Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walimwengu,Walimwengu mwe mwe mwe😀
Unitag basi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bangi za nkwarisambu au Ngarenanyuki mkuu?Yeah mbona mimi ninao wengi tu hapa JF. Sema hawajuani.
Jehovah Jireh...controla huyu huyuu🤦♀️🤦♀️🤦♀️
🤣🤣🤣kwamba mimi ni wa juzi juzi😁😁Wewe mkongwe zaidi unatakiwa kuwa na jibu
HallelujahNdiyo tupo na tunaendelea 😜
warumi siyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ID mara chache naitumia. Na ina avatar nzuri sana. Kumbe ni njemba flani.
Nahisi wapo, nina ID yangu ya kike kuna PM nyingi za wanaume humu na namba zao za simu wa etuma ila nawazungusha. Kama kweli ningekuwa dem ningewakubali walao wawili.
Hiyo ID ina Followers, wakati hii ni ya kitambo sina follower hata mmoja.
Husika na kichwa cha habari hapo juu
Kuna waliowahi kukutana humu na kuwa wapenzi ukweli ukweli?
Kwa mujibu wa kanuni na sheria za Jf,hii ni sawa? Nauliza tu.
Ni sawaKwa mujibu wa kanuni na sheria za Jf,hii ni sawa? Nauliza tu.
Hivi warumi alikuwa celebrity?Inamaana haujui kuwa Warumi hatupo nae tena duniani? Kama haukuwa na taarifa,nenda jukwaa la celebrities utaikuta.
Hakuna sehemu yoyote ile niliyosema kuwa warumi alikuwa Celebrity, nimemuelekeza aende kwenye jukwaa la cerebrity kwakua ndio sehemu pekee ambayo Warumi aliwahi kujizolea umaarufu kwa nyuzi zake.Hivi warumi alikuwa celebrity?
Ni yule bwana wetu au mwingine?😅😅😅😅😅Tupo
[emoji23][emoji23]wee yule ni best friend ujueNi yule bwana wetu au mwingine?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]