Mfano miezi miwili iliyopita nimempa mke milioni moja ya matumizi yake binafsi,chakula bili za ndani nagharamia,alafu namuona amenunua wigi na viatu vipya wakati ndani ana viatu kibao,nakulia timing baada ya miezi miwili mingine hata kama nina hela ntakwambia nina pesa ya petrol au nauli masuala ya chakula tumia maarifa huku nakusoma utatumia maarifa gani, na kama ukienda kukopa nyama au unga, na ndani una wigi la laki tano na pea za viatu pea moja labda zaidi hata ya laki tatu ndiyo nitajua nina haina gani ya mwanamke na niishi naye vipi.