Kumwambia mwanamke 'FANYA MAARIFA'

Tunawapima tu kama nawo wanaweza kutafuta aise, sasa wakipasi huo mtihani basi wanaume roho zetu zawa kwatu kwamba kumbe tusipokuwepo Duniani wenzetu wataweza kutunza familia kwa kutumia akili na rasilimali zao..🙂😉
 
afanye maarifa ya jamii, yaani afanye improvisation ilimradi chakula kipatikane.
 
MKIAMBIWA MFANYE MAARIFA MAANA YAKE KAKOPENI KWA KINA MAMA NANII YANI MASHOGA ZENU AU UNAENDA KUZUGA KWENU UNACHUKUWA HATA VIMBOGAMBOGA .
 
Mfano miezi miwili iliyopita nimempa mke milioni moja ya matumizi yake binafsi,chakula bili za ndani nagharamia,alafu namuona amenunua wigi na viatu vipya wakati ndani ana viatu kibao,nakulia timing baada ya miezi miwili mingine hata kama nina hela ntakwambia nina pesa ya petrol au nauli masuala ya chakula tumia maarifa huku nakusoma utatumia maarifa gani, na kama ukienda kukopa nyama au unga, na ndani una wigi la laki tano na pea za viatu pea moja labda zaidi hata ya laki tatu ndiyo nitajua nina haina gani ya mwanamke na niishi naye vipi.
 
Umeongea vyema.

Hebu fikiria mwanamke anachojua ni kuajiriwa na hataki biashara, uza maandaz... Sitaki. Uza mkaa.... Sitaki. Fungua duka.... Sitaki. Anataka kuajiriwa alipwe mshahara. Hapa wenyewe mnaleta mtihani,


Hapo mchepuko umeomba hela iongezee mtaji wa duka lake la rejareja au kutengeneza nyavu za kuuza mbogamboga kwa mangi au kununua sukari ya kutengenezea barafu.

Mwanamke mpumbavu ataivunja nyumba yake tu.
 
Ha ha ha ha hilo ni tatizo,ila fomula nzuri kama unauwezo kiasi fulani jaribu kuweka 'stock' hata ya miezi 3 n.k ya vitu vyote vya msingi,tenga fedha ya tahadhari,tenga fedha ya starehe n.k nadhani kufanya hivyo utakuwa umetatua changamoto ambazo si za lazima.
 
mnapenda kweli kukarudiarudia haka ka thread.....
 
Huwezi kumwambia 'baba fulani maarifa nimekopa dukani' ?
 
MKIAMBIWA MFANYE MAARIFA MAANA YAKE KAKOPENI KWA KINA MAMA NANII YANI MASHOGA ZENU AU UNAENDA KUZUGA KWENU UNACHUKUWA HATA VIMBOGAMBOGA .
Sasa wao wakiambiwa wafanye maarifa wanafikiria kuuza papuchi!
 
Dah,ndio maana namuombea mke wangu akila siku asifikuzwe kazi,maana mambo kama haya yanahuzunisha sana ukianza kuwaza...
 
Hii topic imerudi tena...inaonekana research bado inaendelea donors hawajaridhiswa na matokeo ya awali hahaaaa
 

"KUNA UNGA NYUMBANI, AKOROGE UJI, KAITWA MWANAMKE, MSAIDIZI, NA SIFA NYINGINE NYINGI, SASA KAMA HAYO MUNGU ALIYOWAPA NA SIFA NYINGI MNAONA NI UMALAYA, TUTAKUWA TUMEKWISHA WANAUME ZENU"
 
Hata akiwa manager wa benki anaweza kuchepuka mkuu,Tabia mbaya hailetwi na matatizo ya hela.
 
Kazi yetu ni

1.Kuhakikisha malazi bora ya familia
2.Kuhakikisha matibabu bora ya familia,na shule ada zinalipwa
3.Kuhakikisha chakula kipo nyumbani 24/7
4.Na ustawi bora wa familia

Msamiati wa fanya fanya utaratibu ni uhuni,huwezi kuwa baba usiye na mipango endelevu ya familia
 
Kuna wanawake wana akili. Hela za matumizi unapompa ana-save kiaina siku ukisema kama hivyo hali ngumu anakusaidia siku hazilingani.
 
utamchotea mtu maji upate hela
utapita kwa watu kufua nguo
utachoma chapati, mandazi and the like
utapika uji uuze stend jioni

wadada wa mjini wataenda kweli kufua wapate hela ?🙂
 
hio hua nia kauli ya kishenzi wala msizunguuuuuuuuuke oh hv hv yaani ukimuambia mke wako hivo unamaanisha akajibebishe kwa mwanaume yeyote ili apate msaasa alete .

ndio maana hio acheni kung'ata ng'ata maneno...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…