Kuna aliyewahi kupata mapenzi humu?

Kuna aliyewahi kupata mapenzi humu?

Unitag basi
0732B6FC-A6AA-4197-B4C5-10AC25C912B8.jpeg
 
Nahisi wapo, nina ID yangu ya kike kuna PM nyingi za wanaume humu na namba zao za simu wa etuma ila nawazungusha. Kama kweli ningekuwa dem ningewakubali walao wawili.
Hiyo ID ina Followers, wakati hii ni ya kitambo sina follower hata mmoja.

Hahah!! ila fantansy nyingine buana...

Kwa hiyo kidume unakuwa utatongozwa sio
 
Hivi warumi alikuwa celebrity?
Hakuna sehemu yoyote ile niliyosema kuwa warumi alikuwa Celebrity, nimemuelekeza aende kwenye jukwaa la cerebrity kwakua ndio sehemu pekee ambayo Warumi aliwahi kujizolea umaarufu kwa nyuzi zake.
 
Back
Top Bottom