malalamiko kibao,ukiachiwa nyingi hiyo hiyo unabana kweli ufanye matumizi yako yasiyo ya lazima......
Good boysio kesi mkuu. peace and love.......
Good boypoa poa, mkuu, hakuna tatizo
Duuuhhhhh ,, Hilo Mimi kwangu halipo.Umeoa mwanamke unajua ni mama wa nyumbani, asubuhi anakueleza mahitaji ya nyumbani unamwambia mke wangu fanya maarifa. Haya maarifa ni maarifa gani unayotaka mtoto wa watu ayafanye?
Good afternoon Mr PutinDuuuhhhhh ,, Hilo Mimi kwangu halipo.
Nitakujazia kila kitu ndani ,,na ela nitaacha ,,, ila ole wako nyumban chakula kikauke au mama yangu au baba wawe wamekuja kunisalimia alafu iwe nongwa [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] .
MBIGU ZITANISAMEHE ,,UTANIACHIA WANANGU BILA KUAMINI MACHO YAKO.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Good afternoon to you kapeace !!.Good afternoon Mr Putin
Niko fine, lbd tu nimekumisspoGood afternoon to you kapeace !!.
Oohhhh am glad to hear that kama upo fine !!..me too all is well !!.Niko fine, lbd tu nimekumisspo
Thank youOohhhh am glad to hear that kama upo fine !!..me too all is well !!.
I did three things today ,, miss you ,miss you and miss you too.
OK gudThank you
Maana ya maarifa hapo anayeijua ni aliyeambiwa kuzingatia muda.Umeoa mwanamke unajua ni mama wa nyumbani, asubuhi anakueleza mahitaji ya nyumbani unamwambia mke wangu fanya maarifa. Haya maarifa ni maarifa gani unayotaka mtoto wa watu ayafanye?
Astaghafillulah! Mume kumwambia mkewe upuuzi huo ni dalili ya kwanza kuwa anaelekea kuwa bwabwa au kuita wanaume wenziye shemeji. Hiyo ni dhambi. Men should be men always!Tena mwanaume anasema mke wangu fanya maarifa ilhali anarudi jioni unakuta mke wako amepiga pilau ya kuku na soda juu. Mke Huyu hana kazi huulizi pesa ametoa wapi?
hakika hii vita haijawahi kuwa nyepesi ni vita inayohitaji maarifaVita ya uchumi ambayo huwa anasema raisi Ndio hiyo Kwani huwa hamuelewi?
Unaachiwa buku mezani utajiongeza mwenyewe ufanyeje ili tumeze
This is how I was taught to be....Good boy