Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kama haujui,basi,weye ni lijinga!Habari wakuu,
Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.
Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?
Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Ila akakopa matrilioni yenye masharti magumu Kwa hao hao wazungu huku aliwadanganya kuwa ni fedha za ndaniKwa kiswahili cha haraka haraka, hawatoboi!
Ajenda ni ndefu na Haihusu Magufuli...peke yake bali na watu kama yeye na ni mlolongo mrefu wa viongozi waliokataa kunyonywa na Wazungu. Period.
Apparently they are fighting "woke" in progress.
Kama wewe ulivyo wa hovyoTuna wanasiasa wa hovyo sana nchi hii
USSR
Hivi mlishawalipa wakulima wa korosho wa kusini fedha zao za korosho mlizoporaUfuasi ni jambo moja la msingi sana kama ukitumia akili zako hasa zikiwa sawa kwenye kuamua jambo, lakini ufuasi ukigeuzwa ukondoo, hapo tegemea kuona mambo ya ajabu yatakayo kushangaza muda mwingi.
Kuna kundi la wajinga linalochezeshwa segere na walamba asali, nalo kwa kujua au kutojua, wanakata mauno haswa, walamba asali wanamtumia Magufuli kuficha udhaifu wa Samia, bahati mbaya hawa vibaraka wa walamba asali wanawafanyia kazi walamba asali bila malipo, mihemko imetawala sana.
Hivi ni lini mtawarudishia wale jamaa wa bureau da change fedha zao mlizowapora kijambazi chini ya mitutu ya JWViongozi wengi wa upinzani na wafuasi wao ni wajinga sana wana waamini na kuwapenda CCM walio baki ila wanamchukia Magufuli wakati hata utawala wa sasa bado ni hio hio CCM.
Sidhani hata kama wana fahamu adui yao ni nani ?
The thread writter is a "stupid sonovakuku" tries to try us!Watu bado wanamaumivu aliyowasababishia Mkuu.. wewe huwezi kuelewa, aliyevaa kiatu ndo anajua msumali unachomea wapi.
Habari wakuu,
Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.
Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?
Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Kusini hatutakaa tumuelewe alitupora korosho yetu kibabe Kwa kutumia karandinga za jeshiWanajitahidi kumchafua wa wananchi ambao hawataki Hata kuelewa maneno yao, watatumia Nguvu kubwa Ila vitu alivyofanya JPM raia wanamuelewa na wataendelea kumuelewa Daima
Issue sio kuchukua nchi issue ni maovu yake yasemwe Ili vizazi vijavyo visije kurudia makosa kama yaliyofanyika 2015Kwahiyo kufanya hivyo ndio inawasaidia wapinzani kuchukua nchi?
Kwahiyo hiyo ndio inawasaidia wapinzani kushinda uchaguzi?
Marehemu ndio mlaaniwa hawezi mlaani yeyote mfu wenu huyoMagufuli awezekaniki ....mimi naoenda wanavyo mshambulia ndiyo anavyo pata nguvu ...maana walimponda ila nchi imewashinda na walio mtia mbowe jela ndiyo wale wale wenzake wanao mponda jpm ....kwa kifupi wahuni wote ni kama wamepigwa na laana na JPM...leo mbowe wa kupanda jukwaani kufungua mkutano wa kisiasa kwa mara ya kwanza huku kalewa chakari [emoji849][emoji849]hiyo ni nini kama siyo laana ya marehemu
Kama umekata tamaa ni wewe watu wanatamani hata uchaguzi uwe kesho wafanye yaoUnahangaika na wapumbavu. Wamewakatisha tamaa wapiga kura wao
SikuelewiHivi ni lini mtawarudishia wale jamaa wa bureau da change fedha zao mlizowapora kijambazi chini ya mitutu ya JW
Upinzani wanatumika? Kwani ni lini upinzani hawajawahi mkosoa JPM? tokea JPM awatangazie vita kuwa ataufuta upinzani imekua ni mgogoro wa wazi Cha kushangaza kaingia samia eti mtu akimkosoa JPM anageuka mlamba asali??Ufuasi ni jambo moja la msingi sana kama ukitumia akili zako hasa zikiwa sawa kwenye kuamua jambo, lakini ufuasi ukigeuzwa ukondoo, hapo tegemea kuona mambo ya ajabu yatakayo kushangaza muda mwingi.
Kuna kundi la wajinga linalochezeshwa segere na walamba asali, nalo kwa kujua au kutojua, wanakata mauno haswa, walamba asali wanamtumia Magufuli kuficha udhaifu wa Samia, bahati mbaya hawa vibaraka wa walamba asali wanawafanyia kazi walamba asali bila malipo, mihemko imetawala sana.
Kama hawajui wale waliokuwa wakiitwa wanyonge ambao ndio wengi Nchini bado wanaendelea kumuomboleza !! Sasa sijui kisiasa kama hiyo ni afya nzuri kuendelea kumnanga marehemu !! Ni bora kazi hiyo wangewaachia wengine waifanye sio wao kwenye mikutano yao ya hadhara !! Ni ushauri tu nadhani hii itawaharibia !! Watu bado wanamkumbuka kwa yale mema yake sio kwa yale mabaya kama alivyotabiri mwenyewe !!Habari wakuu,
Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.
Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?
Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Eeh maana itaonyesha kuwa tokea uhuru tawala zote za CCM ni Bure kabisa so itaondoa dhana kwamba CCM inaweza kujirekebisha au kutupatia Rais bora!! So hiyo strategy ya kisiasa.Kwahiyo hiyo ndio inawasaidia wapinzani kushinda uchaguzi?
Wewe ndiye huelewi. Hadhambuliwi mtu bali ni chama. Na wanachokifanya ni kuanzia pale walipoishia. Kwa Sasa siasa zimerudi seven years kwanza..... Hata zile pesa za China alizozibua Maza nazo ni za yule yule Bwana. Taratibu watafika huko unakotaka kusikia.... Kwa Maza.Habari wakuu,
Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.
Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?
Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Nioneshe uzi niliyoandika unamsifia Magufuli?