Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]Hapana endelea na timu yako ya mpira baba
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]Hapana endelea na timu yako ya mpira baba
Basi fanya kama vile umenipa chabo ya interviewNataka nifanye usahili..ushindani uwe mkubwa
Utaweza kupata humu baba wa watoto wako na furaha ya maisha yako yote. Jambo la msingi pia usikilize moyo wako kwa kila atakayekuja , na pia usiangalie nje tu angalia ndani zaidi , anaongea nini na nini kilichopo ndani ya moyo wake....Very suni
Nahisi wapo, nina ID yangu ya kike kuna PM nyingi za wanaume humu na namba zao za simu wa etuma ila nawazungusha. Kama kweli ningekuwa dem ningewakubali walao wawili.
Hiyo ID ina Followers, wakati hii ni ya kitambo sina follower hata mmoja.
😂😂😂😂
Utaliwa kimasihara na pesa ya mtaji inyakuliwe mixer gonorrheaHallelujah.
Ngoja nianzishe uzi sasa hivi.comment kama hizi zinatia nguvu
Wewe hebu tulia nianzishe uzi BasiUtaliwa kimasihara na pesa ya mtaji inyakuliwe mixer gonorrhea
Nahisi wapo, nina ID yangu ya kike kuna PM nyingi za wanaume humu na namba zao za simu wa etuma ila nawazungusha. Kama kweli ningekuwa dem ningewakubali walao wawili.
Hiyo ID ina Followers, wakati hii ni ya kitambo sina follower hata mmoja.
Husika na kichwa cha habari hapo juu
Kuna waliowahi kukutana humu na kuwa wapenzi ukweli ukweli?
Kwahiyo unaona raha ukiwa shori wakati mwingine chief..!?lol[emoji23]
Wewe Ni cocastic?Yeah wapo, Mimi mwenyewe sema alinizingua baadae! Nkaona isiwe tabu.
Wewe ni shoga?Nahisi wapo, nina ID yangu ya kike kuna PM nyingi za wanaume humu na namba zao za simu wa etuma ila nawazungusha. Kama kweli ningekuwa dem ningewakubali walao wawili.
Hiyo ID ina Followers, wakati hii ni ya kitambo sina follower hata mmoja.
Unitag basiWewe hebu tulia nianzishe uzi Basi
Toa jibu ww mkongwe humuUnitag basi
Wewe mkongwe zaidi unatakiwa kuwa na jibuToa jibu ww mkongwe humu