The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
- Thread starter
- #41
Uzuri wangu mie nna kiherehere, sisubiri kuambiwa nifanye maarifa. Nasoma alama za nyakati tu na kuiwahi kuulinda mtima wa mwenzi wanga. Tena kwa kujikausha kabisa 'Baba, unadhani mie napenda nyama siku hizi. Wewe nenda, Mungu hatotuacha!'.
Asili ya mwanamke ni kuwa na akiba. Haiwezekani akakaa hata sh 100 hana, ikitokea emergency ya mafuta ya taa ashindwe hadi muzeiya arudi. Hakuna raha ya mapenzi kama kuwa na uhitaji, basi tu dunia imechafuka!
mimi kwa mangi na kwa wapemba naenda kukopa mwenyewe lol
maarifa yako kwa wamama wenzio tu lol