Ndiyo "afanye maarifa" hii ni kauli ya kiungwana sana toka kwa baba wa familia.
Kauli hii inampa hamasa mama ajiongeze kidogo kwa siku hiyo katika jukumu la kuihudumia familia kama vile jinsi afanyavyo baba.
Kauli hii haimaanishi kwamba mama uende kinyume na misingi ya ndoa wala kutomheshimu mmeo, bali ni kama kupewa ruhusa ya uhusika mkuu wa kung'amua ni namna gani mama utafanya makarateka na kuumiza kichwa familia ile.
Kinacho takiwa hapo mama ni kuvaa uhusika wa usingle mother, yaani una pretend as if mumeo hayupo au katoweka duniani ghafla so unapambana kukabiliana na hiyo hali na mwisho wa siku watoto wanakula.
Solution kuu ni kwamba tunapo wapa hela za manunuzi ya mahitaji nyumbani, muwe na desturi ya kutumia kiasi nyingine una save kama dharura kwa baadae.
Pia unaweza kumfuata jirani mwanamke mwenzio mkafanya butter trade.
Unampa mchele yeye anakupa mkaa ama kibaba cha maharage na mjali wa mafuta.
Nafikiri nimekupa jibu mujaarab kabisa bibie
Sky Eclat.