Kumwambia mwanamke 'FANYA MAARIFA'

Kumwambia mwanamke 'FANYA MAARIFA'

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Kuna baadhi ya familia mwanaume akishindwa baadhi ya majukumu yake hasa ya kipato ni kawaida kusikia mume akimwambia mkewe 'fanya maarifa' au ufanye maarifa basi'

Hivi hili hasa linaamaanisha nini?

Maarifa gani ambayo mwanaume akishindwa, mwanamke ndo ataweza?

Halafu unakuta mwanamke 'anafanya kweli maarifa' na maisha yanakwenda...

Sasa 'haya maarifa' ya wanawake ni yapi?
 
Inategemea kua hio shida ni of what nature.... Kuna ile kama inahusiana na chakula ndani, anaona tu aibu kusema nenda angalau kwa wazazi kaombe unga kidogo tumekwama... anaona bora akwambie kua "fanya maarifa"..... Kawaida ya mwanamke ambae ni mwerevu (walau that is what I think) ni kutambua kua sio kila siku mume wake ataweza provide - na kwamba hata kama anaweza inaweza tokea in rare cases akakwama. Daima kulinda heshima ndani ya ndoa yenu inatakiwa kua na akili ya ziada mkichwa na maarifa pia....

Hivo basi daima hata kama woote wanafanya kazi na woote wana provide, ni lazima aweke akiba pembeni popote pale ndani ya nyumba ambayo inakua ni kinga ya kutatua tatizo pale ambapo litajitokeza na woote wasiwe na pesa (yaani mume na yeye mwenyewe mke); Hio akiba sio wanaume woote hujua kua inakuwepo.... Inapotokea kua kuna siku mlikwama kabisa mara nyingi akina mama huchukua hio akiba kuokoa jahazi kwa kumshirikisha mumeo na kumwambia "mume wangu nimeazima kwenye kikundi chetu kile cha upaku" sababu ya kusema hivi sio kwamba humuamini mumeo.... No! Ila tu ni ile haitakiwi hajenge kichwani mwake kuna akiba ndani for next time akikwama he wont try harder..... Hivo baas mara nyingi wanaume husema hivo sababu wanakua weshawahi pita in jams na mke aliokoa jahazi.... Siamini kua hua wanasema hivo kwa maana kwamba nenda kwa mpango wa kando ukatafute pesa.


Boss it has been Long.... Usiku mwema.
 
utamchotea mtu maji upate hela
utapita kwa watu kufua nguo
utachoma chapati, mandazi and the like
utapika uji uuze stend jioni

Sasa hayo maambo ni mpaka yaonekane...
mwingine huoni chochote but pesa tu imepatikana
 
Mwanamme anafikiri,anatafuta,anahenya,anateseka ili familia yake ipate kuishi (namzungumzia mtu wa aina hiyo)..Inafikia nyakati kila anachkifanya kinagonga mwamba,mambo si kama yalivyokuwa awali.....Kwa kiswahili cha kisiasa inabidi kufunga mkanda..tuingie kwenye dharula ya muda.

Mambo yasiyo ya kawaida katika familia kama kunywa chai,kununua nguo mpya,kutumia mafuta mengi kwenye mboga,viungo visivyo vya lazima kama pilipili hoho vyote vinasitishwa..Mwendo unakuwa ni wa kula ili kuishi.Na ni nani waziri wa jiko na mambo ya dharula ? - Ni mwanamke..ndipo mwanaume anatoa wito..fanya maarifa - yaani tumia kila kilichopo kwa akili.
 
wengi ni wangapi?
Na sehemu gani ulofanya hii observation?

machangu ni wengi
lakini si kila mwanamke anatafuta suluhisho kwa kuwa na kibuzi
wapo wenye maisha magumu ya kuunga na bado ni decent tu

kama mtu kaoa kicheche kilichokua bila kufanya kazi kitatafuta buzi
vinginevyo, wanawake wengi wanafanya a lot kwa ajili ya familia zao bila kujishusha.

na mimi naona weengi ndo wanachofanya...
 
