mfano vunja kile kisanduku chako unachoweka vi mia mia, lakini ukimwambia direct hivi kwamba vunja hicho kisanduku hupati ng'o bora useme indirect kama ambavyo umesema hapo juu!Kuna baadhi ya familia ....mwanaume akishindwa baadhi ya majukumu yake hasa ya kipato ni kawaida kusikia mume akimwambia mkewe 'fanya maarifa' au ufanye maarifa basi'.......
Hivi hili hasa linaamaanisha nini?
Maarifa gani ambayo mwanaume akishindwa, mwanamke ndo ataweza?
Halafu unakuta mwanamke 'anafanya kweli maarifa' na maisha yanakwenda...
Sasa 'haya maarifa' ya wanawake ni yapi?
we huwezi maarifa kabisa?
[emoji38] [emoji38] [emoji38]Ndio zako hizo basi marufuku kufanya hayo maarifa
Mhmmhmhm kuna tafiti yoyote imefanyika [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]wanawake wengi wa mjini
kufanya maarifa ni kwenda kwa kibuzi......ndo maana hili neno la kufanya maarifa linanitatiza mno...
Linasemaj ilo swali