Kuna agenda gani ya Upinzani kumshambulia Hayati Magufuli?

Kuna agenda gani ya Upinzani kumshambulia Hayati Magufuli?

Sema shida yako kuu unadhani kila mtu humu ni mshabiki wa vyama au mtu wengine tupo hapa kwaajili hoja sio kufanya uchawa
Huna hoja yoyote wewe CHAWA mkubwa..

Unawashangaa watu kumsema na kumkosoa aliyekwisha kufa yaani "Jiwe"

Lakini wakati huo huo nyie Chawa Kila kukicha mnaisifu maiti hiyo hiyo na halafu eti unasema "upo hapa kwa hoja!!".

You must be out of your mind========

Sasa Mimi nakuambia huyo ndugu yenu, watu watamwandikia na VITABU kabisa ili kuweka kumbukumbu ya mabaya na mazuri yake aliyoyafanya Kwa vizazi na vizazi...

Fahamu tu kuwa John P. Magufuli was a president of this beautiful country. His actions during his leadership must documented and be told today and the future generations..

Sasa kama unaona hili ni tatizo, basi bila shaka wewe ni mjinga fulani unayepiga propaganda tu za siasa za majitaka na huna hoja yoyote...!!
 
Na ukiwashangaa utaitwa sukuma gang. Hadi wa leo sielewi kwann wafuasi wengi wa chadema wanaona Mama ni mwenzao ila adui yao ni JPM pekee na sio CCM.
Watakwambia mama ameliponya taifa
Huku
Mchele
Unga
Maharage bei juu
 
Ukweli ni kwamba Magufuli alitesa watu na kuumiza wengi. Afadhali “amekufa” angekuwa hai angesota na kuaibika vibaya. Kuna kila sababu ya kuendelea kuweka uovu wake wazi ili jamii itambue ukweli uliofichwa na kuwa makini mtu kama yeye asiwe tena kiongozi wa nchi.
Kwa kusema hivyo ndio inawapa Chadema ikulu?
 
Huna hoja yoyote wewe CHAWA mkubwa..

Unawashangaa watu kumsema na kumkosoa aliyekwisha kufa yaani "Jiwe"

Lakini wakati huo huo nyie Chawa Kila kukicha mnaisifu maiti hiyo hiyo na halafu eti unasema "upo hapa kwa hoja!!".

You must be out of your mind========

Sasa Mimi nakuambia huyo ndugu yenu, watu watamwandikia na VITABU kabisa ili kuweka kumbukumbu ya mabaya na mazuri yake aliyoyafanya Kwa vizazi na vizazi...

Fahamu tu kuwa John P. Magufuli was a president of this beautiful country. His actions during his leadership must documented and be told today and the future generations..

Sasa kama unaona hili ni tatizo, basi bila shaka wewe ni mjinga fulani unayepiga propaganda tu za siasa za majitaka na huna hoja yoyote...!!
Nimekwambia unioneshe nyuzi nilizoandika kumsifia Magufuli umeshindwa hiyo hoja yako itakuwaje na mashiko
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.

Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?

Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.

Ingia kwenye nyumba za ibada shetani anasemwa kila siku. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.

Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?

Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Watanzania walio wengi ni wajinga na Magufuli alijuwa hivyo na akawafanya mtaji wake na kisha akawapa jina la wanyonge.

Magufuli alivitisha hadi kutaka vyombo vya habari ambavyo vingeripoti madhaifu ya Serikali yake. Hivyo basi lile kundi la wajinga lilikuwa linalishwa UWONGO wa Magufuli kwa miaka 5. Kasoro wajanja na werevu wachache.

Kwa hiyo Vyama Vya Upinzani vinafanya kazi takatifu ya kufuta UWONGO wote wa Magufuli na kuweka UKWELI
 
Kwa kiswahili cha haraka haraka, hawatoboi!

Ajenda ni ndefu na Haihusu Magufuli...peke yake bali na watu kama yeye na ni mlolongo mrefu wa viongozi waliokataa kunyonywa na Wazungu. Period.