Inategemea kua hio shida ni of what nature.... Kuna ile kama inahusiana na chakula ndani, anaona tu aibu kusema nenda angalau kwa wazazi kaombe unga kidogo tumekwama... anaona bora akwambie kua "fanya maarifa"..... Kawaida ya mwanamke ambae ni mwerevu (walau that is what I think) ni kutambua kua sio kila siku mume wake ataweza provide - na kwamba hata kama anaweza inaweza tokea in rare cases akakwama. Daima kulinda heshima ndani ya ndoa yenu inatakiwa kua na akili ya ziada mkichwa na maarifa pia....

Hivo basi daima hata kama woote wanafanya kazi na woote wana provide, ni lazima aweke akiba pembeni popote pale ndani ya nyumba ambayo inakua ni kinga ya kutatua tatizo pale ambapo litajitokeza na woote wasiwe na pesa (yaani mume na yeye mwenyewe mke); Hio akiba sio wanaume woote hujua kua inakuwepo.... Inapotokea kua kuna siku mlikwama kabisa mara nyingi akina mama huchukua hio akiba kuokoa jahazi kwa kumshirikisha mumeo na kumwambia "mume wangu nimeazima kwenye kikundi chetu kile cha upaku" sababu ya kusema hivi sio kwamba humuamini mumeo.... No! Ila tu ni ile haitakiwi hajenge kichwani mwake kuna akiba ndani for next time akikwama he wont try harder..... Hivo baas mara nyingi wanaume husema hivo sababu wanakua weshawahi pita in jams na mke aliokoa jahazi.... Siamini kua hua wanasema hivo kwa maana kwamba nenda kwa mpango wa kando ukatafute pesa.


Boss it has been Long.... Usiku mwema.

umeongea vizuri..
na nina uhakika hakuna mwanaume anaetegemea mkewe
aende nje kwa 'kufanya maarifa'
ishu hapa ni je hii haiwezi kuwa kisingizio kwa baadhi ya wanawake...????
na je ni sahihi kwa mwanaume kumwambia mkewe 'fanya maarifa'??
 
mme akipokea atakuwa yeye ndo ana tatizo
ni sawa na kumwona binti yako wa std 6 ana simu afu unatizama tu

kama mme lazima uulize kapataje hizo pesa

Sasa hayo maambo ni mpaka yaonekane...
mwingine huoni chochote but pesa tu imepatikana
 
wengi ni wangapi?
Na sehemu gani ulofanya hii observation?

machangu ni wengi
lakini si kila mwanamke anatafuta suluhisho kwa kuwa na kibuzi
wapo wenye maisha magumu ya kuunga na bado ni decent tu

kama mtu kaoa kicheche kilichokua bila kufanya kazi kitatafuta buzi
vinginevyo, wanawake wengi wanafanya a lot kwa ajili ya familia zao bila kujishusha.

nielewe my point...
nafahamu weengi wanafanya maarifa bila kujishusha
na wana mipango kadhaa wa kadhaa kama vikundi vya kukopeshana na kadhalika..

but wapo baadhi nionavyo mimi 'kumwambia fanya maarifa'
ni kama umemtuma 'akafanye maarifa' hayo jestina aliyozungumzia..
 
Sio siri wanaume tunawadharau wanawake ila katika kufanya maarifa nawapa big up sana maana anaweza akafanya maarifa mpaka ukashangaa mwanaume mimacho inakutoka udhani kagawa nje kumbe hapana

kwa nini udhani 'kagawa nje'??????
 
asante nitonye, angalau unawapata wanawake wa ukweli wanaweza fanya tukio bila kugawa ugoro

me love all mamas out there waho stood up for their families bwana.

Sio siri wanaume tunawadharau wanawake ila katika kufanya maarifa nawapa big up sana maana anaweza akafanya maarifa mpaka ukashangaa mwanaume mimacho inakutoka udhani kagawa nje kumbe hapana
 
Back
Top Bottom