Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Slope kwa jirani wewe ndiye gurantee sasa unarudu huulizi ilikuwaje. Kitendo cha kumwambia mke afanye maarifa ni kumpa mtihani.Akope kwa jirani, aombe kwa ndugu zake.
Maranyingi umasikini uliokithiri uko katika miji mikubwa duniani koteHiyo tabia wanayo wanaume wa dar!!
Huku mkoan tuna mashamba mboga anachuma nk
Wanaume wenye tabia hii bado wapo duniani? hata siaminiUmeoa na mke wako ni mama wa nyumbani. Katikati ya mwezi unajikuta una nauli tu ya kuendea kazini. Asubuhi unamuaga unamwambia hali ngumu afanye maarifa.
Mke amekopa kwa mangi. Kwa mapenzi aliyonayo kwako unakuta wali kuku na Miranda ya baridi. Huulizi hela alipata wapi. Mbona mnatuacha kwenye hali mbaya?
Wanafungua mianya ya udanganyifu wenyewe. Unakopa kwa Mangi mwisho unabadilisha njia.Kauli za hivyo kuna muda zinaumiza,.mtu unafanyaje maarifa wakati huna hata tuta moja la mchicha nje?..ni muhimu mke na mume kushirikiana kusaidia uchumi wa nyumbani kuwa sawa,.
Kuna vitu vinaweza kuepukwa,mfano mke ni mama wa nyumbani na mume ndio mtafutaji,si vibaya mume kumpa mkewe mtaji hata wa kupika chapati asbh hapo nyumbani kuepuka kauli sononeshi kama hizo..hapo hata ukimwambia mama flan fanya maarifa atafanya..sio fanya maarifa huku maarifa yenyewe hayapo,.lol
Jamaa alishindwa hata kubeba zege?Jamaa kamwambia mke wake " wanawake wanatoka wanarudi na chochote mfukoni nawe toka uangalie wanafanya nini ! Hapo hata tone la unga hakuna
Hahahhaah unabadili njia mwisho unahama na mtaa kabisaa..Wanafungua mianya ya udanganyifu wenyewe. Unakopa kwa Mangi mwisho unabadilisha njia.
Na nyie muwe ngangari sasa kama wake wa kinigeria. Tunafungua biashara zinakufa.Nilibahatika kuishi sana na Wanigeria. Wao formula yao ya maisha ni kuwa nwanaume lazima uwe na biashara.
Kazi na biashara viende pamoja. Hata kama unalipwa laki na nusu hiyo ni guarantor ya kuchulia mkopo wa kuongezea biashara.
Mke ndiye ubavu wako, atasimamia biashara wakati wewe uko kwenye paid job.
Kabisa mkuu mnakopa bank mna za kukaanga chips, mama unampeleka school of Catarina hata miezi mitatu kuongeza ubunifu.Na nyie muwe ngangari sasa kama wake wa kinigeria. Tunafungua biashara zinakufa.
Mnakosea wapi?
Dawa ni kufungua kitabu cha credit kwa mangi.Kabisa mkuu mnakopa bank mna za kukaanga chips, mama unampeleka school of Catarina hata miezi mitatu kuongeza ubunifu.