Apparently they are fighting "woke" in progress.
Moja kati ya makubaliano ya maridhiano,ili mama aendelee kupaishwa, wameambiwa wamuache mama na wamsaidie kufuta legacy ya jpm mioyoni. Huenda wakaambulia viti vya ubunge hapa na pale.
 
Watanzania walio wengi ni wajinga na Magufuli alijuwa hivyo na akawafanya mtaji wake na kisha akawapa jina la wanyonge.

Magufuli alivitisha hadi kutaka vyombo vya habari ambavyo vingeripoti madhaifu ya Serikali yake. Hivyo basi lile kundi la wajinga lilikuwa linalishwa UWONGO wa Magufuli kwa miaka 5. Kasoro wajanja na werevu wachache.

Kwa hiyo Vyama Vya Upinzani vinafanya kazi takatifu ya kufuta UWONGO wote wa Magufuli na kuweka UKWELI
Hivyo wanavyofanya haiwezi kuwasaidia kuingia ikulu mwisho hao hao wakijakushindwa uchaguzi wataaza kulalamika wameibiwa kura kumbe wamepoteza muda mwingi kudeal na vitu ambavyo haviwasaidii kwenye uchaguzi Magu ameshakufa na hawezi kufufuka
 
Wanajitahidi kumchafua wa wananchi ambao hawataki Hata kuelewa maneno yao, watatumia Nguvu kubwa Ila vitu alivyofanya JPM raia wanamuelewa na wataendelea kumuelewa Daima
Kumtukana Mwendazake haisaidii maana Vitu alivyofanya Magu ni madude makubwa yanaonekana kwa macho hata yale macho madogo ya gololi!
SGR iko wazi ukifika Dar posta unaona vizuri reli ya treni kupita juu!!hata wageni wanauliza nani kajenga hili dude maana nyie wabongo hamna akili kama hii!

mama ni vizuri akimalizia hizi Miundombinu SGR na Nyerere Dam Ili nae apate sehemu ya sifa za Magu na kuifungua nchi kiukweli sio Ile ya kwenda nje. Magu will remain a Tanzanian hero hata atukanwe na Dunia nzima! Madhaifu yake ni kama binadamu wengine tu ila kazi alifanya. Marais wengine wanashangaa aliwezaje!

Jamaa ni Mwamba kweli kweli
 
Wachawi hao tu hawana lolote njaa kali na wakosa ajira tukisema njooo shamba kulima mnapiga kelele
 
Hivyo wanavyofanya haiwezi kuwasaidia kuingia ikulu mwisho hao hao wakijakushindwa uchaguzi wataaza kulalamika wameibiwa kura kumbe wamepoteza muda mwingi kudeal na vitu ambavyo haviwasaidii kwenye uchaguzi Magu ameshakufa na hawezi kufufuka
Sasa wewe ndiyo unataka uwapangie cha kuongea? Wewe unaijua CHADEMA kweli? Endelea kula makande
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.

Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?

Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Inawezekana ni agizo.Kwani CCM na serikali yake inampenda Magufuli?Akili kichwani.Kumbuka kwamba upinzani ni CCM B,kwa hiyo wanadanganywa wadanganyika.Mbona wenye akili wanajua kinachoendelea.
 
Inawezekana ni agizo.Kwani CCM na serikali yake inampenda Magufuli?Akili kichwani.Kumbuka kwamba upinzani ni CCM wanadanganywa wadanganyika,wenye akili wanajua kinachoendelea.
Mlifurahia sana wkt anatutesa wapinzani, leo ni zamu yenu kulia juu ya magufuri kwa kile alichotufanyia .. hakuna aliyelipwa kumchafua magufuri , tunakumbushia kile alichotufanyia tu... Tulikuwa kifungoni tuacheni tumnange mpk tutakapoona imetosha .. poleni mnaoumia kuhusu kusemwa magufuri

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom