Samahani sana Ms. Judith, ingawa moyoni ninalijua hilo, lakini kwa mazowea kwenye keyboard mikono ya ilipata kigugumizi.
Asante sana kwa kutukumbusha.
Mungu akulinde muda wote na ubarikiwe sana mpendwa.
sitorudia tena kumwambia mwanamke afanye maarifaKuna baadhi ya familia ....mwanaume akishindwa baadhi ya majukumu
yake hasa ya kipato ni kawaida kusikia mume akimwambia mkewe
'fanya maarifa'
au ufanye maarifa basi'.......
hivi hili hasa linaamaanisha nini?
maarifa gani ambayo mwanaume akishindwa ,mwanamke ndo ataweza?????????
halafu unakuta mwanamke 'anafanya kweli maarifa' na maisha yanakwenda...
sasa 'haya maarifa' ya wanawake ni yapi????
Mkuu TB, umenirejesha nyuma kidogo enzi hizoo...!!!; wakati fulani mambo yalikuwa magumu kidogo, basi kuna siku nikakosa kabisa kitu cha kuacha home, nikasema leo 'fanya maarifa'. Niliporudi jioni nilikuta wali na kuku amejaa kwenye sufuria (Jogoo), nikamuuliza mwenzangu haya kulikoni akaniambia amepewa na jirani yetu bwana John (huyu jirani ni mshikaji ambae hana mke, mwangalizi wa nyumba ya jamaa fulani). Nilishikwa na hasira, nikachukua sufuria la wali na kuku nikaenda kutupa nje, halafu tukalala bila kula.
Asubuhi yake nikaenda kazini, yule John akanifuata kazini akiambatana na jirani mwingine; alikuja kuniomba msamaha kwa yaliyotokea na kunisihi kwamba kulikuwa hakuna baya lolote kati yake na mwenza wangu. Alinieleza kwamba siku ile mwenza wangu alikuja kumwomba kuchuma mboga ya majani (maana alikuwa na bustani ya mboga), yeye alimruhusu lakini wakati anaondoka aliamua kumpatia kuku kama zawadi kwenu japokuwa sikuwa na mahusiano ya karibu sana na wewe, lakini mwenza wako mara nyingi anakuja kuchuma mboga kwangu.
Nafikiri ili kuondoa utata wa mambo katika kufanya maarifa ni vyema kujadiliana kwa pamoja ni maarifa gani yatafanyika.
From a woman's perspective, baba hayo uliyokuta ni manyoya alishaliwa kuku huyooo!
Kitendo cha mkeo kumuambia jamaa kuwa kuku aliyetolewa jana hatukumla ujue wana maongezi yaliyopitiliza. Wanawake huwa tuna tabia ya kufunika aibu zetu hata mwenza akichemka. Ulipakwa mafuta na mgongo wa chupa baba! Kuna mtu nilikuwa accused kuhusiana nae 11 yrs ago, hadi leo hajui manake kumuambia ni kufungua mlango wa majadiliano ya hivyo!
From a woman's perspective, baba hayo uliyokuta ni manyoya alishaliwa kuku huyooo!
Kitendo cha mkeo kumuambia jamaa kuwa kuku aliyetolewa jana hatukumla ujue wana maongezi yaliyopitiliza. Wanawake huwa tuna tabia ya kufunika aibu zetu hata mwenza akichemka. Ulipakwa mafuta na mgongo wa chupa baba! Kuna mtu nilikuwa accused kuhusiana nae 11 yrs ago, hadi leo hajui manake kumuambia ni kufungua mlango wa majadiliano ya hivyo!
Kuna baadhi ya familia ....mwanaume akishindwa baadhi ya majukumu
yake hasa ya kipato ni kawaida kusikia mume akimwambia mkewe
'fanya maarifa'
au ufanye maarifa basi'.......
hivi hili hasa linaamaanisha nini?
maarifa gani ambayo mwanaume akishindwa ,mwanamke ndo ataweza?????????
halafu unakuta mwanamke 'anafanya kweli maarifa' na maisha yanakwenda...
sasa 'haya maarifa' ya wanawake ni yapi????
Sasa hayo maambo ni mpaka yaonekane...
mwingine huoni chochote but pesa tu imepatikana
utamchotea mtu maji upate hela
utapita kwa watu kufua nguo
utachoma chapati, mandazi and the like
utapika uji uuze stend jioni
hata mjini utaenda kwa mangi atakukopesha unga wa ngano mafuta sukari, utapika maandazi au chapati unauzamaarifa ni mengi kwa mwanamke
hasa village girls
utaomba unga kwa jirani
utakuwa na bustani ya viazi
utakuwa na bustani ya mboga mboga
utakusanya kuni uuze
so many
Kuna baadhi ya familia ....mwanaume akishindwa baadhi ya majukumu
yake hasa ya kipato ni kawaida kusikia mume akimwambia mkewe
'fanya maarifa'
au ufanye maarifa basi'.......
hivi hili hasa linaamaanisha nini?
maarifa gani ambayo mwanaume akishindwa ,mwanamke ndo ataweza?????????
halafu unakuta mwanamke 'anafanya kweli maarifa' na maisha yanakwenda...
sasa 'haya maarifa' ya wanawake ni yapi????
Kuna baadhi ya familia ....mwanaume akishindwa baadhi ya majukumu
yake hasa ya kipato ni kawaida kusikia mume akimwambia mkewe
'fanya maarifa'
au ufanye maarifa basi'.......
hivi hili hasa linaamaanisha nini?
maarifa gani ambayo mwanaume akishindwa ,mwanamke ndo ataweza?????????
halafu unakuta mwanamke 'anafanya kweli maarifa' na maisha yanakwenda...
sasa 'haya maarifa' ya wanawake ni yapi????
utamchotea mtu maji upate hela
utapita kwa watu kufua nguo
utachoma chapati, mandazi and the like
utapika uji uuze stend jioni